MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
- Thread starter
-
- #181
B_E.......nijuavyo mie ni aina ya dawa zinazosemekana kumfanya mtu akupende zaidi. Hutolewa na waganga wanaojiita wa dawa za mapenzi ambao siamini kama wapo!! Kwa wenzetu wa Bukoba wanaiita Shuntama kama sikosei ingawa sijui kama hii ya kwao ni ya asili au nayo wanapata toka kwa mawitch doctors!!MwanaJamiiOne,
Limbwata Ni Nini?
Babu Inspector......shikamoo Babu yanguHabari yake second thought!
Here we are Smiles let's say No to Limbwata!! (Wamelala ila bado kuna hii kabaila moja St. RR haitaki kabisa kusalimu amri tuifanyaje)
Limbwata kwako my protector.....??
Not applicable kabisa......
Comes with a natural cause!!! (Pope na Babu wamelala bado....etii eeh!!)
Aaah hapo usitie shaka kabisa.....(he calls himself 'saint' and saints only gives blessings....right??)
Do you believe kua utapewa blessings from him? (wameamka si umemuona Pope hapo)Aaah hapo usitie shaka kabisa.....(he calls himself 'saint' and saints only gives blessings....right??)
Aaah hapo usitie shaka kabisa.....(he calls himself 'saint' and saints only gives blessings....right??)
Smiles...put a smile on ma face please.,
:smile-big:Umewaona hao tu eh?
mmmh...on 2nd thought...
MwanaJamiiOne,
Limbwata Ni Nini?
Wapenzi wa JF...............Happy New Year kwenu wote
Was just thinking about Limbwata............ Kina kaka/dada on the second thought..hv mwanamke/mwanaume wako akikuwekea Limbwata kuna ubaya gani??........... kwa sababu si huwa hiyo inafanya kwa kuwa anakupenda sana? Yaani Mumeo/Mkeo/Mpenzi akikulimbwata lengo lake si ni kuwa na wewe milele.....and that means anakupenda sana (Why asimwekee Juma/Halima, George/Rose au mwingine??)
Kuwekewa Limbwata kwa nini kusichukuliwe kama vile vingine ambavyo mnaviaprove mkifanyiwa mf. Mwanadada/Kaka anapokuwa mbunifu ili tu akuwini uvutiwe naye kila siku na kubaki nae??.....
On the second thought.
Hapa nazungumzia kwa wale wenye mapenzi huru (i.e. mume/mke halali, mpenzi ambaye unatarajia kuoa/olewa).
B_E.......nijuavyo mie ni aina ya dawa zinazosemekana kumfanya mtu akupende zaidi. Hutolewa na waganga wanaojiita wa dawa za mapenzi ambao siamini kama wapo!! Kwa wenzetu wa Bukoba wanaiita Shuntama kama sikosei ingawa sijui kama hii ya kwao ni ya asili au nayo wanapata toka kwa mawitch doctors!!
:behindsofa:Mmmhh umeipenda au mbona umeiulizia????
Asante sana mjukuu...inspectee.Babu Inspector......shikamoo Babu yangu
Wewe pia karibu na ninakutakia mwaka 2011 uwe wa mapenzi, mapenzi na mapenzi moto moto kwenu na Bibi yangu.
Una baraka zote Babu yangu besides si nimesema nawatakia mwaka 2011 mwema uwe wa mapenzi? Who knows utamalizana vipi na Smiles...........Do you believe kua utapewa blessings from him? (wameamka si umemuona Pope hapo)
Sorry Mjukukuu nakwenda off topic kidogo. Lakini si umeshakonkuludi hii thread etii eh?
DA hahaha my dada mimi ni mwanajamii na mwanajamii hujitahidi kujua kila kitokeacho ndani ya jamii.........Jibu kamili hili. Halafu mbona umeielezea sana kama unaitumia vile napata wasiwasi vile!!