Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
- #41
Kila mtu na maoni yake.Kwamba walichofanya hao wazalendo ni kupoteza muda? Mbona umetumia muda wako kuandika habari za waliopoteza muda?
Mimi sina muda wa kupoteza kwenda kukimbizana na Samia….
Hayo ni maoni yangu.