Ona jinsi Israel ilivyoichafua na kuibana mbavu Palestina

Ona jinsi Israel ilivyoichafua na kuibana mbavu Palestina

Wewe ni kichwa ngumu na kama unaingia kanisani unafuata kitu kingine tofauti na kuabudu kwa sababu wewe utakuwa ni mpagani.
Mungu sio wa kwangu peke yangu ni wa kwako pia na huwa kila kiumbe kinamjua bila hata kusoma Qur'an..Kwenye Qur'an tunapata mambo ya ziada Mungu anayotaka tufanye na kwa faida yetu tukishaondoka duniani.
Mtoto mchanga akizaliwa anakuwa ni muislamu na anafanya vitu ambavyo hakuwahi kusoma popote..Siku mvua ikinyesha na radi zikapiga mfululizo wewe huwa unaogopa na kujificha sehemu unayodhani ni salama.Nani unayemuogopa,nini kinachokutisha na nani huwa unadhani ndiye mwenye uwezo wa kukunusuru.Hali hizo unakuwa umesoma wapi.
Mantiki ya kuiamini Qur'an kuwa kinachosemwa humo hakina shaka ni ya wazi kabisa lakini nimeona nikupitishie sehemu akili yako changa itafahamu na bado umekuwa mgumu.
Hayo matamko ya kwamba unataka ushahidi wa kujulikana Mungu kabla ya nabii Muhammad ni matamko ya jeuri na ndio porojo zenyewe.Kwa jeuri yako hii hata tukianza kupata ushahidi wa kuchimbua ardhini utaupinga.Kama ni hivyo subiri uone malipo ya jeuri yako siku Mungu unayempinga na kumwita kwa dharau kuwa ni wangu atakapokutia mkononi.
Mimi sikukatazi kumuamini huyo Mungu.
babu yangu aliamini mungu wake ni ule mti wa jirani.
Wahindi wanaabudu ng'ombe
Wakristo wanasema Yesu ni mungu
Sasa hawa wote ng'ombe,mti,Yesu na Allah sio kitu kimoja.
mimi nimuamini mungu wako au nisiamini hilo ni juu yangu.
Sikatai kuwa Huyo Allah ni Mungu wa kweli au sio(siyo mada hiyo)
Kesi yangu kwako ni kuwa je kuna mtu aliyemuamini na kumtii huyo mungu wako Allah kabla ya Muhammad?

sasa naomba Ushahidi kuwa watu walimjua huyo Mungu(Allah) kabla ya Muhamad



Note:Huo ushahidi uuchimbe uuchimbue uufukie uuchambie ila sharti uwe ulikuwepo kabla ya Muhammad.
 
Hilo jambo halitotokea.Bindadamu huwa tunafanya jeuri ya hali ya juu kama kutahiniwa na Mwenyezi Mungu wakati YEYE hapatai hasara yoyote lakini siku ile jeuri inapoingilia uwezo na maamuzi yake wazi wazi huwa hatoi fursa kwa jeuri hiyo,hutoa adhabu kali na kumfedhehesha mkosaji na habari yake hubaki historia ya muda mrefu ujao hata wengine baadae wakijifanya hawakusikia.
Aliwahi kufanya hivyo mfalme wa Yemen aliyeabudu dini za kishirikina akitaka kuivunja Alkaaba,babu yake Mtume Muhammad s.a.w aliposikia jeshi kubwa asiloweza kupambana nalo liko karibu akaamuru watoto na jamaa zake wakajihifadhi majabalini na akasema anamuachia Mwenyezi Mungu nyumba yake ailinde anavyopenda.Mfalme na jeshi lake wakati alkaaba iko karibu kabisa hawakuifikia wakafa vifo vya kutisha na waliobaki wakarudi kwao katika hali ya kudhalilika sana.Mwenyezi Mungu aliyefanya hivyo yupo na AlAqSA ni miongoni mwa nyumba zake hizo.Wataendelea kuuvunjia heshima na kuzuia waislamu wasiingie lakini siku wakikusudia kuuvunja ndio mwisho wao.
Angalia Mwenyezi Mungu anavyowafedhehesha japo kidogo ili watu wazingatie.Donald Trump alivyofanya kwa Jerusalem mwaka jana tu anaondoka madarakani kwa aibu kubwa na kuwa kichekesho kwa dunia.
Litatokea,tena bado kitambo kidogo!
Msingi ushaonekana,bado kitu kimoja tu,utavunjwa vzr sana na hekalu linajengwa tena hapo!
 
Mkuu Kuna kitu kikubwa wengi hamkijui kuhusu siasa za dunia na hasa Marekani uliyoigusia pamoja Donald Trump.Ndugu yangu elewa kuwa dunia ingekuwa salama zaidi ikiwa DT angeendelea kuwa rais wa USA.Joe Biden na Obama na genge lake wote ni mainjinia wa NWO.Na DT Ni km alikuwa anawachelewesha kufikia malengo yao na ndio unaona nguvu kubwa ilitumika kuhakikisha harudi ikulu.Ktk miaka 4 ya Joe utashuhudia mengi ya kutisha.Dunia ilikuwa salama zaid mikononi mwa Trump.Wanaoelewa wanajua ni nn naongea.
Wachache sn wanaelewa hili!
Wataelewa wakati too late!
 
Hizi conspiracy zenu zinafurahisha sana.... Hizi story zipo zaidi ya 3 decades now and nothing is happening.
Ubongo uliochoka hauwezi kuona kinachoendelea na kinachofanyika.Hujui mpk Sasa Vatican imeingia mikataba mingapi na Israel,Hujui kwamba katiba ya NWO ilishatoka kitambo,Hujui mpango wa kupunguza population kupitia vyakula nk ulivyo,Hujui malengo ya Obamacare,hujawahi kufuatilia mikutano na matamshi ya kina Kissinger Jr,hujui kuwa Sasa dunia iko ktk hatua ya ELIMINATION OF CASH MONEY.Miamala yote inaenda kuwa ya kielektroniki. Ndio ufunuo utatimia.siyo mambo ya akili nyepesi. Isiyotafuta maarifa.Haya mambo hayaendeshwi km mkutano wa hadhara.Unachoona,unachosikia siyo kitu halisi.Na nikusahihishe siyo kwamba haya mambo yapo miongo mitatu iliyopita bali ni karne yapo yanaenda mdogo mdogo.
 
Ubongo uliochoka hauwezi kuona kinachoendelea na kinachofanyika.Hujui mpk Sasa Vatican imeingia mikataba mingapi na Israel,Hujui kwamba katiba ya NWO ilishatoka kitambo,Hujui mpango wa kupunguza population kupitia vyakula nk ulivyo,Hujui malengo ya Obamacare,hujawahi kufuatilia mikutano na matamshi ya kina Kissinger Jr,hujui kuwa Sasa dunia iko ktk hatua ya ELIMINATION OF CASH MONEY.Miamala yote inaenda kuwa ya kielektroniki. Ndio ufunuo utatimia.siyo mambo ya akili nyepesi. Isiyotafuta maarifa.Haya mambo hayaendeshwi km mkutano wa hadhara.Unachoona,unachosikia siyo kitu halisi.Na nikusahihishe siyo kwamba haya mambo yapo miongo mitatu iliyopita bali ni karne yapo yanaenda mdogo mdogo.
Conspiracy tu... Cash money lazima iondoke huwezi pingana na technology kila kitu kinaenda digital sasa wategemea tutaendelea tumia coins na makaratasi mpaka lini. You are too afraid of what will never come. Hakuna kitu kama hicho ni uoga tu kama wa wale wanaoamini dunia inaisha mwaka flani, tunapita, wanakuja na mwaka mwingine tunapita.

Consipiracies watu wanazipenda sana endelea kuziamini. tu. Sasa unataka miamala iweje, digital electronic money, ni instant, na secure.

1607752863471.png

Hapa penyewe niko nafanya kazi ya kutengeneza PPT za digital payments and transactions ili ziwe bora zaidi inatakiwa nini kiboreshwe. Technology huwezi kuikimbia
 
Ubongo uliochoka hauwezi kuona kinachoendelea na kinachofanyika.Hujui mpk Sasa Vatican imeingia mikataba mingapi na Israel,Hujui kwamba katiba ya NWO ilishatoka kitambo,Hujui mpango wa kupunguza population kupitia vyakula nk ulivyo,Hujui malengo ya Obamacare,hujawahi kufuatilia mikutano na matamshi ya kina Kissinger Jr,hujui kuwa Sasa dunia iko ktk hatua ya ELIMINATION OF CASH MONEY.Miamala yote inaenda kuwa ya kielektroniki. Ndio ufunuo utatimia.siyo mambo ya akili nyepesi. Isiyotafuta maarifa.Haya mambo hayaendeshwi km mkutano wa hadhara.Unachoona,unachosikia siyo kitu halisi.Na nikusahihishe siyo kwamba haya mambo yapo miongo mitatu iliyopita bali ni karne yapo yanaenda mdogo mdogo.
Duh halafu hii ya kuondoa kwa matumizi ya cash,mwalim C.M ameelezea sn kwny semina ya vyombo vya habari ya mwisho aliyoifanya,tena with facts kibiblia! Aisee acheni,watu hawaelewi tupo kipindi gani mkuu km dunia kwa sasa!
 
