Ommy Dimpoz unatuangusha sana wanaume wenzio

Ommy Dimpoz unatuangusha sana wanaume wenzio

Kazi gani unasemaa... Yani Boyfriend Jeans na Vitop ndo kazi zake??? Mara designer wa diamond..mara wa wadada hueleweki ili mradi utetee Ushoga wake tu..Kwani ushawahi Kumuona Hassanali anavaa nguo za kikee?? Na yeye ndo designer number moja wa mavazi ya kikee..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko wee unifundishee mie au kunielekezaa kuhusu hawa fashionista na designers? Hassanali ni yeye. Na Noel n yeye. Kila mtu anapita ktk njia zake japo kazi n 1.

Huo ushogaaaa unaujua na kuuona wee kwa hao watu, wala sie wengine sio shda zetu. Relaaaaaaaaaaaaxxxxxxx.
 
Atafte mdada wa kuvaa hzo za kike yeye abaki anapromote za kiume , Kwa Sisi wanaume hyo ni violation of law , haikubaliki hyoo , hata Mimi huwa nauza handbag za kike Ila huwez Nikuta nimepiga picha na hangbag ili kuonyesha mkoba unavyopendeza , huwa natafta mdada mrembo nampa mkoba anapendezea nampost kupromote ... Noel siyo riziki na uzuri unajuaaaa na wazir wa Luku alishakulaaaaaaa[emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] legezaaa codes bas, umeniachaaa mtupuuu,
Nweiiiiii leo cna mood ya umbeaaa, ila hapanaaa umechanganyaa desaa weyeeeeee. aiiiiiiiiiih

Noel ana promote mwenyewee, hana pesa ya kuwalipa promoters..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko wee unifundishee mie au kunielekezaa kuhusu hawa fashionista na designers? Hassanali ni yeye. Na Noel n yeye. Kila mtu anapita ktk njia zake japo kazi n 1.

Huo ushogaaaa unaujua na kuuona wee kwa hao watu, wala sie wengine sio shda zetu. Relaaaaaaaaaaaaxxxxxxx.
Sema ukipata mtoto wa kiume akiwa na tabia za noeli jua analiwa kinyeo usikaze shingooo...!! Kila la heri.
 
Sema ukipata mtoto wa kiume akiwa na tabia za noeli jua analiwa kinyeo usikaze shingooo...!! Kila la heri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] relaaaaaaax mzee wa kimasikharaaa, ni maisha yao, wee unaumia nn? Kwan wee kwenye mingle zako za kimasikharaaa kuna mtuu ana kufuatiliaaa???

Acha watu waishi wanavyotaka au wanavyopendaaa. Uzuri wakee huusiki kwa chochote kwaooo. Poleeeeeeeeeeh babuuuuu weee.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] relaaaaaaax mzee wa kimasikharaaa, ni maisha yao, wee unaumia nn? Kwan wee kwenye mingle zako za kimasikharaaa kuna mtuu ana kufuatiliaaa???

Acha watu waishi wanavyotaka au wanavyopendaaa. Uzuri wakee huusiki kwa chochote kwaooo. Poleeeeeeeeeeh babuuuuu weee.
Nilijua wee ni mdada kumbee ni Chakulaaa pia. Nimepoteza muda wangu bure
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko wee unifundishee mie au kunielekezaa kuhusu hawa fashionista na designers? Hassanali ni yeye. Na Noel n yeye. Kila mtu anapita ktk njia zake japo kazi n 1.

Huo ushogaaaa unaujua na kuuona wee kwa hao watu, wala sie wengine sio shda zetu. Relaaaaaaaaaaaaxxxxxxx.
Wanataka kuhamisha mada umejua kuwakata ngebe,

Noel ni fashionista na designer, PERIOD.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeanza kupanick tayariiii, mkiambiwa ukwelii mnaanza kuhemkwaaaaa.
Poleeeeeeeeeh babuuuu weee.
Mijadala wanaitaka ila hasira zipo karibu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Queen, Queen, Queen,
Kwa hiyo umemtubisha dhambi zake ili alale kwa amani [emoji23][emoji23][emoji23]
We mwanamke sikuwezi, daah nimecheka sana.
Njoo umchukue shoga ako huku cocastic
Si umeona alienda kulala kwa amani na ameamka akiwa mchangamfu mwenye nguvu mpya [emoji1787]
 
Wanataka kuhamisha mada umejua kuwakata ngebe,

Noel ni fashionista na designer, PERIOD.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haswaaaaaaah!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndugu baunsa akaenda mnara kabisa dah!
20230120_185946.jpg


Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom