Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
- #21
Hata kuongea na kuwasikiliza Watanzania wenye maoni na mitazamo tofauti hakuna kilicho kibaya.Inaoenkana kuna kikundi Kinamuongoza Rais Wetu vibaya.
Hii ni aibu kwa taifa
Yaani kikundi kinamtisha Rais Samia aamini kuwa katiba Mpya ni tishio kwake
Hili la leo limeleta sura mbaya
Pata picha kama hapo ingekuwa ni Tanzania….kuna watu wangeumizwa na vyombo vya dola!
Tunaongozwa na watu wasio na akili kabisa.