Mimi sikukatazi kumuamini huyo Mungu.
babu yangu aliamini mungu wake ni ule mti wa jirani.
Wahindi wanaabudu ng'ombe
Wakristo wanasema Yesu ni mungu
Sasa hawa wote ng'ombe,mti,Yesu na Allah sio kitu kimoja.
mimi nimuamini mungu wako au nisiamini hilo ni juu yangu.
Sikatai kuwa Huyo Allah ni Mungu wa kweli au sio(siyo mada hiyo)
Kesi yangu kwako ni kuwa je kuna mtu aliyemuamini na kumtii huyo mungu wako Allah kabla ya Muhammad?

sasa naomba Ushahidi kuwa watu walimjua huyo Mungu(Allah) kabla ya Muhamad



Note:Huo ushahidi uuchimbe uuchimbue uufukie uuchambie ila sharti uwe ulikuwepo kabla ya Muhammad.
 
Mimi sikukatazi kumuamini huyo Mungu.
babu yangu aliamini mungu wake ni ule mti wa jirani.
Wahindi wanaabudu ng'ombe
Wakristo wanasema Yesu ni mungu
Sasa hawa wote ng'ombe,mti,Yesu na Allah sio kitu kimoja.
mimi nimuamini mungu wako au nisiamini hilo ni juu yangu.
Sikatai kuwa Huyo Allah ni Mungu wa kweli au sio(siyo mada hiyo)
Kesi yangu kwako ni kuwa je kuna mtu aliyemuamini na kumtii huyo mungu wako Allah kabla ya Muhammad?

sasa naomba Ushahidi kuwa watu walimjua huyo Mungu(Allah) kabla ya Muhamad



Note:Huo ushahidi uuchimbe uuchimbue uufukie uuchambie ila sharti uwe ulikuwepo kabla ya Muhammad.
Hakuna kisichowezekana mbele ya Mungu na yapo mengi tu ambayo yanathibitisha kuwepo Mungu hata kimaandishi kabla ya hata nabii Muhammad.Yapo mengi pia yatakayothibitisha kwa ufasaha zaidi kadri teknolojia zinavyojitokeza.
Iwapo ishara zote ambazo zipo mwilini mwako hazijakutosheleza kuwa Mungu alikuwepo kabla ya chochote na unalazimisha uoneshwa ushahidi wa historia.Kama unavyonitaka nisikulazimishe kumuamini Mungu bila ushahidi wa historia na wewe pia usilazimishe kwamba mimi niwe nimezaliwa kabla ya mitume ili nikukusanyie wewe ushahidi wakati mwenyewe pengine nimezaliwa baada yako.
Ikiwa umekosa historia ya kuamini kuwepo kwa Mungu basi subiri ushahidi katika uvumbuzi unaofuatia na kama wewe mwenyewe utakuwa hai.Zaidi ya hapo utasubiri adhabu iumizayo kwa kutokumuani Mungu wakati wa uhai wako wakati kila kitu kiliwekwa mbele yako ili umuamini.
 
Hakuna kisichowezekana mbele ya Mungu na yapo mengi tu ambayo yanathibitisha kuwepo Mungu hata kimaandishi kabla ya hata nabii Muhammad.Yapo mengi pia yatakayothibitisha kwa ufasaha zaidi kadri teknolojia zinavyojitokeza.
Iwapo ishara zote ambazo zipo mwilini mwako hazijakutosheleza kuwa Mungu alikuwepo kabla ya chochote na unalazimisha uoneshwa ushahidi wa historia.Kama unavyonitaka nisikulazimishe kumuamini Mungu bila ushahidi wa historia na wewe pia usilazimishe kwamba mimi niwe nimezaliwa kabla ya mitume ili nikukusanyie wewe ushahidi wakati mwenyewe pengine nimezaliwa baada yako.
Ikiwa umekosa historia ya kuamini kuwepo kwa Mungu basi subiri ushahidi katika uvumbuzi unaofuatia na kama utakuwa hai.
Mimi sijasema Mungu wako hakuwepo au alikuwepo kabla ya Muhammad...maana naweza kusema hata sasa hivi hayupo.
Hii sio mada

Mada ni je! kuna watu walimjua huyo Mungu kabla ya Muhammad?

