Ona wanavyokuwa na adabu wakiwa nje ya nchi bila akina Sirro

Ona wanavyokuwa na adabu wakiwa nje ya nchi bila akina Sirro

Kama mnaogopa kubeba mabango mkiwa Tanzania basi nyie ni waoga na nyie ndiyo mnatia aibu siyo hao viongozi wa serikali. Yaani unasuburi mpaka ukilindwa na dola ya mzungu ndiyo unapiga kelele? Aibu tupu. Jifunzeni kwa wanaume wakiZanzibari jinsi ya kupigania haki zenu siyo mnaishi maisha ya woga woga kama kunguru.
 


Hapo ingekuwa ni Tanzania hakuna ambaye angethubutu kumbebea mabango Rais.

Na angejitokeza aliye jasiri wa kufanya hivyo, angechezea kichapo ambacho asingekisahau.

Lione li Mwigulu linavyojifanya linyenyekevu. Usanii mtupu!

Ila heko kwa hao waandamanaji. Wamemfanya Samia ale kona.

Sasa sijui Samia anaogopa nini?

Anawaogopa Watanzania wenzie waliopo diaspora?

Angekuwa ni mtu anayejiamini angeongea nao awasikilize. Hakuna ambacho angepoteza. Sana sana angejizolea pointi za kisiasa.

Hakuna kibaya walichokuwa wanakidai.

Shame on her and her handlers.

Hahaha Good one Dr Nyani
 
Hata kuongea na kuwasikiliza Watanzania wenye maoni na mitazamo tofauti hakuna kilicho kibaya.

Pata picha kama hapo ingekuwa ni Tanzania….kuna watu wangeumizwa na vyombo vya dola!

Tunaongozwa na watu wasio na akili kabisa.
Damu ingemwagika na watu wangeepoteza maisha
 
Sababu mojawapo ya mwendazake kugoma kukanyaga nje ilikuwa ni hiyo, ubabe ni hapahapa.
Mwigulu atakuwa amekasirika sana, ingekuwa huku katika malango ya Bunge angesimama, angeweka tai sawia, angeanza kuwachamba kwa hasira na kuwataka wahamie Burundi mara moja.

Huko na mikono amekunja kabisa kiunyenyekevu japo kinafiki huku kimoyomoyo akiwatukana. Kweli nje ni nje tu.
 
Yeah, lakini siyo kama ule wa vitisho kama akiwapo nyumbani.

Halafu, huku unyamwezini hao walinzi wake hawawezi kufanya uonevu wowote ule.

Na sidhani kama kuna mwana-diaspora atakayekubali kuonewa kiboya kama ambavyo Watanzania waliopo nyumbani wanavyoonewa.
Wale wanajeshi wa Chief Hangaya wenye mabunduki makubwa hawakuwepo kule?
 
Sijui alipewaje wizara nyeti vile, akiwa home affairs watu wakiwa wanakotwa kwenye viloba alipoulizwa alijibu ni wahamiaji haramu .kutoka hapo hyo jamaa namuonaga hamnazo kabsaa.
Nakazia tu, toka aliposema mikopo inayokopwa haituhusu watanzania na wala hakuna mtazania atakayegongewa mlangoni kwake kudai hiyo hela haya mambo yanaenda kitaasisi.Toka siku hiyo nikaona huyu jamaa atakuwa alivuta bangi akiwa f2.
 
Viongozi wetu wote hakuna kitu. Hawapo kwa ajili ya maslahi ya wananchi
 
Tuende nyuma na kuludi mbele
Angekua JPM wangeweza kufanya ufyoko km huo? Au kwakua mama ameamua kua mstaalabu ndio mnatafta namna ya kumchafua na kumfedheesha ugenini?
Kosa lao ni nini? Waliokosea ni hao waliomwongoza vibaya pengine hata angekuwa wewe ungefanya huo utopolo.

Pale ni Ugenini mambo ha kumpitisha Rais wetu vichochoroni kaa mambo madogo kama hayo oneni aibu.
 
