Ona jinsi Israel ilivyoichafua na kuibana mbavu Palestina

Ona jinsi Israel ilivyoichafua na kuibana mbavu Palestina

Uislamu ndiyo dini ya mwanzo duniani.Ilikuwepo kabla hata binadamu hawajaanza kuishi duniani.Na zaidi ukristo umeletwa na akina Marko na Yohana kwa mujibu wa maandiko ya biblia.Yesu mwenyewe ni Muislamu kama mitume waliotangulia.Nabii Muhammada s.a.w alipokuja alikuja kuhuisha tu baada ya watu kupotoka tangu alipoondoka nduguye Yesu a.s.
Naomba Ushahidi kiwa Uislam ulikuwepo kabla ya Muhamad.

NoTe:Ushahidi/Marejea uwe Source iliyokuwepo kabla ya Muhammad

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba Ushahidi kiwa Uislam ulikuwepo kabla ya Muhamad.

NoTe:Ushahidi/Marejea uwe Source iliyokuwepo kabla ya Muhammad

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushahidi ni mwingi sana .Angalia Qur'an surat Fussilat aya ya 9-12. Mwenyezi Mungu baada ya kuziumba mbingu na ardhi na kukadiria viumbe vyake na mahitajio yake akasema
Na akabarikia humo na akakadiria humo chakula chake... katika siku nne. Haya ni sawa kabisa kwa hao wanaouliza. kisha akazielekea mbingu na zilikuwa moshi, basi akaziambia (mbingu) na ardhi "Njooni mkipenda msipende" vyote viwili vikasema tumekuja hali ya kuwa wenye utiifu. (41:9-12).
Nataraji unafahamu kuwa mbingu na ardhi vilitangulia zamani sana kuliko binadamu.Hizio mbingu na ardhi ni viumbe vilivyo na vinavyofuata Uislamu mpaka leo.Moja ya maana ya uislamu ni kutii na kunyenyekea kwa Mwenyezi Mungu bila kujadili na kuweka shuruti.Ndio maana mbingu zilipoitwa na Mwenyezi Mungu zikasema tumekuja hali ya kuwa wenye utiifu.
Hapo utaona kuwa uislamu upo kabla ya kuumbwa watu,Ukija kwa binadamu wa mwanzo Adam a.s hali ni hiyo hiyo inaendelea mpaka kwa Yesu a.s na mwishowe nabii Muhammada s.a.w.
 
Uislamu ndiyo dini ya mwanzo duniani.Ilikuwepo kabla hata binadamu hawajaanza kuishi duniani.Na zaidi ukristo umeletwa na akina Marko na Yohana kwa mujibu wa maandiko ya biblia.Yesu mwenyewe ni Muislamu kama mitume waliotangulia.Nabii Muhammada s.a.w alipokuja alikuja kuhuisha tu baada ya watu kupotoka tangu alipoondoka nduguye Yesu a.s.
Acha ujinga. Rudia mstari wa mwisho wa ulichoandika.acha kujikanganya na apo Apo unakubali ukweli.Quran ni Biblia ilichakachuliwa Ili kuleta upinzani.quran Ni maandiko bandia .
 
Ushahidi ni mwingi sana .Angalia Qur'an sutat Fussilat aya ya 9-12. Mwenyezi Mungu baada ya kuziumba mbingu na ardhi na kukadiria viumbe vyake na mahitajio yake akasema
Na akabarikia humo na akakadiria humo chakula chake... katika siku nne. Haya ni sawa kabisa kwa hao wanaouliza. kisha akazielekea mbingu na zilikuwa moshi, basi akaziambia (mbingu) na ardhi "Njooni mkipenda msipende" vyote viwili vikasema tumekuja hali ya kuwa wenye utiifu. (41:9-12).
Nataraji unafahamu kuwa mbingu na ardhi vilitangulia zamani sana kuliko binadamu.Hizio mbingu na ardhi ni viumbe vilivyo na vinavyofuata Uislamu mpaka leo.Moja ya maana ya uislamu ni kutii na kunyenyekea kwa Mwenyezi Mungu bila kujadili na kuweka shuruti.Ndio maana mbingu zilipoitwa na Mwenyezi Mungu zikasema tumekuja hali ya kuwa wenye utiifu.
Hapo utaona kuwa uislamu upo kabla ya kuumbwa watu,Ukija kwa binadamu wa mwanzo Adam a.s hali ni hiyo hiyo inaendelea mpaka kwa Yesu a.s na mwishowe nabii Muhammada s.a.w.
NoTe:Naomba ushahidi wa source iliyokuwepo kabla ya Muhammad.


Wewe unanipa ushahidi wa kitabu kilichokuja Baada ya Muhammad.

Leo nikiandika kitabu kuwa Muhamad alikuwa CCM na CCM imekuwepo kabla ya dunia na CCM ndiyo waliliambia jua liwe linachomoza kila siku...hicho kitabu ndo kitakuwa ni ushahidi kuwa Muhamad alikuwa CCM kisa jua linachomoza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wala si muda mrefu umebaki, na kabla ya Hilo kutokea lazima kwanza makao makuu ya papa yashift kutoka vatcan kwenda Jerusalem.Haya si kwamba ni mtu anaota anaandika,ni lazima yatimie kikamilifu.Na yako ktk hatua nzuri kabisa.japo pengine mm na ww hatutakuwa hai.

Na litajengwa hekalu jipya. Uko sahihi mkuu. Chukizo!
 
Mimi nimechagua kuelewa kimoja. Jesuits ndio mainjinia wa ishu nzima. Lengo ni kumfanya papa atawale kutokea hekalu la Suleman.
 
Mimi nimechagua kuelewa kimoja. Jesuits ndio mainjinia wa ishu nzima. Lengo ni kumfanya papa atawale kutokea hekalu la Suleman.
Na inaonyesha Pope wa sasa ndiye pope pekee kutokea kwa ma Jesuit .Aliandaliwa,sambamba km ambavyo kina Kissinger walivyomwandaa Obama.Na Obama na Francis walifanya kazi nzuri ya NWO.Kwa sasa ilikuwa Ni lazima Trump aondoke aliwachelewesha sana.Joe ni mwanamduara.....so......
 
Na inaonyesha Pope wa sasa ndiye pope pekee kutokea kwa ma Jesuit .Aliandaliwa,sambamba km ambavyo kina Kissinger walivyomwandaa Obama.Na Obama na Francis walifanya kazi nzuri ya NWO.Kwa sasa ilikuwa Ni lazima Trump aondoke aliwachelewesha sana.Joe ni mwanamduara.....so......

...it's just a matter of time.
 
NoTe:Naomba ushahidi wa source iliyokuwepo kabla ya Muhammad.


Wewe unanipa ushahidi wa kitabu kilichokuja Baada ya Muhammad.

Leo nikiandika kitabu kuwa Muhamad alikuwa CCM na CCM imekuwepo kabla ya dunia na CCM ndiyo waliliambia jua liwe linachomoza kila siku...hicho kitabu ndo kitakuwa ni ushahidi kuwa Muhamad alikuwa CCM kisa jua linachomoza?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekupa ushahidi ulioutaka halafu unaukataa.Muhimu ulitaka nikupe ushahidi na niliokupa naona umekuzidi kimo na hukuutarajia.
Sasa nikuulize hiyo source unayotaka unataka iwe katika umbile gani ?.
 
Nimekupa ushahidi ulioutaka halafu unaukataa.Muhimu ulitaka nikupe ushahidi na niliokupa naona umekuzidi kimo na hukuutarajia.
Sasa nikuulize hiyo source unayotaka unataka iwe katika umbile gani ?.
Umenipa ushahidi ambao sijautaka.
Maana ushahidi wako ni kitabu kilichokuja baada ya Muhammad kwahyo sio ushahidi wa vitu vilivyokuwepo kabla yake.

Unasema umenipa ushahidi nnaoutaka wakati ukifuatilia swali langu nilikuambia
NoTe:Nataka ushahidi wa source iliyokuwepo kabla ya Muhammad.


Nasubiri
 
Ushahidi ni mwingi sana .Angalia Qur'an surat Fussilat aya ya 9-12. Mwenyezi Mungu baada ya kuziumba mbingu na ardhi na kukadiria viumbe vyake na mahitajio yake akasema
Na akabarikia humo na akakadiria humo chakula chake... katika siku nne. Haya ni sawa kabisa kwa hao wanaouliza. kisha akazielekea mbingu na zilikuwa moshi, basi akaziambia (mbingu) na ardhi "Njooni mkipenda msipende" vyote viwili vikasema tumekuja hali ya kuwa wenye utiifu. (41:9-12).
Nataraji unafahamu kuwa mbingu na ardhi vilitangulia zamani sana kuliko binadamu.Hizio mbingu na ardhi ni viumbe vilivyo na vinavyofuata Uislamu mpaka leo.Moja ya maana ya uislamu ni kutii na kunyenyekea kwa Mwenyezi Mungu bila kujadili na kuweka shuruti.Ndio maana mbingu zilipoitwa na Mwenyezi Mungu zikasema tumekuja hali ya kuwa wenye utiifu.
Hapo utaona kuwa uislamu upo kabla ya kuumbwa watu,Ukija kwa binadamu wa mwanzo Adam a.s hali ni hiyo hiyo inaendelea mpaka kwa Yesu a.s na mwishowe nabii Muhammada s.a.w.

Furthermore hicho kitabu sio reliable source maana kinajicontradict Chenyewe
Hapohapo kinakuambia Muhammad alikuwa muislam wa kwanza hapo hapo kinakuambia Mussa alikuwa muislam wa kwanza

Sema: Mimi nimeamrishwa niwe wa kwanza wa wenye kusilimu. Na wala kabisa usiwe miongoni wa washirikina. 16:14

Hana mshirika wake. Na hayo ndiyo niliyo amrishwa, na mimi ni wa kwanza wa Waislamu 6:163

Na nimeamrishwa niwe wa kwanza kwa Waislamu.39:11


na Musa akaanguka chini amezimia. Alipo zindukana alisema: Subhanaka, Umetakasika! Natubu kwako, na mimi ni wa kwanza wa Waumini-7:143
 
Furthermore hicho kitabu sio reliable source maana kinajicontradict Chenyewe
Hapohapo kinakuambia Muhammad alikuwa muislam wa kwanza hapo hapo kinakuambia Mussa alikuwa muislam wa kwanza

Sema: Mimi nimeamrishwa niwe wa kwanza wa wenye kusilimu. Na wala kabisa usiwe miongoni wa washirikina. 16:14

Hana mshirika wake. Na hayo ndiyo niliyo amrishwa, na mimi ni wa kwanza wa Waislamu 6:163

Na nimeamrishwa niwe wa kwanza kwa Waislamu.39:11


na Musa akaanguka chini amezimia. Alipo zindukana alisema: Subhanaka, Umetakasika! Natubu kwako, na mimi ni wa kwanza wa Waumini-7:143
Hiyo tafsiri ya 16:14 haiko hivyo. Vyovyote iwavyo kwa sababu huiamini Qur'an haina haja kuendelea na ufafanuzi wake. Kwa mwenye kuamini maandishi basi hawezi kupata kasoro na kiichomo humo.Kwa upande wako tatizo la kutumia maandishi ndio kubwa zaidi kwani Biblia ndio iko mbali sana na ukweli na machache sana yaliyobaki yanayoaminika kutoka kwa Mungu.
Katika hali hiyo Itabidi sasa tutumie namna nyengine ili uweze kuamini kuwa Uislamu ndio dini ya mwanzo na inayoridhiwa na Mwenyezi Mungu mpaka mwisho wa Ulimwengu .Nafsi yako kuanzia juu mpaka chini ina viungo ambavyo vimejisilimisha kwa Mwenyezi Mungu na huna uwezo wa kuvipa amri kinyume na hivyo.Akili yako tu ndiyo inayokupa kiburi cha kumuasi Mungu.Mambo yanayotokea kwako wewe ndiyo hayo hayo yaliyotokea kwa binadamu wa mwanzo na mitume wote.Jua na sayari zake na vilivyomo duniani vyote vinatii amri ya Mwenyezi Mungu na kama isingekuwa hivyo basi kusingekuwa na maisha.Atomi za madini yaliyopo duniani na yale tunayoyaona nje ya Solar System yote yapo chini ya Uislamu.
Kama utapinga hilo onesha ni jinsi gani Ukristo utajieleza kuwa umeutangulia Uislamu na bila kutumia maandishi ya aina yoyote.
 
Hiyo tafsiri ya 16:14 haiko hivyo. Vyovyote iwavyo kwa sababu huiamini Qur'an haina haja kuendelea na ufafanuzi wake. Kwa mwenye kuamini maandishi basi hawezi kupata kasoro na kiichomo humo.Kwa upande wako tatizo la kutumia maandishi ndio kubwa zaidi kwani Biblia ndio iko mbali sana na ukweli na machache sana yaliyobaki yanayoaminika kutoka kwa Mungu.
Katika hali hiyo Itabidi sasa tutumie namna nyengine ili uweze kuamini kuwa Uislamu ndio dini ya mwanzo na inayoridhiwa na Mwenyezi Mungu mpaka mwisho wa Ulimwengu .Nafsi yako kuanzia juu mpaka chini ina viungo ambavyo vimejisilimisha kwa Mwenyezi Mungu na huna uwezo wa kuvipa amri kinyume na hivyo.Akili yako tu ndiyo inayokupa kiburi cha kumuasi Mungu.Mambo yanayotokea kwako wewe ndiyo hayo hayo yaliyotokea kwa binadamu wa mwanzo na mitume wote.Jua na sayari zake na vilivyomo duniani vyote vinatii amri ya Mwenyezi Mungu na kama isingekuwa hivyo basi kusingekuwa na maisha.Atomi za madini yaliyopo duniani na yale tunayoyaona nje ya Solar System yote yapo chini ya Uislamu.
Kama utapinga hilo onesha ni jinsi gani Ukristo utajieleza kuwa umeutangulia Uislamu na bila kutumia maandishi ya aina yoyote.
Ndomaana nikaweka post mbili #90 na #91
#90 nilikuwa nataka ushahidi kabla ya Muhamad na #91 ninakuambia hata Quran haihakikishi chochote maana inajipinga mara iseme muhammad ni wa kwanza.

Ungejibu hoja According to post sio kuruka ruka.
Maana mimi kuamini au kutoamini Quran hakubadilishi yalioandikwa humo.
 
Hiyo tafsiri ya 16:14 haiko hivyo. Vyovyote iwavyo kwa sababu huiamini Qur'an haina haja kuendelea na ufafanuzi wake. Kwa mwenye kuamini maandishi basi hawezi kupata kasoro na kiichomo humo.Kwa upande wako tatizo la kutumia maandishi ndio kubwa zaidi kwani Biblia ndio iko mbali sana na ukweli na machache sana yaliyobaki yanayoaminika kutoka kwa Mungu.
Katika hali hiyo Itabidi sasa tutumie namna nyengine ili uweze kuamini kuwa Uislamu ndio dini ya mwanzo na inayoridhiwa na Mwenyezi Mungu mpaka mwisho wa Ulimwengu .Nafsi yako kuanzia juu mpaka chini ina viungo ambavyo vimejisilimisha kwa Mwenyezi Mungu na huna uwezo wa kuvipa amri kinyume na hivyo.Akili yako tu ndiyo inayokupa kiburi cha kumuasi Mungu.Mambo yanayotokea kwako wewe ndiyo hayo hayo yaliyotokea kwa binadamu wa mwanzo na mitume wote.Jua na sayari zake na vilivyomo duniani vyote vinatii amri ya Mwenyezi Mungu na kama isingekuwa hivyo basi kusingekuwa na maisha.Atomi za madini yaliyopo duniani na yale tunayoyaona nje ya Solar System yote yapo chini ya Uislamu.
Kama utapinga hilo onesha ni jinsi gani Ukristo utajieleza kuwa umeutangulia Uislamu na bila kutumia maandishi ya aina yoyote.
kuwepo kwa Viungo,Atom,Nyota hakuhakikishi uislam ulikuwepo kabla ya Muhamad maana hayo yote kuhusu hata uwepo wa huyo Mungu umeyatoa kwenye kitabu kilichokuja baada ya muhamad.


Mfano: mimi nikiandika leo kitabu nika'claim kuwa Ccm ilikuwepo kabla ya nyerere na kusema wakoloni walikuwa CCM,CCm ndiyo walitengeneza kiswahili, walitengeneza mipaka ya nchi kwahiyo huo ni Ushahidi kuwa Ccm ilikuwepo kabla ya Nyerere kwa maana haya yalifanyika kabla ya Nyerere.

Sasa msomi lazima apinge kitabu Changu na atataka ushahidi mwingine ambao huo ushahidi ulikuwepo kabla ya Nyerere ukiashiria CCm ilikuwepo,Either Maandishi kabla ya Nyerere yanayoizungumzia CCm.

Na mimi siwezi kutetea kitabu Changu kwa kusema kwasababu Mipaka ya nchi bado ipo na kiswahili kinatumika basi Ccm ilikuwepo kabla ya Nyerere.

Ni sawa nawewe unavyosema kwasababu Atom na Nyota na viungo vya mwili blah blah blah......
Huyo mwenyezi Mungu wako na hadith zake zimekuja baada ya Muhamad sasa

Ushahidi naotaka hata uwe wa kimaandishi lakini yawe maandishi yaliyokuwepo kabla ya Muhamad
-Nasubiri
 
Wapalestina warudishe maeneo ya watu waende kwao maana hayo ni maeneo ya islael tangu enzi za ibrahimu,maana kihistoria hapo walikuwepo wahiti,waamori,wahivi na baadae wafilisti.je wapalestina ni akina nani miongoni mwao?
Wafilisti! Kibiblia eneo lao lilijumlisha miji mitano:Ashdodi,Gaza,Ekron,Gathi na Ashkeloni,(1Samweli6:17-18)
 
kuwepo kwa Viungo,Atom,Nyota hakuhakikishi uislam ulikuwepo kabla ya Muhamad maana hayo yote kuhusu hata uwepo wa huyo Mungu umeyatoa kwenye kitabu kilichokuja baada ya muhamad.


Mfano: mimi nikiandika leo kitabu nika'claim kuwa Ccm ilikuwepo kabla ya nyerere na kusema wakoloni walikuwa CCM,CCm ndiyo walitengeneza kiswahili, walitengeneza mipaka ya nchi kwahiyo huo ni Ushahidi kuwa Ccm ilikuwepo kabla ya Nyerere kwa maana haya yalifanyika kabla ya Nyerere.

Sasa msomi lazima apinge kitabu Changu na atataka ushahidi mwingine ambao huo ushahidi ulikuwepo kabla ya Nyerere ukiashiria CCm ilikuwepo,Either Maandishi kabla ya Nyerere yanayoizungumzia CCm.

Na mimi siwezi kutetea kitabu Changu kwa kusema kwasababu Mipaka ya nchi bado ipo na kiswahili kinatumika basi Ccm ilikuwepo kabla ya Nyerere.

Ni sawa nawewe unavyosema kwasababu Atom na Nyota na viungo vya mwili blah blah blah......
Huyo mwenyezi Mungu wako na hadith zake zimekuja baada ya Muhamad sasa

Ushahidi naotaka hata uwe wa kimaandishi lakini yawe maandishi yaliyokuwepo kabla ya Muhamad
-Nasubiri
Habari za kitabu chako na Ccm na Nyerere haiendani kabisa na nilichokiandika. Kumbuka mimi sina tatizo na Qur'an lakini baada kukuona wewe hujatosheka nacho nikaiwacha pembeni na nikaamua kutumia maelezo mengine kuthibitisha Uislamu kuwa ni dini kabla ya Muhammad na mitume waliomtangulia. Inakuwaje tena unarudia mada hiyo hiyo kuwa habari zote hizo nimezipata kupitia Qur'an na ndipo ukajaribu kutunga kitabu cha ccm.
Nikuulize tena,wewe mwenyewe unajionaje nafsi yako .Unajiona kama unajiendesha mwenyewe au unafuata maamrisho ya aliyemuumba Yesu na aliyeteremsha Qur'an..
 
