Ommy Dimpoz unatuangusha sana wanaume wenzio

Ommy Dimpoz unatuangusha sana wanaume wenzio

Kuna Watu mnapenda ushenzi na wivu tu, wewe unaweza kumshika chatu namna ile au mnajisemesha tu, kuogopa chatu ndio ushoga?

Ommy anawapa presha sana nyie vijana wa kimaskini mnatamani maisha yake hamuyapati mlichobakiza ni chuki, uzushi na makasiriko, mwenzenu anakula Maisha ambayo hamuwezi kuyala hata mkistaafu,

Go Ommy Gooooooooooooooooo

Hata mimi nna wasiwasi na huyo jamaa kwa jinsi anavyojiliza hapo kama Mtoto wa kike.
 
Kuna Watu mnapenda ushenzi na wivu tu, wewe unaweza kumshika chatu namna ile au mnajisemesha tu, kuogopa chatu ndio ushoga?

Ommy anawapa presha sana nyie vijana wa kimaskini mnatamani maisha yake hamuyapati mlichobakiza ni chuki, uzushi na makasiriko, mwenzenu anakula Maisha ambayo hamuwezi kuyala hata mkistaafu,

Go Ommy Gooooooooooooooooo
wapo wengi tu wenye maisha kuliko yy kwanini wote hao wasichukiwe ila achukiwe yy.

ila sishangai ni kawaida kwa wanawake wa nchi hii kutetea ushoga na hata kujenga urafiki nao. Sina sababu ya kumchukia ila mambo yake huwa hayaeleweki.
 
Kuna Watu mnapenda ushenzi na wivu tu, wewe unaweza kumshika chatu namna ile au mnajisemesha tu, kuogopa chatu ndio ushoga?

Ommy anawapa presha sana nyie vijana wa kimaskini mnatamani maisha yake hamuyapati mlichobakiza ni chuki, uzushi na makasiriko, mwenzenu anakula Maisha ambayo hamuwezi kuyala hata mkistaafu,

Go Ommy Gooooooooooooooooo
Hakuna anaemuonea wivu,tumuinee wivu kwasababu anatafunwa ?[emoji848][emoji848][emoji849]
 
Hakuna anaemuonea wivu,tumuinee wivu kwasababu anatafunwa ?[emoji848][emoji848][emoji849]
Linapokuja swala la hayo mambo utashangaa wanawake ndio wa kwanza kuwatetea.
Hata ktk familia wazazi wa kike wao ndio huwalinda watoto wenye tabia hizo, Hizi kesi nimeshughudia sana. utakuta mzazi wa kiume hana habari kumbe Mama na madada wanajua muda tu ila wanajikausha.
 
Sio Slay Queens tu hata hao wanaojiita Matajiri hawafikii bata la Ommy,

Ushoga Ushoga, nani kamkataza mtu kutoa kinyeo chake halafu aone kama ataishi hayo Maisha ya Ommy.
Ndyooooo wapeee dyadyaaa, waambie hawaa, kwan wao hawanaa kizibo, si wakitegesheee tyuuh, wafunguaji wapoooo.

Wasemee na shida zaooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
wapo wengi tu wenye maisha kuliko yy kwanini wote hao wasichukiwe ila achukiwe yy.

ila sishangai ni kawaida kwa wanawake wa nchi hii kutetea ushoga na hata kujenga urafiki nao. Sina sababu ya kumchukia ila mambo yake huwa hayaeleweki.
Kwani amekuambia yeye anataka mambo yake yaeleweke kwako?
Mbna unajipaa umuhimuu na hapakuhusuuu?
Vipii ushakunywa chai lakini? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Linapokuja swala la hayo mambo utashangaa wanawake ndio wa kwanza kuwatetea.
Hata ktk familia wazazi wa kike wao ndio huwalinda watoto wenye tabia hizo, Hizi kesi nimeshughudia sana. utakuta mzazi wa kiume hana habari kumbe Mama na madada wanajua muda tu ila wanajikausha.
Sasa kwani unataka wao wafanye nn? Mbna km unateseka na kuumia mnooo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom