Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Huyo Domo alishasemwa ni pungaKwanini watu wamuhisi yeye na sio wasanii wengine kama domo, kiba, Marioo nk.?!
Wewe unaweza kumshika huyo baradhuli kama alivyomshika?
Ulichoandika hapa ni dhahiri maisha yako yamekushinda na umeshakata tamaa ya kuinuka tena,Kwa mziki gani alioimbaa au biashara gani anazofanyaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kijana analiwaa ukweli mchunguu.
Ulichoandika hapa ni dhahiri maisha yako yamekushinda na umeshakata tamaa ya kuinuka tena,
ulichobakiza ni kununua uchawi uanze kuroga watu
Baada ya kubananishwa anajisononesha atiliwe huruma😂😂Swali lako la akili linajibiwa hapa;
"nimesema janga la ushoga limekuwa la taifa so tuzidi kumshirikisha Mungu atusaidie na tuzidi kuongea na watoto wetu...kwani wewe hupati taarifa?"
Halafu ikaja hapa
"kuhusu Ommy siwezi msemea mtoto wa mwanamke mwenzangu kitu sina uhakika nacho"
Haya nikuulize, hii Mada inazungumzia Ushoga? Sio mjinga mmoja alokosa kazi kaja kupost video mtoto wa Watu anafurahia maisha yake kwa pesa zake, wajinga wakaanza kutiririka kua ni Shoga,
Wewe uka quote comment ya huyo mjinga mwingine anayedai lgbt wanamtetea mwenzao, ina maanisha umesapoti kua Ommy ni shoga, unaambiwa thibitisha ushoga wa Ommy unajitia kujinyongesha,
Wakati unajisononesha kuhusu mashoga umeshawaza hao mashoga wanaharibiwa na kina nani?
Naanza kesho kulogaaa...Ulichoandika hapa ni dhahiri maisha yako yamekushinda na umeshakata tamaa ya kuinuka tena,
ulichobakiza ni kununua uchawi uanze kuroga watu
Ukiwa una tabia za kiwaki huwezi kunielewa,We jamaa sijawai kukuelew mwazoni nilikuwa nakuelwa
Ukiwa una tabia za kiwaki huwezi kunielewa,
Grow up.
Kuna wahuni hawaulizi mara mbili ukinusurika panga la kisogo basi kiberiti kitakuhusu.Naanza kesho kulogaaa...
Unathibitishaje kitu ambacho hakipo?Na wew ukiambiwa uthibitishe sio shoga unaweza?
Sema wewe, nikisema mie naambiwa nateteaWewe unaweza kumshika huyo baradhuli kama alivyomshika?
Enh,Baada ya kubananishwa anajisononesha atiliwe huruma[emoji23][emoji23]
Oouch! [emoji2960]Ukiwa una tabia za kiwaki huwezi kunielewa,
Grow up.
Wabongo wengi wana roho mbaya sana.Sema wewe, nikisema mie naambiwa natetea
Wewe ni mdau wa upinde kitambo mbona tunakujua.Kuna Watu mnapenda ushenzi na wivu tu, wewe unaweza kumshika chatu namna ile au mnajisemesha tu, kuogopa chatu ndio ushoga?
Ommy anawapa presha sana nyie vijana wa kimaskini mnatamani maisha yake hamuyapati mlichobakiza ni chuki, uzushi na makasiriko, mwenzenu anakula Maisha ambayo hamuwezi kuyala hata mkistaafu,
Go Ommy Gooooooooooooooooo
Wewe unayaishi hayo maisha ya omari au ndio uko huko kwenu ntatilyabashashi unatunanga hapa.Sio Slay Queens tu hata hao wanaojiita Matajiri hawafikii bata la Ommy,
Ushoga Ushoga, nani kamkataza mtu kutoa kinyeo chake halafu aone kama ataishi hayo Maisha ya Ommy.
Wewe ushajaribu ukaona ndivyo sivyo.Kama kupakuliwa Sewage system ndio kupata maisha jaribu na wewe halafu uje ulete mrejesho hapa
Mimi pia,Wabongo wengi wana roho mbaya sana.
Mimi mwenyewe simsogelei nyoka. Bora Dipmoz kajojasirisha
Kwa hiyo umekubali Omari kayapatia Maisha,Wewe unayaishi hayo maisha ya omari au ndio uko huko kwenu ntatilyabashashi unatunanga hapa.