Ommy Dimpoz unatuangusha sana wanaume wenzio

Kama sio Ommy basi uko chini ya mwavuli wa upinde
 
[emoji122][emoji122]Kunywa pombe yeyote hapo jirani bill nitalipa mimi
 
Kwa mziki gani alioimbaa au biashara gani anazofanyaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kijana analiwaa ukweli mchunguu.
Kaliwe na wewe ufikie robo ya maisha yake,
Mbona easy tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…