Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,641
- 11,958
Umesema jambo la maana Sana mkuu, lakini nasikitika kuwa hilo lazima litokee kwasababu
Kwanza udhibiti utakuwa mdogo kwasababu serikali itatumia nguvu kubwa kwenye kupambana na corona hivyo upande huu unaweza kusahaulika.
Pili ni shortage ya bidhaa iyaweza kutokea kutokana na kukwama kwa biashara hasa international trade, kumbuka tunategemea bidhaa nyingi kutoka nje. Ikitokea mipaka ikafungwa biashara itaathirika na hivyo kupelekea upungufu wa bishaa na hapo mfumuko wa bei utatokea.
Tuombe Mungu madhara ya Corona yasiwe makubwa ili tusifike huko.
Kwanza udhibiti utakuwa mdogo kwasababu serikali itatumia nguvu kubwa kwenye kupambana na corona hivyo upande huu unaweza kusahaulika.
Pili ni shortage ya bidhaa iyaweza kutokea kutokana na kukwama kwa biashara hasa international trade, kumbuka tunategemea bidhaa nyingi kutoka nje. Ikitokea mipaka ikafungwa biashara itaathirika na hivyo kupelekea upungufu wa bishaa na hapo mfumuko wa bei utatokea.
Tuombe Mungu madhara ya Corona yasiwe makubwa ili tusifike huko.