Ona wanavyokuwa na adabu wakiwa nje ya nchi bila akina Sirro

Ona wanavyokuwa na adabu wakiwa nje ya nchi bila akina Sirro

mke
Mama
Bibi
Muigizaji
Chief
Rais
Mwenyekiti wa chama
Amir jeshi mkuu





Mlamba asali
 
Tanzania bado Ni nchi nzuri mnooo na ndio maana watanzania walio wengi Ni wagumu sana kukimbia hapa nchini.

Nchi nyingi zenye Diaspora wengi Ni zile zenye HALI TETE ya Kimaisha na USALAMA Kama Nigeria, Ethiopia, DRC na SOMALIA.

Tanzania mtu anaweza kutoka Bukoba, akaenda Ruvuma huko akalala kwa mtu asiye mjua, akala, akaoga, akanya na akapewa shamba la kulima bure.

Na anaweza akaoa kabisa akaanzisha familia huko huko, na akagombra kabisa uongozi hata wa mtaa akapata huko huko.

Suala hili huwezi kuliona hata Hapo Kenya.

Na ndio maana, Kutokana na mteremko wa Maisha ulivyo hapa bongo, watanzania wengi wakiendaga huko Ng'ambo Maisha huwa YANAWASHINDA.

Eti mteremko?? huko kwenye TOZO ??? au unadhani hatuoni nyuzi za malalamiko maisha kuwa magumu Tanzania kila siku zinavyokwenda???

Kutembelea mtu, uoge ??? hili ndio umeona la muhimu kiasi Diaspora warudi Tanzania sababu kuna watu wako tayari kuwapa huduma ya kuoga,hahahahahaa kwanza, huko Udiasporani maji yapo 24/7 huwezi ukaweka safari kwenda kwa mtu hujaoga.....na sioni kama hili ni la muhimu,,,,

Watanzania kukimbia nchi hawawezi sababu Tanzania maisha mazuri?? wewe endelea kujidanganya,..Leo pita mahali uwaambie watu kuna VIsa za USA?UK uone kama hawatajipanga maelfu na maelfu.......Kwanza ushapitia balozi zao uone watu walivyo desperate kuikimbia nchi

NI kweli watu wengi wanaotoka nchi zenye hali tete wapo Udiasporani, but that shows ukarimu wa nchi hizi, naona unaji contradict mwenyewe.....
 
..ulaya matajiri wanakula kabichi na mbogamboga sasa nyinyi washamba na walafi wa Ccm mkiwaona mnadhani wamefilisika.
Ulaya siyo Tanzania, na Hakuna ulazima wa kuiga kila Ulaya.

Ulaya Kuna Pizza na Burger.

Africa Kuna Ugali.

Get used to it.
 
Angekuwa ni mtu anayejiamini angeongea nao awasikilize. Hakuna ambacho angepoteza. Sana sana angejizolea pointi za kisiasa.

Hakuna kibaya walichokuwa wanakidai.
Naunga mkono hoja, Kwa vile ziara za ughaibuni bado ni nyingi zinakuja, September mwishoni na October Mwanzoni Mama anakuja tena US kwenye UNGA, sisi akina kajambanani, washauri wa bure wa huku mitandaoni, tutamshauri, hana sababu ya kuogopa lolote. Tutamshauri aige baadhi ya tabia nzuri za JK na JPM, kwenye ziara, likitokea jambo ambalo halimo kwenye ratiba, avunje ratiba aliruhusu.

Na wana diaspora wa upinzani, kama mna hoja za kweli na mna nia ya maandamano, pangeni maandamano rasmi, ujulisheni ubalozi, onyesheni mabango neat, sio ule uchafu, kuweni na wasemaji rasmi, fanyeni uhamasishaji, Mama hana problem yoyote kuwaona, kama amenikaribisha Mbowe Ikulu, what about you?. Japo rais ni kiongozi wetu mkubwa, ni mtumishi wetu, sisi Wananchi wa Tanzania ndio mabosi wake, tuliomuajiri kwa kura zetu na tunaomlipa mshahara kwa kodi zetu hivyo lazima atusikilize.
P
 
Eti mteremko?? huko kwenye TOZO ??? au unadhani hatuoni nyuzi za malalamiko maisha kuwa magumu Tanzania kila siku zinavyokwenda???

