Ona jinsi Israel ilivyoichafua na kuibana mbavu Palestina

Ona jinsi Israel ilivyoichafua na kuibana mbavu Palestina

Mkuu punguza jazba,Israel ilikuwepo hapo kabla ya 1948,sema waliondoka muda mfupi

Mkuu punguza jazba,hebu tusianzie mbali tuanze tu tr.1/1/1,Yesu alizaliwa bethrehemu,alisali yerusalemu hapo ni mwaka 30,mpaka hapo unadhani wapalestina walitangulia? Na kwa nyingeza tu hata msikiti wa Al aksa umejengwa juu ya mahali palipokuwa na hekalu la mfalme sulemani ambaye ni muislael.wapalestina warudi kwao.
Kwani mfalme Suleiman alikuwa myahudi?. Afadhali wapalestina wana undugu na mfalme Suleiman kwa sababu wote ni waislamu.Na ulivyosema ni ushahidi kuwa ardhi yote hiyo ni ya wapalestina.Ni ardhi ya Mtume wao na babu yao.
 
Ni maandishi ya waislaer kuwa ni maeneo yao na dunia imeamini hivyo.
 
Unaamini Israelites doesn't belong there?
Sijasema hivyo,,mimi naongelea history ,wafilist ndo wakazi wa mwanzo kabisa wa gaza,na miji around gaza,kiasili wafilist walitokea ulaya katika kisiwa cha crete,hawa watu walikuwa ni seamen,yaani wakiishi kwa shughuli ya kuvua,
Mji wa gaza ni kati ya oldest city ambayo umeendelea kuwepo,
Mpaka leo,shughuli ya uvuvi ndo shughuli kuu ya wananchi wa gaza,
Later on gaza ilikuja ikawa arabised,
 
Kwani mfalme Suleiman alikuwa myahudi?. Afadhali wapalestina wana undugu na mfalme Suleiman kwa sababu wote ni waislamu.Na ulivyosema ni ushahidi kuwa ardhi yote hiyo ni ya wapalestina.Ni ardhi ya Mtume wao na babu yao.
Sijui nani huwa anawapotosha namna hiyo yaani hata hujui kuwa sulemani alikuwa ni muislael;ngoja nikupe ilmu,sulemani ni mfalme aliyekuwa wa kabila la Yuda na ni mtoto wa daudi,kabila la Yuda ni moja ya kabila 12 za Israel,mkuu uwe unapitia historia mwenyewe usikomee kumsikiliza shekhe pekee utaendelea kula matango pori mpaka mwisho.
Nyongeza:
2 Ibrahimu alimzaa Isaka; Isaka akamzaa Yakobo; Yakobo akamzaa Yuda na ndugu zake;
Mathayo 1:2

3 Yuda akamzaa Peresi na Zera kwa Tamari; Peresi akamzaa Esromu; Esromu akamzaa Aramu;
Mathayo 1:3

4 Aramu akamzaa Aminadabu; Aminadabu akamzaa Nashoni; Nashoni akamzaa Salmoni;
Mathayo 1:4

5 Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu; Boazi akamzaa Obedi kwa Ruthu; Obedi akamzaa Yese;
Mathayo 1:5

