Ona wanachonifanyia malaya kila nikiwachukua

Hahahaha kazi kweli kweli wewe mpe hela ya kutosha uone hakuzinguwi tena
 
lara 1 pita huku ujibu tuhuma, wateja wanalalamika kwamba inakuwaje tena huwanga munafanya hivyo.

Hahahaaaaaaaaaaa! nimekuja SHOGA yangu hukunijibu kama SHANGA ZA KIUNONI ZILIKUTOSHA AMA VIPI? Anti SHY na wewe mda mwingine hata husomeki kwenye radar
 
HAhaha imenikumbusha kuna jamaa alikuwa akichukua malaya anazuga kondomu imepasuka anavaa ingine kumbe msela anaunganisha bao la pili hahahaa gizani
 

Marinda yalikwepo enzi za nyerere?

Kama umesoma enzi za nyerere basi utakua Mzee sana,sasa hizo lugha za marinda umezitolea Wapi!
 
Usinunue tena

Asinunue, atapata wapi za bure? Sema asinunue zile za kuanika barabarani ucku kwaajiri ya afya yake. Japo hata hzo znazoshindaga home/kazini, nazo awe makini wengine wagonjwa, dada zetu wengi vicheche co kazini co home, so kutumia zana ni muhimu au tumia vile vidude vya kupimia vinauzwa pharmacy.
 

Akifanya hvyo vyote kwa hzo pesa, K utampa wewe? Toa ushauri afanyeje, km tatizo ni kusema amenunua hata hao wa huko mtaani kwenu huwez wapata bila kuwatoa labda uwe unawadanganya, bt mwisho wa siku demu lazima umtoe na pesa hata angekuwa mzungu.
 
Thread zingine ni za kusoma tu na kupita kimya kimya..... Hayo mambo mi sijayaanza bado..
 
Hahahaaaaaaaaaaa! nimekuja SHOGA yangu hukunijibu kama SHANGA ZA KIUNONI ZILIKUTOSHA AMA VIPI? Anti SHY na wewe mda mwingine hata husomeki kwenye radar

Aiseee hebu msamehe huyu kijana yaishe....
 
Marinda yalikwepo enzi za nyerere?

Kama umesoma enzi za nyerere basi utakua Mzee sana,sasa hizo lugha za marinda umezitolea Wapi!

New technology wangu, kuna what'sup, sms, email. Hushangai nimejuaje kutumia Jamii Forum.
Marinda hata Enzi ya Sayyed Sayyed yalikuwepo.
 

Tengeneza JF yako. Hapa wanaruhusiwa watu wa itikadi zote, unaweza kusema hayo lkn hakuna mtu anaejua tabia yako huko unakoishi. Ndo maana Yesu alisema Mafarisayo ni wanafiki na alikaa na yule malaya ila akamwambia usitende dhambi tena. So acha watoe dukuduku zao ilimradi wasivunje sheria, na km una neno la kiungu la kuwabadilisha wkt ndo huu. Ss km mtu atajifanya ana hekima humu af mtaani anatembea na watoto wa primary, utamjuaje, utamsaidiaje na utakuwa umelisaidia vp taifa? Waache na mawazo yao na kupitia comments zako atajifunza kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…