Kutembelea mtu, uoge ??? hili ndio umeona la muhimu kiasi Diaspora warudi Tanzania sababu kuna watu wako tayari kuwapa huduma ya kuoga,hahahahahaa kwanza, huko Udiasporani maji yapo 24/7 huwezi ukaweka safari kwenda kwa mtu hujaoga.....na sioni kama hili ni la muhimu,,,,

Watanzania kukimbia nchi hawawezi??? wewe endelea kujidanganya,..Leo pita mahali uwaambie watu kuna VIsa za USA?UK uone kama hawatajipanga maelfu na maelfu.......Kwanza ushapitia balozi zao uone watu walivyo desperate kuikimbia nchi

NI kweli watu wengi wanaotoka nchi zenye hali tete wapo Udiasporani, but that shows ukarimu wa nchi hizi, naona unaji contradict mwenyewe.....
Pumzika kwanza
 
Ulaya siyo Tanzania, na Hakuna ulazima wa kuiga kila Ulaya.

Ulaya Kuna Pizza na Burger.

Africa Kuna Ugali.

Get used to it.

..ndio maana nikakwambia ulaya mtu kavaa nguo imepauka au imechanika ukadhani ni maskini kapuku, wakati mwingine ni fashion.

..au usione mtu ana misuli ukadhani ni mbeba lumbesa wengine wanafanya mazoezi.
 
Angetoka akaongea nao tena angekusanya mabango akapiga na picha ya pamoja na waandamanaji then game ingeishia hapo
LOoooh, mkuu 'Arovera', hii kitu ulijifunziaga wapi?

Binafsi inabidi nikubaliane nawe katika hili; lakini si alama hiyo ndiyo ingepeleka ujumbe hadi nyumbani kwake kwamba njia hiyo inafanya kazi?

Unamaana, angekubali kula matapishi yake kwa yale aliyokwishayatamka juu ya jambo hilo?

It's more complicated than you think, mkuu.
 
Hii kitu inaitwa chama dola imewalemaza viongozi wote wa ccm, ikifika mahali inabidi wasimame wao kama wao hawawezi kabisa. Sehemu wanayoweza kukabiliana na umma ni pale ambapo nguvu ya vyombo vya dola inapokuwa karibu. Unapoondoa vyombo vya dola wote wanatepeta.
 


Hapo ingekuwa ni Tanzania hakuna ambaye angethubutu kumbebea mabango Rais.

Na angejitokeza aliye jasiri wa kufanya hivyo, angechezea kichapo ambacho asingekisahau.

Lione li Mwigulu linavyojifanya linyenyekevu. Usanii mtupu!

Ila heko kwa hao waandamanaji. Wamemfanya Samia ale kona.

Sasa sijui Samia anaogopa nini?

Anawaogopa Watanzania wenzie waliopo diaspora?

Angekuwa ni mtu anayejiamini angeongea nao awasikilize. Hakuna ambacho angepoteza. Sana sana angejizolea pointi za kisiasa.

Hakuna kibaya walichokuwa wanakidai.

Shame on her and her handlers.

Blazaaa heri huyu kuliko Magu.
 
Huyu Mama hovyo yaani hatuna rais hapo. Mandamano ya Jokote pale JKN Airport anafungua limudomo lake na ana kapengo furani hivi kwa mbali........misifa tu lakini empty kichwa
 
Rais anakwepa maandamano ya watu 20?

Anajiamini anapokuwa na vyombo vya dola. Hayo ndio mambo yalimfanya Magufuli asitamani kwenda ulaya kabisa. Wao wanataka mahali wamezungukwa na vyombo vya dola waanze kuongea kwa vitisho kuficha udhaifu wao. Na ukizingatia wako madarakani kwa wizi wa kura ndio inakuwa tatizo kubwa.
 
She’s an empty suit!

Ni Rais kutokana na circumstances tu.

Hana kabisa uwezo wa kuwa Rais na kwenye mchujo wa urais hata 10 bora asingepita!!
Kwaiyo Nyerere, Ali Hassan, Mkapa, Kikwete na Magufuli tu ndio waliokuwa na sifa za kuwa Rais. Acheni roho nyeusi watanganyika. Alipowekwa John mlisema chaguo la Mungu kwaiyo Samia kwa yote yaliotokea ni chaguo baya la Mungu si ndio
 
Anajiamini anapokuwa na vyombo vya dola. Hayo ndio mambo yalimfanya Magufuli asitamani kwenda ulaya kabisa. Wao wanataka mahali wamezungukwa na vyombo vya dola waanze kuongea kwa vitisho kuficha udhaifu wao. Na ukizingatia wako madarakani kwa wizi wa kura ndio inakuwa tatizo kubwa.
Ulinzi anao pale pia.
 
Back
Top Bottom