Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Niliwahi kukutana na huyu Mzee Sumbawanga ni dereva Bajaj.
Wakati napata huduma ya usafiri wake alikuwa analalamika sana juu ya Ommy na kubwa zaidi akisema suala lake na mwanae limesababishwa na Mama yake Ommy.
Inaonekana wakati huyu mzee akiwa kijana hakuwa karibu na familia yake kihivyo.
Bajaj yake imeiandika "Pozi kwa Pozi"
Wakati napata huduma ya usafiri wake alikuwa analalamika sana juu ya Ommy na kubwa zaidi akisema suala lake na mwanae limesababishwa na Mama yake Ommy.
Inaonekana wakati huyu mzee akiwa kijana hakuwa karibu na familia yake kihivyo.
Bajaj yake imeiandika "Pozi kwa Pozi"