Maana kama watu walimjua na kumuabudu ushahidi ungekuwepo wa kusheheni tu kama jinsi Ushahidi wa kuwa mwaka 900AD kuna watu walimjua nakumuabudu(hadith na quran na sira)...au kama ushahidi wa Veda unavoonesha wahindu waliabudu miungu yao miaka mingi BC,Au kama Avesta zinavyoonesha uzoroastra ulikuwepo kabla ya Muhammad.

So kama watu walikuwepo wakimuabudu allah kabla ya Muhammad basi Ushahidi ungekuwepo na hawa watu wangeitwa/kujiita waislam...

Lakini kama huo ushahidi haupo kama wewe unavokiri na kusema tusubirie future ndo ushahidi utajileta...Basi subiri future ndo useme But at the present usirudie tena kusema uislam ulikuwepo kabla ya Muhamad utaonekana mjinga mbele ya wasomi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sijasema Mungu wako hakuwepo au alikuwepo kabla ya Muhammad...maana naweza kusema hata sasa hivi hayupo.
Hii sio mada

Mada ni je! kuna watu walimjua huyo Mungu kabla ya Muhammad?

Maana kama watu walimjua na kumuabudu ushahidi ungekuwepo wa kusheheni tu kama jinsi Ushahidi wa kuwa mwaka 900AD kuna watu walimjua nakumuabudu(hadith na quran na sira)...au kama ushahidi wa Veda unavoonesha wahindu waliabudu miungu yao miaka mingi BC,Au kama Avesta zinavyoonesha uzoroastra ulikuwepo kabla ya Muhammad.

So kama watu walikuwepo wakimuabudu allah kabla ya Muhammad basi Ushahidi ungekuwepo na hawa watu wangeitwa/kujiita waislam...

Lakini kama huo ushahidi haupo kama wewe unavokiri na kusema tusubirie future ndo ushahidi utajileta...Basi subiri future ndo useme But at the present usirudie tena kusema uislam ulikuwepo kabla ya Muhamad utaonekana mjinga mbele ya wasomi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu fafanua jinsi mwaka 900AD walivyomjua na kumuabudu Mungu.Pia fafanua Veda inavyoonesha ibada ya Mungu na Avesta zinavyoonesha Uzorostan.
Usinilishe maneno ambayo sijayasema kwamba hakuna ushahidi wa kuabudiwa Mwenyezi Mungu kabla ya nabii Muhammada s.a.w.Kama una ushahidi nimesema onesha.Na kama hukunifahamu itakuwa ni upungufu wa akili zako.
Hapa ukiamua kunijibu usianze na ngonjera.Jibu nukta baada ya nukta.
 
Hebu fafanua jinsi mwaka 900AD walivyomjua na kumuabudu Mungu.Pia fafanua Veda inavyoonesha ibada ya Mungu na Avesta zinavyoonesha Uzorostan.
Usinilishe maneno ambayo sijayasema kwamba hakuna ushahidi wa kuabudiwa Mwenyezi Mungu kabla ya nabii Muhammada s.a.w.Kama una ushahidi nimesema onesha.Na kama hukunifahamu itakuwa ni upungufu wa akili zako.
Hapa ukiamua kunijibu usianze na ngonjera.Jibu nukta baada ya nukta.
Mwaka 900AD Quran ilikuwepo na ni ushahidi tosha kuwa Allah alikuwa anajulikana...Vivo hivo kwa Veda na Avesta.

Sasa Mada ishaisha umebakiza ngonjera tu.
Hakuna ushahidi uislam ulikuwepo kabla ya muhammad na haujautoa mpaka sasa na unasubiria future huko.

Tumeshafunga mjadala kama unataka kuendeleza usiendeleze na maneno ya kanga weka ushahidi wa Allah kujulikana kabla ya Muhammad na ushahidi uwe ulikuwepo kabla ya Muhammad....
simple tu
 
Mwaka 900AD Quran ilikuwepo na ni ushahidi tosha kuwa Allah alikuwa anajulikana...Vivo hivo kwa Veda na Avesta.

