Ona jinsi Israel ilivyoichafua na kuibana mbavu Palestina

Ona jinsi Israel ilivyoichafua na kuibana mbavu Palestina

Hilo jambo halitotokea.Bindadamu huwa tunafanya jeuri ya hali ya juu kama kutahiniwa na Mwenyezi Mungu wakati YEYE hapatai hasara yoyote lakini siku ile jeuri inapoingilia uwezo na maamuzi yake wazi wazi huwa hatoi fursa kwa jeuri hiyo,hutoa adhabu kali na kumfedhehesha mkosaji na habari yake hubaki historia ya muda mrefu ujao hata wengine baadae wakijifanya hawakusikia.
Aliwahi kufanya hivyo mfalme wa Yemen aliyeabudu dini za kishirikina akitaka kuivunja Alkaaba,babu yake Mtume Muhammad s.a.w aliposikia jeshi kubwa asiloweza kupambana nalo liko karibu akaamuru watoto na jamaa zake wakajihifadhi majabalini na akasema anamuachia Mwenyezi Mungu nyumba yake ailinde anavyopenda.Mfalme na jeshi lake wakati alkaaba iko karibu kabisa hawakuifikia wakafa vifo vya kutisha na waliobaki wakarudi kwao katika hali ya kudhalilika sana.Mwenyezi Mungu aliyefanya hivyo yupo na AlAqSA ni miongoni mwa nyumba zake hizo.Wataendelea kuuvunjia heshima na kuzuia waislamu wasiingie lakini siku wakikusudia kuuvunja ndio mwisho wao.
Angalia Mwenyezi Mungu anavyowafedhehesha japo kidogo ili watu wazingatie.Donald Trump alivyofanya kwa Jerusalem mwaka jana tu anaondoka madarakani kwa aibu kubwa na kuwa kichekesho kwa dunia.
Mkuu wala si muda mrefu umebaki, na kabla ya Hilo kutokea lazima kwanza makao makuu ya papa yashift kutoka vatcan kwenda Jerusalem.Haya si kwamba ni mtu anaota anaandika,ni lazima yatimie kikamilifu.Na yako ktk hatua nzuri kabisa.japo pengine mm na ww hatutakuwa hai.
 
Hebu leta hayo maandishi uliyosoma yanayothibisha kuwa nabii Suleiman hakuwa muislamu. Itakuwa kwa ujinga wako hujui kuwa mitume wote ni waislamu na Uislamu ndio dini ya binadamu wa mwanzo Adam a.s na ndio dini ya Issa bin Maryam mnayemwita Yesu.
Uislam ulikuja miaka 700 baada ya ukristo kuwepo.habari za mudi ni habari za kutunga ili tu kuleta ukinzani kwa ukristo.Braza Mudi hajawahi kuwepo.
 
