Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni janga hata binti aliye kosa upendo wa baba ngumu Sana kubalance kwenye ndoa.Ila ukimsikiliza vema ana trauma ya kukosa mapenzi ya baba
Sent from my LM-V500N using JamiiForums mobile app
Umekurupuka poleKwahiyo wanaotelekezwa wanakuwa mastaa!!akili hizi basi tu.Chid Benz nae ni staaa,maana alitelekezwa,sasa hv Kawa Teja tu
Benz kajichanganya mwenyeweKwahiyo wanaotelekezwa wanakuwa mastaa!!akili hizi basi tu.Chid Benz nae ni staaa,maana alitelekezwa,sasa hv Kawa Teja tu
Kapitia Maisha magumu anaona ufala mapenzi maana watoto wanakuja kupata tabu watu wakiachana ,kimtazamo yuko sahihi.Ndo maana jamaa hataki kuoa
Ajakua bado,maisha ya jana sio ya leoKapitia Maisha magumu anaona ufala mapenzi maana watoto wanakuja kupata tabu watu wakiachana ,kimtazamo yuko sahihi.
Nyembo la babaKwani dimpoz anatumia ubini wa huyu mzee au wa mama
Hiyo ni quotation ya mwisho, mkuu. Kuna mahala anasema: Kwa malezi ya kiislamu mtoto wa nje sio mtoto na kuna pahala anasema huyu kwanza alikuwa baba wa kufikia! Umemsikia hapo?Hajamkana amesema hawana ukaribu na hana mapenzi naye
Sent from my LM-V500N using JamiiForums mobile app
Ishu za kifamilia hizi zipo complicated sana. Sema kuna muda unakuta haya ni makosa ya wazazi so unawaacha wao tu hauwi biased. Kusema uchague upande mmoja.Vinavyoua upendo kwa mzazi
1.Kutelekezwa utotoni
2.Talaka hapa baba na mama nyote msitegemee kupata upendo toka kwa watoto,
Nikuulize wewe umezaliwa na nani? Aliyekubeba miezi tisa ni nani?Keshaathirika na sumu ya mama
Kama anatumia ubini wa baba basi afahamu hakukuwa na utofauti mkubwa kati ya mama na baba yake, kama kungekua na utofauti mkubwa kiasi hicho mama na ndugu wa kikeni wasingekubali dimpoz kupewa ubini wa mzee wake busara atenga muda amsikilize na wayajenge na mzee wake asijeakaja jutia baadae.Nyembo la baba
😂😂 Kigumu zaidi. Tukae humu aisee.Ukimtelekeza mtoto balansi tu shobo kubali ulizingua ama ukaushe au utie huruma uombe radhi usaidiwe.