Sasa Mada ishaisha umebakiza ngonjera tu.
Hakuna ushahidi uislam ulikuwepo kabla ya muhammad na haujautoa mpaka sasa na unasubiria future huko.

Tumeshafunga mjadala kama unataka kuendeleza usiendeleze na maneno ya kanga weka ushahidi wa Allah kujulikana kabla ya Muhammad na ushahidi uwe ulikuwepo kabla ya Muhammad....
simple tu
Ikiwa unalazimisha kufunga mjadala itakuwa umeshindwa kuendeleza hoja zako za kijinga.Nilikwambia jibu nukta kwa nukta.
Qur'an iliteteremshwa kabla ya 900AD.Kama umekubali kumjua Allah kupitia Qur'an basi kuanzia sasa tujadiliane kuhusu Allah s.w na uwepo wake kufuatana na Qur'an na usitoke tena kama ulivyofanya mwanzo kujifanya huiamini.
Nilitaka pia unioneshe wapi na kwa namna gani Veda inavyoonesha kumjua Mungu na Avesta inavyoutambulisha Uzorostam.Hilo hujafanya.Nakusubiri.
 
Ikiwa unalazimisha kufunga mjadala itakuwa umeshindwa kuendeleza hoja zako za kijinga.Nilikwambia jibu nukta kwa nukta.
Qur'an iliteteremshwa kabla ya 900AD.Kama umekubali kumjua Allah kupitia Qur'an basi kuanzia sasa tujadiliane kuhusu Allah s.w na uwepo wake kufuatana na Qur'an na usitoke tena kama ulivyofanya mwanzo kujifanya huiamini.
Nilitaka pia unioneshe wapi na kwa namna gani Veda inavyoonesha kumjua Mungu na Avesta inavyoutambulisha Uzorostam.Hilo hujafanya.Nakusubiri.
Quran ilikuja kabla ya 900AD lakini sio kabla ya 600AD...Kwahyo hakukuwa na Uislam kabla ya 600AD

KAMA UNASEMA ULIKUWEPO KABLA YA 600AD ONESHA USHAHIDI AMBAO USHAHIDI WENYEWE ULIKUWEPO KABLA YA 600AD.

Usijaribu kurukaruka kuulizia Veda na Avesta Maliza kwanza Hapa ndo namimi nitakujibu kuhusu izo.

Maliza Kirahisi tu kwa kujibu hili, Je! kuna Ushahidi kuwa 'Uislam' ulikuwepo kabla ya 600AD??(ushahidi uwe ulikuwepo kabla ya 600AD)


Jibu Ndiyo Au hapana.
Kama ndiyo Uweke huo Ushahidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Quran ilikuja kabla ya 900AD lakini sio kabla ya 600AD...Kwahyo hakukuwa na Uislam kabla ya 600AD

KAMA UNASEMA ULIKUWEPO KABLA YA 600AD ONESHA USHAHIDI AMBAO USHAHIDI WENYEWE ULIKUWEPO KABLA YA 600AD.

Usijaribu kurukaruka kuulizia Veda na Avesta Maliza kwanza Hapa ndo namimi nitakujibu kuhusu izo.

Maliza Kirahisi tu kwa kujibu hili, Je! kuna Ushahidi kuwa 'Uislam' ulikuwepo kabla ya 600AD??(ushahidi uwe ulikuwepo kabla ya 600AD)


Jibu Ndiyo Au hapana.
Kama ndiyo Uweke huo Ushahidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu umekubali kupata ushahidi kupitia Qur'an ,kitabu kisicho na shaka angalia jibu la kuwa Mungu wetu sote jina lake sahisi ni Allah alikuwepo tangu mwanzo na atabaki milele .Qur'an katika surat Alhashiri :22 inasema
Yeye ndiye Mwenyezi Mungu (Allah) ambaye hakuna mwenngine isipokuwa Yeye هُوَ اللَّهُ الَّذِي لَا إِلَهَ إِلَّا هُوَ
Katika surat Alhadid aya ya 3 inasema هُوَ الْأَوَّلُ وَالْآخِرُ Yeye Allah ni wa mwanzo na ni wa mwisho.
A
ya hizo mbili utajuwa kuwa Allah ni mmoja na pekee na ni wa mwanzo na wa mwisho.Hizo ni moja tu ya sifa zake na wasifu wake kati ya nyingi nyengine.
Ulipoona huna hoja unajaribu kupindisha mada .mara Allah mara Uislamu.Kuhusu Veda na Avesta na Uzorostam kama ulivyojigamba hujaniambia wamemjuwaje Allah.Nasubiri jawabu yako.Na kama umejiona umeshindwa kuendelea na hoja kaa kimya kuliko kujigaragaza kwenye mambo ambayo huna ujuzi nayo.
 