6 Yese akamzaa mfalme Daudi.
Mathayo 1:6

7 Sulemani akamzaa Rehoboamu; Rehoboamu akamzaa Abiya; Abiya akamzaa Asa;
Mathayo 1:7

8 Asa akamzaa Yehoshafati; Yehoshafati akamzaa Yoramu; Yoramu akamzaa Uzia;
Mathayo 1:8

9 Uzia akamzaa Yothamu; Yothamu akamzaa Ahazi; Ahazi akamzaa Hezekia;
Mathayo 1:9

10 Hezekia akamzaa Manase; Manase akamzaa Amoni; Amoni akamzaa Yosia;
Mathayo 1:10

11 Yosia akamzaa Yekonia na ndugu zake, wakati wa ule uhamisho wa Babeli.
Mathayo 1:11

12 Na baada ya ule uhamisho wa Babeli, Yekonia akamzaa Shealtieli; Shealtieli akamzaa Zerubabeli;
Mathayo 1:12

13 Zerubabeli akamzaa Abihudi; Abihudi akamzaa Eliakimu; Eliakimu akamzaa Azori;
Mathayo 1:13

14 Azori akamzaa Sadoki; Sadoki akamzaa Akimu; Akimu akamzaa Eliudi;
Mathayo 1:14

15 Eliudi akamzaa Eleazari; Eleazari akamzaa Matani; Matani akamzaa Yakobo;
Mathayo 1:15

16 Yakobo akamzaa Yusufu mumewe Mariamu aliyemzaa YESU aitwaye Kristo.
Mathayo 1:16

17 Basi vizazi vyote tangu Ibrahimu hata Daudi ni vizazi kumi na vinne; na tangu Daudi hata ule uhamisho wa Babeli ni vizazi kumi na vinne; na tangu ule uhamisho wa Babeli hata Kristo ni vizazi kumi na vinne.
Mathayo 1:17
 
Mkuu punguza jazba,Israel ilikuwepo hapo kabla ya 1948,sema waliondoka muda mfupi

Mkuu punguza jazba,hebu tusianzie mbali tuanze tu tr.1/1/1,Yesu alizaliwa bethrehemu,alisali yerusalemu hapo ni mwaka 30,mpaka hapo unadhani wapalestina walitangulia? Na kwa nyingeza tu hata msikiti wa Al aksa umejengwa juu ya mahali palipokuwa na hekalu la mfalme sulemani ambaye ni muislael.wapalestina warudi kwao.
Hebu urudi usome history vizuri,,hapa tunajadili history,si imani,,
 
Kwa wanachotufanyia raia weusi wa South Africa sioni umuhimu wowote wa kusimama na wapalestina
 
Screenshot_20200929-181920.png
 
Kwani mfalme Suleiman alikuwa myahudi?. Afadhali wapalestina wana undugu na mfalme Suleiman kwa sababu wote ni waislamu.Na ulivyosema ni ushahidi kuwa ardhi yote hiyo ni ya wapalestina.Ni ardhi ya Mtume wao na babu yao.
Kuna aina ya kinywaji unatumia unapaswa kupunguza au kuacha matumizi yake
 
Kwani mfalme Suleiman alikuwa myahudi?. Afadhali wapalestina wana undugu na mfalme Suleiman kwa sababu wote ni waislamu.Na ulivyosema ni ushahidi kuwa ardhi yote hiyo ni ya wapalestina.Ni ardhi ya Mtume wao na babu yao.

Mkuu kwa maoni yako ni kwamba Waisraeli wamevamia nchi ya Wapalestina,kwakua Waisraeli ni wayahudi vipi kwa maoni yako unadhani nchi yao ya asili kabisa ni wapi? Maana mna waita wavamizi.
 
Maandiko lazima yatimie

Sinagogi la shetani litainuka katika nchi kwenye machozi ya damu ya wanao, wajane,wazee, wake na waume

Uwezo wake utakuwa wa kutisha, umaarufu wake utazidi hata ukuu wa nyota za mbinguni

Hapo ndipo anguko kuu litamjia kama mwizi aingiapo kuiba.

Kitabu cha Enock sura 48 UK 67-69
 
Mkuu imani ni vitu vya kusadikika lakini nachokupa ni maandishi ya zamani kabisa yenye kuelezea kwa kina wakazi halali wa maeneo mbali mbali.
Hujanisoma vizuri,wewe unaongelea habari ya AD, mimi naongelea habari ya historia ambayo hata moses hajazaliwa,piga rivasi mpaka kwa adamu na eva,kisha anza kuja taratibu kwa abraham,akifika caanan,alipokelewa na watu gani.
 
Huu ni uonevu ambao dunia umeufumbia macho na kuuhalalisha kabisa. Aliyesema binadamu wote ni sawa alikosea sana.
nakuunga mkono mkuu watu wanateseka kule Palestina, baada ya muda wataporwa eneo lote
 
Kwani mfalme Suleiman alikuwa myahudi?. Afadhali wapalestina wana undugu na mfalme Suleiman kwa sababu wote ni waislamu.Na ulivyosema ni ushahidi kuwa ardhi yote hiyo ni ya wapalestina.Ni ardhi ya Mtume wao na babu yao.
History imenukuu mfalme Shalmaneser wa Asyria,,,Suleiman ni finction characters based on Shalmaneser history
 
Hujanisoma vizuri,wewe unaongelea habari ya AD, mimi naongelea habari ya historia ambayo hata moses hajazaliwa,piga rivasi mpaka kwa adamu na eva,kisha anza kuja taratibu kwa abraham,akifika caanan,alipokelewa na watu gani.
Ibrahimu alipokelewa na wakaanani ambao ndio waliokuwa wenyeji.
 
