dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
- Thread starter
-
- #61
HahahahahahaahWe ndio maana mkeo anarudi nyumbani muda anaotaka, anakutukana, kukujibu hovyo na anakupiga na vibao kabisa. We yanakuhusu nini dogo?
Hahahahahaha hakuna jinsi ..ila walu wewe umewaza kuwa jamaa anaeza kuwa pundaTutafanyaje sasa😂😂
HahahahahahaahKwanza TRA walitakiwa wambinye kende zake aeleze anatoa wapi pesa na kama analipa kodi, shwaiiiin.
Sahih kbsaaSi kazi pekee, ila wakishirikiana na benki kuu wana wajibu kufuatilia na kujua vyanzo vya mapato vya raia wake hasa pale kunapokua na hali ya sintofahamu.
ngoja kwanza ziishe halafu ndio tutampigia mahesabu ya kodi anayodaiwa..Kwa usanii tu hata kutembelea mikoa minne ni mtihani sana.
Hata Hana hit song tusema anakwenda kufanya show mbele, yuko katika ofisi moja wa tajri akijifanya mtaalamu wa graphics na marketing manager content.
Kuna jamaa jamaa alisema Kuna kitu amekiweka rehani kwa Siri kubwa.
View attachment 2909009
TRA hawafanyi Kaz zao ipazwavyo na kwa nchi hi ukiwa muhujumu uchumi unapendwa na watakuja watu watanimbia nikatafute pesa niache wivu na kisonona
Inategemeana Ni dili lipi Hilo mkuuAkikutonya upate hizo pesa utakubali ?
Ya kupumuliwa kizogoni Ni Kaz kwli hyo au tusema kubebeshwa mizigo ndio Kaz hyoWanaume punguzeni wivu...ukipata nafasi yake hata wewe huwezi acha
Kuamini hiyo nyingine ni ngumu .Hahahahahaha hakuna jinsi ..ila walu wewe umewaza kuwa jamaa anaeza kuwa punda
Hahahahahaha..kwani humu huyo anayeongelewq anaongelewa kwa deal gani anayofanya ?Inategemeana Ni dili lipi Hilo mkuu
Hahahahahahaha..sasa kwa akili za wabongo hiyo nyingine ndio wanaoyoifikiria muda wote...kuna mmoja kaomba apewe hy line na dimpoz ...hahahahahaKuamini hiyo nyingine ni ngumu .
Nakumbuka alishawai kulijibu ilo swali ,nanukuuKwa usanii tu hata kutembelea mikoa minne ni mtihani sana.
Hata Hana hit song tusema anakwenda kufanya show mbele, yuko katika ofisi moja wa tajri akijifanya mtaalamu wa graphics na marketing manager content.
Kuna jamaa jamaa alisema Kuna kitu amekiweka rehani kwa Siri kubwa.
View attachment 2909009
TRA hawafanyi Kaz zao ipazwavyo na kwa nchi hi ukiwa muhujumu uchumi unapendwa na watakuja watu watanimbia nikatafute pesa niache wivu na kisonona
we mrembo umenisisimua natamani uje uikalie yanguNasikia anaikalia
heheh aiseee😂😂Basi atakuwa na utamu sana😂😂