Furthermore hicho kitabu sio reliable source maana kinajicontradict Chenyewe
Hapohapo kinakuambia Muhammad alikuwa muislam wa kwanza hapo hapo kinakuambia Mussa alikuwa muislam wa kwanza

Sema: Mimi nimeamrishwa niwe wa kwanza wa wenye kusilimu. Na wala kabisa usiwe miongoni wa washirikina. 16:14

Hana mshirika wake. Na hayo ndiyo niliyo amrishwa, na mimi ni wa kwanza wa Waislamu 6:163

Na nimeamrishwa niwe wa kwanza kwa Waislamu.39:11


na Musa akaanguka chini amezimia. Alipo zindukana alisema: Subhanaka, Umetakasika! Natubu kwako, na mimi ni wa kwanza wa Waumini-7:143
Hizo tafsiri tumechukua kutoka lugha ambayo si yetu.Qur'an iliyokuja kwa lugha ya Kiarabu haiitafsiriwi neno kwa neno peke yake lazima ipatikane na maana ambapo hapo ndipo hadithi za Mtume s.a.w hutumika na kama haikuja kwa sura hiyo kuna utaalamu wa ziada hutumika na mtu kama wewe huoni ndani.
Hivyo Mtume Muhammad anaposema yeye ni muislamu wa mwanzo haimaanishi hakukuwa na muislamu kabla yake.Tutoke huko tuje katika hali za kawaida ambapo una watoto kadhaa wa kike na wa kiume kila mmoja alipokuwa mdogo akakwambia baba mimi ndiye mwanao kipenzi na wewe ukamuitikia kuwa sawa na hiyo ikarekodiwa.Hapo baadae akatokea mtu akasimulia matamshi ya wanao,jee kuna mtu atakanusha kwamba fulani ulikuwa humpendi?.
Iwapo Adam a.s ambaye ni wa mwanzo alikuwa muislamu,Musa a.s alikuwa muislamu na alijitaja kuwa ni wa mwanzo ,Issa (Yesu) a.s naye alisema hivyo hivyo na hatimae Muhammad s.a.w akasema kama waliomtangulia.Ukiwacha undani wa maana walizokusudia kulingana na tukio ,kwa matamshi yao pekee Jee nani ndiye muislamu wa mwanzo kuliko mwenzake.
 
Habari za kitabu chako na Ccm na Nyerere haiendani kabisa na nilichokiandika. Kumbuka mimi sina tatizo na Qur'an lakini baada kukuona wewe hujatosheka nacho nikaiwacha pembeni na nikaamua kutumia maelezo mengine kuthibitisha Uislamu kuwa ni dini kabla ya Muhammad na mitume waliomtangulia. Inakuwaje tena unarudia mada hiyo hiyo kuwa habari zote hizo nimezipata kupitia Qur'an na ndipo ukajaribu kutunga kitabu cha ccm.
Nikuulize tena,wewe mwenyewe unajionaje nafsi yako .Unajiona kama unajiendesha mwenyewe au unafuata maamrisho ya aliyemuumba Yesu na aliyeteremsha Qur'an..
Abdallah jaribu kuelewa...huyo Mungu unayemsema mimi simjui na wewe umemjua kupitia Quran kwahiyo kungekuwa na kitabu kinamuongelea huyo Allah kabla ya Muhammad ningekuelewa.
Dini ni imani za watu usifosi kusema matako yako ni maislam kisa yanafata sheria fulani

Sasa kama dini ni imani za watu Leta Ushahidi kuwa huyo Mungu wako watu walimjua kabla ya Muhammad.