Ibrahimu alipokelewa na wakaanani ambao ndio waliokuwa wenyeji.
Mkuu hakuna kabila la wacaanan,,hilo lilikuwa jimbo au province ya utawala wa misri,,ndani ya caanan ndimo palikuwa na jamii mbalimbali,
Fanya research,Abraham alipokelewa na kupewa plot na king Abimael wa wafilist,
Lakini pia huko jerusalem wenyeji wake akiwamo kuhani mkuu Melkizedeki,,
Melki=Malki=mmiliki
 
Sijui nani huwa anawapotosha namna hiyo yaani hata hujui kuwa sulemani alikuwa ni muislael;ngoja nikupe ilmu,sulemani ni mfalme aliyekuwa wa kabila la Yuda na ni mtoto wa daudi,kabila la Yuda ni moja ya kabila 12 za Israel,mkuu uwe unapitia historia mwenyewe usikomee kumsikiliza shekhe pekee utaendelea kula matango pori mpaka mwisho.
Nyongeza:
2 Ibrahimu alimzaa Isaka; Isaka akamzaa Yakobo; Yakobo akamzaa Yuda na ndugu zake;
Mathayo 1:2

3 Yuda akamzaa Peresi na Zera kwa Tamari; Peresi akamzaa Esromu; Esromu akamzaa Aramu;
Mathayo 1:3

4 Aramu akamzaa Aminadabu; Aminadabu akamzaa Nashoni; Nashoni akamzaa Salmoni;
Mathayo 1:4

5 Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu; Boazi akamzaa Obedi kwa Ruthu; Obedi akamzaa Yese;
Mathayo 1:5

6 Yese akamzaa mfalme Daudi.
Mathayo 1:6

7 Sulemani akamzaa Rehoboamu; Rehoboamu akamzaa Abiya; Abiya akamzaa Asa;
Mathayo 1:7

8 Asa akamzaa Yehoshafati; Yehoshafati akamzaa Yoramu; Yoramu akamzaa Uzia;
Mathayo 1:8

9 Uzia akamzaa Yothamu; Yothamu akamzaa Ahazi; Ahazi akamzaa Hezekia;
Mathayo 1:9

10 Hezekia akamzaa Manase; Manase akamzaa Amoni; Amoni akamzaa Yosia;
Mathayo 1:10

11 Yosia akamzaa Yekonia na ndugu zake, wakati wa ule uhamisho wa Babeli.
Mathayo 1:11

12 Na baada ya ule uhamisho wa Babeli, Yekonia akamzaa Shealtieli; Shealtieli akamzaa Zerubabeli;
Mathayo 1:12

13 Zerubabeli akamzaa Abihudi; Abihudi akamzaa Eliakimu; Eliakimu akamzaa Azori;
Mathayo 1:13

14 Azori akamzaa Sadoki; Sadoki akamzaa Akimu; Akimu akamzaa Eliudi;
Mathayo 1:14

15 Eliudi akamzaa Eleazari; Eleazari akamzaa Matani; Matani akamzaa Yakobo;
Mathayo 1:15

16 Yakobo akamzaa Yusufu mumewe Mariamu aliyemzaa YESU aitwaye Kristo.
Mathayo 1:16

17 Basi vizazi vyote tangu Ibrahimu hata Daudi ni vizazi kumi na vinne; na tangu Daudi hata ule uhamisho wa Babeli ni vizazi kumi na vinne; na tangu ule uhamisho wa Babeli hata Kristo ni vizazi kumi na vinne.
Mathayo 1:17
Ukianza kutaka kuungwa mkono kwa kutumia habari za Mathayo huenda usipate mtu.Huyu jamaa hatabiriki katika hadithi zake.
 
Back
Top Bottom