Ommy Dimpoz unatuangusha sana wanaume wenzio

Ommy Dimpoz unatuangusha sana wanaume wenzio

Kaka wa Watu mpole, charming, hana majivuno, hana majigambo, hana Machawa, hagombani na Mtu, yeye muda wote ni kucheka na kutabasamu, lakini kutwaaaa yupo midomoni wao kama mswaki,

Lakini napenda anavyowanyoosha, wanamfollow kimya kimya huku wanaumia, wanakubali sio level yao na hawezi kua level yao walichobakiza hapa ni chuki ambayo hii hupelekea mtu kua Mchawi akishaanza kutoka mvi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dimpooz ananyoosha watu kmya kmyaa.
Alipost sebulee yake, Lol. Watu walivyoanza kumiminikaa na kushangaaaaa, insta ilishtushhlwaaa, wamuachee ale rahaa.

Amepitia mengi na mabayaa mno alishapoteza tumaini la kuishi tena. Now afurahie uzima wake bhanaaa.
 
Umaskinii mbayaaa jaman khaaaaah.

Vinadaiwa Kodi ya chumba kimoja, vingine hata ada za watoto havijamaliza, vingine bado ramani hazijasoma tangu vimalize chuo, vingine vina degree vimekua vidalali vya pochi na mikanda,[emoji2960]

Halafu wanamuona bwana Omary Nyembo ambaye hata form six hajafika anamiliki ofisi ya kifahari mjini Posta, breakfast anaipata Serena hotel, Lunch anaipata Johari Rotana na Dinner anaipata Ramada Hotel, anaishi Masaki, weekends anapumzika Visiwa vya Zanzibar au Mombasa,Vacation anaenda Dubai, Paris, London, Newyork [emoji23]

Hana Mke wala Mtoto, kiufupi pesa yake ni yake mwenyewe inamtosha kwa matumizi yake [emoji38]

Aweeee, hapo Mtanzania wa kwa mtogole lazima apate presha kila akipita mjini Insta kwenye page ya Ommy [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Vinadaiwa Kodi ya chumba kimoja, vingine hata ada za watoto havijamaliza, vingine bado ramani hazijasoma tangu vimalize chuo, vingine vina degree vimekua vidalali vya pochi na mikanda,[emoji2960]

Halafu wanamuona bwana Omary Nyembo ambaye hata form six hajafika anamiliki ofisi ya kifahari mjini Posta, breakfast anaipata Serena hotel, Lunch anaipata Johari Rotana na Dinner anaipata Ramada Hotel, anaishi Masaki, weekends anapumzika Visiwa vya Zanzibar au Mombasa,Vacation anaenda Dubai, Paris, London, Newyork [emoji23]

Hana Mke wala Mtoto, kiufupi pesa yake ni yake mwenyewe inamtosha kwa matumizi yake [emoji38]

Aweeee, hapo Mtanzania wa kwa mtogole lazima apate presha kila akipita mjini Insta kwenye page ya Ommy [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear umemaliza kila kitu.
Yaan umemalizaaa haswaaaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaaah watu wana stress za January wana amua kupumzikia kwa mtu anaye kula life. Km kukunjwa 7 ndo unakula life km la Dimpoo, na wao wakunjwe 7 kwan migongo hawana? Au wamepalalaizi??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jiheshimu, acha kutetea upumbavu
 
Vinadaiwa Kodi ya chumba kimoja, vingine hata ada za watoto havijamaliza, vingine bado ramani hazijasoma tangu vimalize chuo, vingine vina degree vimekua vidalali vya pochi na mikanda,[emoji2960]

Halafu wanamuona bwana Omary Nyembo ambaye hata form six hajafika anamiliki ofisi ya kifahari mjini Posta, breakfast anaipata Serena hotel, Lunch anaipata Johari Rotana na Dinner anaipata Ramada Hotel, anaishi Masaki, weekends anapumzika Visiwa vya Zanzibar au Mombasa,Vacation anaenda Dubai, Paris, London, Newyork [emoji23]

Hana Mke wala Mtoto, kiufupi pesa yake ni yake mwenyewe inamtosha kwa matumizi yake [emoji38]

Aweeee, hapo Mtanzania wa kwa mtogole lazima apate presha kila akipita mjini Insta kwenye page ya Ommy [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mnanualibu kwa masifa ya kijinga
 
Nawee kua mtetezi au mfuasi km yeye, ili uwee na life km lakee, acha wivuuu shost, au huna nyotaaaaa mwayaaaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ana life gani huyo jamaa!? Au kupigwa pipe? Kama ni hivyo bora umasikini aseee kuliko mtoto wa kiume kubonyezwa chamber
 
Vinadaiwa Kodi ya chumba kimoja, vingine hata ada za watoto havijamaliza, vingine bado ramani hazijasoma tangu vimalize chuo, vingine vina degree vimekua vidalali vya pochi na mikanda,[emoji2960]

Halafu wanamuona bwana Omary Nyembo ambaye hata form six hajafika anamiliki ofisi ya kifahari mjini Posta, breakfast anaipata Serena hotel, Lunch anaipata Johari Rotana na Dinner anaipata Ramada Hotel, anaishi Masaki, weekends anapumzika Visiwa vya Zanzibar au Mombasa,Vacation anaenda Dubai, Paris, London, Newyork [emoji23]

Hana Mke wala Mtoto, kiufupi pesa yake ni yake mwenyewe inamtosha kwa matumizi yake [emoji38]

Aweeee, hapo Mtanzania wa kwa mtogole lazima apate presha kila akipita mjini Insta kwenye page ya Ommy [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hivyo vyote ni ubatili tupu kama kweli anapumuliwa kisogoni.
 
Vinadaiwa Kodi ya chumba kimoja, vingine hata ada za watoto havijamaliza, vingine bado ramani hazijasoma tangu vimalize chuo, vingine vina degree vimekua vidalali vya pochi na mikanda,[emoji2960]

Halafu wanamuona bwana Omary Nyembo ambaye hata form six hajafika anamiliki ofisi ya kifahari mjini Posta, breakfast anaipata Serena hotel, Lunch anaipata Johari Rotana na Dinner anaipata Ramada Hotel, anaishi Masaki, weekends anapumzika Visiwa vya Zanzibar au Mombasa,Vacation anaenda Dubai, Paris, London, Newyork [emoji23]

Hana Mke wala Mtoto, kiufupi pesa yake ni yake mwenyewe inamtosha kwa matumizi yake [emoji38]

Aweeee, hapo Mtanzania wa kwa mtogole lazima apate presha kila akipita mjini Insta kwenye page ya Ommy [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wagumba utawajua tu mnatamani ata kuzaa mapunga
 
Back
Top Bottom