Hilo jambo halitotokea.Bindadamu huwa tunafanya jeuri ya hali ya juu kama kutahiniwa na Mwenyezi Mungu wakati YEYE hapatai hasara yoyote lakini siku ile jeuri inapoingilia uwezo na maamuzi yake wazi wazi huwa hatoi fursa kwa jeuri hiyo,hutoa adhabu kali na kumfedhehesha mkosaji na habari yake hubaki historia ya muda mrefu ujao hata wengine baadae wakijifanya hawakusikia.
Aliwahi kufanya hivyo mfalme wa Yemen aliyeabudu dini za kishirikina akitaka kuivunja Alkaaba,babu yake Mtume Muhammad s.a.w aliposikia jeshi kubwa asiloweza kupambana nalo liko karibu akaamuru watoto na jamaa zake wakajihifadhi majabalini na akasema anamuachia Mwenyezi Mungu nyumba yake ailinde anavyopenda.Mfalme na jeshi lake wakati alkaaba iko karibu kabisa hawakuifikia wakafa vifo vya kutisha na waliobaki wakarudi kwao katika hali ya kudhalilika sana.Mwenyezi Mungu aliyefanya hivyo yupo na AlAqSA ni miongoni mwa nyumba zake hizo.Wataendelea kuuvunjia heshima na kuzuia waislamu wasiingie lakini siku wakikusudia kuuvunja ndio mwisho wao.
Angalia Mwenyezi Mungu anavyowafedhehesha japo kidogo ili watu wazingatie.Donald Trump alivyofanya kwa Jerusalem mwaka jana tu anaondoka madarakani kwa aibu kubwa na kuwa kichekesho kwa dunia.
Mkuu Kuna kitu kikubwa wengi hamkijui kuhusu siasa za dunia na hasa Marekani uliyoigusia pamoja Donald Trump.Ndugu yangu elewa kuwa dunia ingekuwa salama zaidi ikiwa DT angeendelea kuwa rais wa USA.Joe Biden na Obama na genge lake wote ni mainjinia wa NWO.Na DT Ni km alikuwa anawachelewesha kufikia malengo yao na ndio unaona nguvu kubwa ilitumika kuhakikisha harudi ikulu.Ktk miaka 4 ya Joe utashuhudia mengi ya kutisha.Dunia ilikuwa salama zaid mikononi mwa Trump.Wanaoelewa wanajua ni nn naongea.
 
Kwa kifupi Sana huyo munamwita sijui nani vile,Muhammad hajawahi kuwepo.Biblia ilichakachuliwa wahuni wanaandika hayo maandishi ya Quran.Na Kuna mengi waislamu hawaambiwi ukweli kuhusu Yesu Kristo.Ila mashehe wanajua.Kuna vifungu vingi vya Kuran vinamzungumzia Yesu na huwa hawavisomi kabisa.
 
Kwa wale wenye umri kama wa kwangu enzi hizo watakuwa na uzoefu wa majina ya miji ya kipalestina ambayo kwa sasa yote imezingirwa na makazi ya mayahudi wanaohamishwa kutoka mataifa mengine duniani kuja kuwabana wapalestina katika lengo la kuwamaliza.
Hayo maeneo yenye bluu iliyokoza ndiyo makazi ya kiyahudi. Unaweza ukashangaa kwanini yote yasiwe eneo moja na karibu na mpaka upande wa magharibi.Haya maeneo yanakuwa yamechaguliwa maalum na kuwekwa kwenye ramani.Yanakuwa ni yale yenye rutuba au vyanzo vya maji safi au miinuko kwa matumizi ya kijeshi. Kinachofuatia huwa ni muda tu kulingana na bajeti ya nchi. Zamu ya eneo fulani ikifika wakazi wa eneo hilo hupewa notisi ya kuhama kwa visingizio mbali mbali. Kwa udhaifu walionao na kwa kujua nguvu ya Israel wapalestina wengi huvunja majumba yao na kukushanya baadhi ya vitu vyao na kutia kwenye masanduku.Wale wanaoduwaa hawajachukua uamuzi ,siku ikifika mabuldoza hufika na kuvunja bila kuhoji.Baada ya muda mfupi unakuta maghorofa ya wakaazi wa kiyahudi yakiwa yamebadili sura ya eneo lote.
Kile alichowafanyia Hitler wameamua kukiwafanyia wenzao, na jambo la kushangaza dunia inatazama na kuchekelea tu.
 
Mkuu Kuna kitu kikubwa wengi hamkijui kuhusu siasa za dunia na hasa Marekani uliyoigusia pamoja Donald Trump.Ndugu yangu elewa kuwa dunia ingekuwa salama zaidi ikiwa DT angeendelea kuwa rais wa USA.Joe Biden na Obama na genge lake wote ni mainjinia wa NWO.Na DT Ni km alikuwa anawachelewesha kufikia malengo yao na ndio unaona nguvu kubwa ilitumika kuhakikisha harudi ikulu.Ktk miaka 4 ya Joe utashuhudia mengi ya kutisha.Dunia ilikuwa salama zaid mikononi mwa Trump.Wanaoelewa wanajua ni nn naongea.
Hizi conspiracy zenu zinafurahisha sana.... Hizi story zipo zaidi ya 3 decades now and nothing is happening.
 
Kwa kifupi Sana huyo munamwita sijui nani vile,Muhammad hajawahi kuwepo.Biblia ilichakachuliwa wahuni wanaandika hayo maandishi ya Quran.Na Kuna mengi waislamu hawaambiwi ukweli kuhusu Yesu Kristo.Ila mashehe wanajua.Kuna vifungu vingi vya Kuran vinamzungumzia Yesu na huwa hawavisomi kabisa.
Sasa hili linahusiana vipi na kuteswa kwa Wapalesina?
 
Mungu wa Isaka ,Ibrahim na Yakobo ndiye Mungu wangu na wako na Mungu wa Yesu na ni wa viumbe vyote,ni mmoja tu na hakuna mwengine.
So unaamin Mungu ndie aliyewapa pale pawe kwao milele?
Mungu niliyemtaja hapo juu hana sifa ya upendeleo na wala kufanya uadui na viumbe wake kama walivyo wayahudi.Mungu hawezi kuidhinisha kudhulumiwa kwa viumbe wake.
Ukisoma Bible inakuambia kuwa. Mungu anaweza kumpa mtu amtakae chochote.na inasema kabisa nimempenda Yakobo na nimemchukia esau
 
Kwa kifupi Sana huyo munamwita sijui nani vile,Muhammad hajawahi kuwepo.Biblia ilichakachuliwa wahuni wanaandika hayo maandishi ya Quran.Na Kuna mengi waislamu hawaambiwi ukweli kuhusu Yesu Kristo.Ila mashehe wanajua.Kuna vifungu vingi vya Kuran vinamzungumzia Yesu na huwa hawavisomi kabisa.

Kwani sisi kusoma hatujui mpaka tusomewe?!
 
Hilo jambo halitotokea.Bindadamu huwa tunafanya jeuri ya hali ya juu kama kutahiniwa na Mwenyezi Mungu wakati YEYE hapatai hasara yoyote lakini siku ile jeuri inapoingilia uwezo na maamuzi yake wazi wazi huwa hatoi fursa kwa jeuri hiyo,hutoa adhabu kali na kumfedhehesha mkosaji na habari yake hubaki historia ya muda mrefu ujao hata wengine baadae wakijifanya hawakusikia.
Aliwahi kufanya hivyo mfalme wa Yemen aliyeabudu dini za kishirikina akitaka kuivunja Alkaaba,babu yake Mtume Muhammad s.a.w aliposikia jeshi kubwa asiloweza kupambana nalo liko karibu akaamuru watoto na jamaa zake wakajihifadhi majabalini na akasema anamuachia Mwenyezi Mungu nyumba yake ailinde anavyopenda.Mfalme na jeshi lake wakati alkaaba iko karibu kabisa hawakuifikia wakafa vifo vya kutisha na waliobaki wakarudi kwao katika hali ya kudhalilika sana.Mwenyezi Mungu aliyefanya hivyo yupo na AlAqSA ni miongoni mwa nyumba zake hizo.Wataendelea kuuvunjia heshima na kuzuia waislamu wasiingie lakini siku wakikusudia kuuvunja ndio mwisho wao.
Angalia Mwenyezi Mungu anavyowafedhehesha japo kidogo ili watu wazingatie.Donald Trump alivyofanya kwa Jerusalem mwaka jana tu anaondoka madarakani kwa aibu kubwa na kuwa kichekesho kwa dunia.
Huu msikiti utavunjwa na juu yake litajengwa hekalu ili unabii utimie
 
Hebu leta hayo maandishi uliyosoma yanayothibisha kuwa nabii Suleiman hakuwa muislamu. Itakuwa kwa ujinga wako hujui kuwa mitume wote ni waislamu na Uislamu ndio dini ya binadamu wa mwanzo Adam a.s na ndio dini ya Issa bin Maryam mnayemwita Yesu.
Uslam umeokotezwa na Mtume Muhammad tena akiwa na maruwe ruwe.
 