Kwa sababu umekubali kupata ushahidi kupitia Qur'an ,kitabu kisicho na shaka angalia jibu la kuwa Mungu wetu sote jina lake sahisi ni Allah alikuwepo tangu mwanzo na atabaki milele .Qur'an katika surat Alhashiri :22 inasema
Yeye ndiye Mwenyezi Mungu (Allah) ambaye hakuna mwenngine isipokuwa Yeye هُوَ اللَّهُ الَّذِي لَا إِلَهَ إِلَّا هُوَ
Katika surat Alhadid aya ya 3 inasema هُوَ الْأَوَّلُ وَالْآخِرُ Yeye Allah ni wa mwanzo na ni wa mwisho.
A
ya hizo mbili utajuwa kuwa Allah ni mmoja na pekee na ni wa mwanzo na wa mwisho.Hizo ni moja tu ya sifa zake na wasifu wake kati ya nyingi nyengine.
Ulipoona huna hoja unajaribu kupindisha mada .mara Allah mara Uislamu.Kuhusu Veda na Avesta na Uzorostam kama ulivyojigamba hujaniambia wamemjuwaje Allah.Nasubiri jawabu yako.Na kama umejiona umeshindwa kuendelea na hoja kaa kimya kuliko kujigaragaza kwenye mambo ambayo huna ujuzi nayo.
Naona sasa unanipotezea muda
Quran ilikuwepo kabla ya 600AD?
naomba uniambie ni wapi nimesema watu walimjua Allah kupitia Veda na Avesta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona sasa unanipotezea muda
Quran ilikuwepo kabla ya 600AD?
naomba uniambie ni wapi nimesema watu walimjua Allah kupitia Veda na Avesta.

Sent using Jamii Forums mobile app
Qur'an ndio ilikuwepo kabla ya hapo.Hii mada ni nzito kwako na haikuhusu kwa sasa.
Ikiwa una shughuli nyengine nakuruhusu nenda kafanye.Nakuonea huruma.Na kabla kuondoka bora ujibu hapo chini.
Mwaka 900AD Quran ilikuwepo na ni ushahidi tosha kuwa Allah alikuwa anajulikana...Vivo hivo kwa Veda na Avesta.
Haya ndiyo maneno yako kuhusu Veda na Avesta baada ya kukubali ushahidi wa Qur;an kuhusu Allah
Kwa sababu umeishiwa na hoja unaona uvivu kutoa ufafanuzi
 
Qur'an ndio ilikuwepo kabla ya hapo.Hii mada ni nzito kwako na haikuhusu kwa sasa.
Ikiwa una shughuli nyengine nakuruhusu nenda kafanye.Nakuonea huruma.Na kabla kuondoka bora ujibu hapo chini.

Haya ndiyo maneno yako kuhusu Veda na Avesta baada ya kukubali ushahidi wa Qur;an kuhusu Allah
Kwa sababu umeishiwa na hoja unaona uvivu kutoa ufafanuzi
Quran kuwepo huko mbinguni kabla ya 600AD sio ishu hapa tunaongelea vitu vilvyokuwepo duniani na kujulikana na watu labda uniambie hapa duniani Quran ilikuwepo before mUhammad?
Leta Ushahidi uliokuwepo Duniani kabla ya Muhammad mwaka 600AD hata jina Allah tu lilitungwa na Muhamad mwaka 620AD

Kuhusu Avesta na Veda sijasema zilifanya watu wamjue allah..kila dini ina mungu wao,,Veda za wahindu na Avesta za wazoroastra.

Frankly I am dissapointed in your inability to make or defend an argument.
 
Qur'an ndio ilikuwepo kabla ya hapo.Hii mada ni nzito kwako na haikuhusu kwa sasa.
Ikiwa una shughuli nyengine nakuruhusu nenda kafanye.Nakuonea huruma.Na kabla kuondoka bora ujibu hapo chini.

Haya ndiyo maneno yako kuhusu Veda na Avesta baada ya kukubali ushahidi wa Qur;an kuhusu Allah
Kwa sababu umeishiwa na hoja unaona uvivu kutoa ufafanuzi
Umepigwa za uso mzee,kajipange upya
 
Back
Top Bottom