CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Sauti unawezaje kuiona wewe NGUCHIRO???Tabia zake za kujishaua kama demu lazima watu wakuhisi kivingine. Wewe umemuona jinsi alivyotoa sauti kwenye hiyo clip.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sauti unawezaje kuiona wewe NGUCHIRO???Tabia zake za kujishaua kama demu lazima watu wakuhisi kivingine. Wewe umemuona jinsi alivyotoa sauti kwenye hiyo clip.
Si amekazwa na DIMPOZY??Mama yangu unamjua Maku wewe!
Sina muda wa kubishana na punga. Get a life 🖕Si amekazwa na DIMPOZY??
Wanaume tunabaki wachache sana...huko mbeleni mademu watatugombea sana....
Kama sio Ommy basi uko chini ya mwavuli wa upindeKuna Watu mnapenda ushenzi na wivu tu, wewe unaweza kumshika chatu namna ile au mnajisemesha tu, kuogopa chatu ndio ushoga?
Ommy anawapa presha sana nyie vijana wa kimaskini mnatamani maisha yake hamuyapati mlichobakiza ni chuki, uzushi na makasiriko, mwenzenu anakula Maisha ambayo hamuwezi kuyala hata mkistaafu,
Go Ommy Gooooooooooooooooo
[emoji122][emoji122]Kunywa pombe yeyote hapo jirani bill nitalipa mimiVinadaiwa Kodi ya chumba kimoja, vingine hata ada za watoto havijamaliza, vingine bado ramani hazijasoma tangu vimalize chuo, vingine vina degree vimekua vidalali vya pochi na mikanda,[emoji2960]
Halafu wanamuona bwana Omary Nyembo ambaye hata form six hajafika anamiliki ofisi ya kifahari mjini Posta, breakfast anaipata Serena hotel, Lunch anaipata Johari Rotana na Dinner anaipata Ramada Hotel, anaishi Masaki, weekends anapumzika Visiwa vya Zanzibar au Mombasa,Vacation anaenda Dubai, Paris, London, Newyork [emoji23]
Hana Mke wala Mtoto, kiufupi pesa yake ni yake mwenyewe inamtosha kwa matumizi yake [emoji38]
Aweeee, hapo Mtanzania wa kwa mtogole lazima apate presha kila akipita mjini Insta kwenye page ya Ommy [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo ni muhusika na ni kazi yake kuhakikisha wateja wanaondoa hofu na kupata picha nzuri, sikiliza hata maongezi yake kama 'kiinglishi' kinapanda lakini.Ndiyo mwanaume rijali ukubali kukumbatiwa na mwanaume mwenzio?
Mtu aliyekuzidi kipato badala ya kumuita shoga au freemason mfate akupe elimu aliwezaje hadi kufika hapo alipofikia, chuki yako haiwezi mshusha zaidi ni wewe mwenyewe unajiongezea maradhi kama presha, sukari, sonona na umaskini wa kunuka.Mnanualibu kwa masifa ya kijinga
Kwanini umuhisi na sio uthibitishe???Kwanini watu wamuhisi yeye na sio wasanii wengine kama domo, kiba, Marioo nk.?!
Wewe ndio tasa sasa ushajikatia tamaa ya kupakata umebakiza kuwaonea wivu na chuki watoto wa wenzio,Wagumba utawajua tu mnatamani ata kuzaa mapunga
[emoji1787][emoji122][emoji122]Kunywa pombe yeyote hapo jirani bill nitalipa mimi
Mkiguswa mnaumia kweliii lakini nyie kuwatukana na kuwadhalilisha watoto wa wenzenu mnaona ndio ujanja..... utulie sasa kila mtu aangalie maisha yakeSina muda wa kubishana na punga. Get a life [emoji867]
Kwa mziki gani alioimbaa au biashara gani anazofanyaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kijana analiwaa ukweli mchunguu.Kwa Maisha anayoishi,
Ramani ya Dunia anaijua kwa kuiona sio kuisoma,
Level za Ommy zipo juu hilo halina ubishi halafu wala haringi [emoji3]
Aisee, mbona unajua mengi wewe mtoto mrembo...Ommy si naskia ameleft group?
Kaliwe na wewe ufikie robo ya maisha yake,Kwa mziki gani alioimbaa au biashara gani anazofanyaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kijana analiwaa ukweli mchunguu.
Kitambo sana!Ommy si naskia ameleft group?