Na huo ushahidi uwe kwenye source iliyokuwepo kabla ya Muhammad
Huelewi nini Abdallah?
-Nasubiri
 
Hizo tafsiri tumechukua kutoka lugha ambayo si yetu.Qur'an iliyokuja kwa lugha ya Kiarabu haiitafsiriwi neno kwa neno peke yake lazima ipatikane na maana ambapo hapo ndipo hadithi za Mtume s.a.w hutumika na kama haikuja kwa sura hiyo kuna utaalamu wa ziada hutumika na mtu kama wewe huoni ndani.
Hivyo Mtume Muhammad anaposema yeye ni muislamu wa mwanzo haimaanishi hakukuwa na muislamu kabla yake.Tutoke huko tuje katika hali za kawaida ambapo una watoto kadhaa wa kike na wa kiume kila mmoja alipokuwa mdogo akakwambia baba mimi ndiye mwanao kipenzi na wewe ukamuitikia kuwa sawa na hiyo ikarekodiwa.Hapo baadae akatokea mtu akasimulia matamshi ya wanao,jee kuna mtu atakanusha kwamba fulani ulikuwa humpendi?.
Iwapo Adam a.s ambaye ni wa mwanzo alikuwa muislamu,Musa a.s alikuwa muislamu na alijitaja kuwa ni wa mwanzo ,Issa (Yesu) a.s naye alisema hivyo hivyo na hatimae Muhammad s.a.w akasema kama waliomtangulia.Ukiwacha undani wa maana walizokusudia kulingana na tukio ,kwa matamshi yao pekee Jee nani ndiye muislamu wa mwanzo kuliko mwenzake.
Mzee acha zile danadana za kiarabu sijui na Hadith...acha kupinga kitu bila kuelezea na kuishia kusema kuna kiarabu na kifaransa.

Sasa huo mfano wa watoto hauendani maana mapenzi hayaishi unaweza ukapenda hata watu mia..watu wanne hawawezi kuwa wa kwanza wote...lazima kuna wa kwanza na wa mwisho.

Sasa assume una watoto sita na wote wamezaliwa miaka tofauti,Utasema wote ni watoto wa Kwanza?


Wapi Adam,Yesu,Ibrahim walisema ni waislam wa kwanza?

Ninaojua mimi waliosema wao ni waislam wa kwanza kwenye Quran ni Mussa na Muhamad.

Sasa Turudi kwenye fact Muhammad kasema yeye ni muislam wa kwanza hata uende kwenye kiarabu,kifaransa au kichaga acha porojo
 
Abdallah jaribu kuelewa...huyo Mungu unayemsema mimi simjui na wewe umemjua kupitia Quran kwahiyo kungekuwa na kitabu kinamuongelea huyo Allah kabla ya Muhammad ningekuelewa.
Dini ni imani za watu usifosi kusema matako yako ni maislam kisa yanafata sheria fulani

Sasa kama dini ni imani za watu Leta Ushahidi kuwa huyo Mungu wako watu walimjua kabla ya Muhammad.

Na huo ushahidi uwe kwenye source iliyokuwepo kabla ya Muhammad
Huelewi nini Abdallah?
-Nasubiri
Wewe ni kichwa ngumu na kama unaingia kanisani unafuata kitu kingine tofauti na kuabudu kwa sababu wewe utakuwa ni mpagani.
Mungu sio wa kwangu peke yangu ni wa kwako pia na huwa kila kiumbe kinamjua bila hata kusoma Qur'an..Kwenye Qur'an tunapata mambo ya ziada Mungu anayotaka tufanye na kwa faida yetu tukishaondoka duniani.
Mtoto mchanga akizaliwa anakuwa ni muislamu na anafanya vitu ambavyo hakuwahi kusoma popote..Siku mvua ikinyesha na radi zikapiga mfululizo wewe huwa unaogopa na kujificha sehemu unayodhani ni salama.Nani unayemuogopa,nini kinachokutisha na nani huwa unadhani ndiye mwenye uwezo wa kukunusuru.Hali hizo unakuwa umesoma wapi.
Mantiki ya kuiamini Qur'an kuwa kinachosemwa humo hakina shaka ni ya wazi kabisa lakini nimeona nikupitishie sehemu akili yako changa itafahamu na bado umekuwa mgumu.
Hayo matamko ya kwamba unataka ushahidi wa kujulikana Mungu kabla ya nabii Muhammad ni matamko ya jeuri na ndio porojo zenyewe.Kwa jeuri yako hii hata tukianza kupata ushahidi wa kuchimbua ardhini utaupinga.Kama ni hivyo subiri uone malipo ya jeuri yako siku Mungu unayempinga na kumwita kwa dharau kuwa ni wangu atakapokutia mkononi.
 
Back
Top Bottom