Naunga mkono hoja, Kwa vile ziara za ughaibuni bado ni nyingi zinakuja, September mwishoni na October Mwanzoni Mama anakuja tena US kwenye UNGA, sisi akina kajambanani, washauri wa bure wa huku mitandaoni, tutamshauri, hana sababu ya kuogopa lolote. Tutamshauri aige baadhi ya tabia nzuri za JK na JPM, kwenye ziara, likitokea jambo ambalo halimo kwenye ratiba, avunje ratiba aliruhusu.

Na wana diaspora wa upinzani, kama mna hoja za kweli na mna nia ya maandamano, pangeni maandamano rasmi, ujulisheni ubalozi, onyesheni mabango neat, sio ule uchafu, kuweni na wasemaji rasmi, fanyeni uhamasishaji, Mama hana problem yoyote kuwaona, kama amenikaribisha Mbowe Ikulu, what about you?. Japo rais ni kiongozi wetu mkubwa, ni mtumishi wetu, sisi Wananchi wa Tanzania ndio mabosi wake, tuliomuajiri kwa kura zetu na tunaomlipa mshahara kwa kodi zetu hivyo lazima atusikilize.
P

😳
Umebugiii kusema upinzani ndio walikuwepo leo huku.. wengi sisi tuliokuwepo ni wazalendo tu.. hata vyama hatuna..
 
Hapo ingekuwa ni Tanzania hakuna ambaye angethubutu kumbebea mabango Rais.

Na angejitokeza aliye jasiri wa kufanya hivyo, angechezea kichapo ambacho asingekisahau.

Lione li Mwigulu linavyojifanya linyenyekevu. Usanii mtupu!

Ila heko kwa hao waandamanaji. Wamemfanya Samia ale kona.

Sasa sijui Samia anaogopa nini?

Anawaogopa Watanzania wenzie waliopo diaspora?

Angekuwa ni mtu anayejiamini angeongea nao awasikilize. Hakuna ambacho angepoteza. Sana sana angejizolea pointi za kisiasa.

Hakuna kibaya walichokuwa wanakidai.

Shame on her and her handlers.
View attachment 2199537
Sukuma gang tulieni mnyooshwe
 
Hata kuongea na kuwasikiliza Watanzania wenye maoni na mitazamo tofauti hakuna kilicho kibaya.

Pata picha kama hapo ingekuwa ni Tanzania….kuna watu wangeumizwa na vyombo vya dola!

Tunaongozwa na watu wasio na akili kabisa.
Mme wako magu jambazi alifanya hivyo tulia we kibaka
 
..watakuwa wanatushangaa na kumuona Raisi wetu ni kituko.

..kumpitisha Raisi uani ni jambo la hatari sana kwa usalama wake.

..huko uani ndiko kuliko na jiko, ndiko ziliko stoo za hoteli, eneo la kufua nguo, eneo la kupokea mizigo, eneo la kutupa mataka[dumpster], na ndipo vilipo vyoo vya wafanyakazi.

..Ni eneo ambalo wageni wa hoteli hawatakiwi kufika, sembuse Raisi wa nchi.

..Waliofanya hivyo wamemuaibisha Raisi, na zaidi wamehatarisha usalama wake.
Sukuma gang tulieni mnyooshwe
 
Yaani Rais apoteze muda kusikiliza hao wehu ili iweje? Hao ni wapuuzi tu kama wapuuzi wengine!
Hoja si kkuwasikiliza wala , angepita tu bila kupoteza hata sekunde moja ya kuwaangalia

Hoja ni Rais wa nchi kuingilia mlango wa uani kule wanakopitishia stationery! inafikirisha

Kitendo cha kuwakimbia 'watu wasiozidi 20' kimewapa 'Milage '

Lengo la watu 20 limetimia kwamba Rais amepata ujumbe wao.
Hii 'kick' wameipata kupitia uani . own goal !!

JokaKuu
 
Back
Top Bottom