Uslam umeokotezwa na Mtume Muhammad tena akiwa na maruwe ruwe.
Unajisemea tu bila ushahidi wowote.Una ndoto za kilokole.Mambo ya Mwenyezi Mungu hayatazamwi kwa jicho la hasira.
 
Wafilist walikutwa na Abraham pale gaza,,mkumbuke mfalme wa waflist,Abimael alietembea na sara mke wa Abraham,mpaka abraham akampiga faini ya mifugo kibao,
Wafilisti ndo hao wapalestina wa gaza,
Wapalestina wa west bank ni tofauti na gaza lakini
Acha uongo hakutembea na Sarah, alijaribu akashindwa
 
Wapalestina warudishe maeneo ya watu waende kwao maana hayo ni maeneo ya islael tangu enzi za ibrahimu,maana kihistoria hapo walikuwepo wahiti,waamori,wahivi na baadae wafilisti.je wapalestina ni akina nani miongoni mwa hao?
Waparestina ni wafiristi
 
Uislam ulikuja miaka 700 baada ya ukristo kuwepo.habari za mudi ni habari za kutunga ili tu kuleta ukinzani kwa ukristo.Braza Mudi hajawahi kuwepo.
Uislamu ndiyo dini ya mwanzo duniani.Ilikuwepo kabla hata binadamu hawajaanza kuishi duniani.Na zaidi ukristo umeletwa na akina Marko na Yohana kwa mujibu wa maandiko ya biblia.Yesu mwenyewe ni Muislamu kama mitume waliotangulia.Nabii Muhammada s.a.w alipokuja alikuja kuhuisha tu baada ya watu kupotoka tangu alipoondoka nduguye Yesu a.s.
 
Uislamu ndiyo dini ya mwanzo duniani.Ilikuwepo kabla hata binadamu hawajaanza kuishi duniani.Na zaidi ukristo umeletwa na akina Marko na Yohana kwa mujibu wa maandiko ya biblia.Yesu mwenyewe ni Muislamu kama mitume waliotangulia.Nabii Muhammada s.a.w alipokuja alikuja kuhuisha tu baada ya watu kupotoka tangu alipoondoka nduguye Yesu a.s.
Polee.
 
Uislamu ndiyo dini ya mwanzo duniani.Ilikuwepo kabla hata binadamu hawajaanza kuishi duniani.Na zaidi ukristo umeletwa na akina Marko na Yohana kwa mujibu wa maandiko ya biblia.Yesu mwenyewe ni Muislamu kama mitume waliotangulia.Nabii Muhammada s.a.w alipokuja alikuja kuhuisha tu baada ya watu kupotoka tangu alipoondoka nduguye Yesu a.s.
Hizi ndio sababu serikali inakataza bangi.
 
So unaamin Mungu ndie aliyewapa pale pawe kwao milele?
Ukisoma Bible inakuambia kuwa. Mungu anaweza kumpa mtu amtakae chochote.na inasema kabisa nimempenda Yakobo na nimemchukia esau
Hizi arguement zako ni sawa aje mtu mwenye nguvu katika eneo lako aseme Mungu wake kamwambia pale ndipo kuna kiwanja chake cha ahadi inabidi utoke au akutoe kwa nguvu. Then aanze kukudunda
 
.............................Miongoni mwa hao, Wapalesina ni Wafilisti.
Wapalestina warudishe maeneo ya watu waende kwao maana hayo ni maeneo ya islael tangu enzi za ibrahimu,maana kihistoria hapo walikuwepo wahiti,waamori,wahivi na baadae wafilisti.je wapalestina ni akina nani miongoni mwa hao?
 
Back
Top Bottom