Hapo ndio watu wapate akili, ile kauli ya Samia juzi kuwa yupo tayari kutoa ushindi kwa upinzani kwa kutengeneza mazingira mazuri ya kisiasa ilikuwa ni usanii mtupu.
Huyu aliyeonesha uroho wa madaraka kwa kuwashughulikia "wapinzani" wake ndani ya serikali yake, na kuwasogeza karibu watoto wa marafiki zake kwa ajili ya ulinzi wake, hawezi kufanya hivyo.
Kitendo chake cha kukimbia hapo kinaonesha vile mind yake ilivyo, kwake mtu anayedai Katiba Mpya ni kama adui yake, ndio maana akampa Mbowe kesi ya uongo ili kumfunga mdomo.