Ona jinsi Israel ilivyoichafua na kuibana mbavu Palestina

Ona jinsi Israel ilivyoichafua na kuibana mbavu Palestina

Vipi Wangoni wanaweza urudi South Africa kudai ardhi yao na dunia ikawaelewa? Achana na mambo ya historia, kipindi hicho watu walikuwa wanahama hama tu bila mipaka wala passport au visa. Sasa baada ya mipaka kuwepo dunia kubadilika urudi udai hapa ilikuwa ni sehemu ya mababu zangu miaka ya 1700, eti na dunia ikuunge mkono, au uje useme hili eneo langu Mungu wangu kaniambia hivyo.
Ndio wangoni wanaweza kurudi kudai ardhi yao kama wangekuwa hawana sehemu ya kukaa na kuweka makazi. Israel hawana sehemu ya kukaa tofauti na hiyo ardhi palestina walioitwaa
 
Ndio wangoni wanaweza kurudi kudai ardhi yao kama wangekuwa hawana sehemu ya kukaa na kuweka makazi. Israel hawana sehemu ya kukaa tofauti na hiyo ardhi palestina walioitwaa
Unajua kabisa unaongea kitu ambacho hakiwezekani basi tu unaongea kujustify point yako
 
Kikubwa wewe Fanya mambo yanayokuhusu, hakuna binadamu aliye kwa ajili ya wengine hata wewe mwenyewe jitafakari, hata hao waarabu walikuja wakatufunga minyororo kama mbwa. Binadamu ni kiumbe mwema na katiri.
Ni sisi watu weusi ndo hatutambui, bado tunawaza kidini, bado tunatamani dunia iwe mahali pa kupendana, tunasahau kwamba hapa duniani hakuna kupendana Bali masilahi. Wao walitumia dini kututawala.
 
Back
Top Bottom