Ona jinsi Israel ilivyoichafua na kuibana mbavu Palestina

Ndio wangoni wanaweza kurudi kudai ardhi yao kama wangekuwa hawana sehemu ya kukaa na kuweka makazi. Israel hawana sehemu ya kukaa tofauti na hiyo ardhi palestina walioitwaa
 
Ndio wangoni wanaweza kurudi kudai ardhi yao kama wangekuwa hawana sehemu ya kukaa na kuweka makazi. Israel hawana sehemu ya kukaa tofauti na hiyo ardhi palestina walioitwaa
Unajua kabisa unaongea kitu ambacho hakiwezekani basi tu unaongea kujustify point yako
 
Kikubwa wewe Fanya mambo yanayokuhusu, hakuna binadamu aliye kwa ajili ya wengine hata wewe mwenyewe jitafakari, hata hao waarabu walikuja wakatufunga minyororo kama mbwa. Binadamu ni kiumbe mwema na katiri.
Ni sisi watu weusi ndo hatutambui, bado tunawaza kidini, bado tunatamani dunia iwe mahali pa kupendana, tunasahau kwamba hapa duniani hakuna kupendana Bali masilahi. Wao walitumia dini kututawala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…