Psiteshio72
JF-Expert Member
- Nov 13, 2016
- 634
- 442
- Thread starter
- #41
Piga simu ukiwa na 50000 mkononiKuna i lphone iliokotwa na dereva bodaboda kwenye ajali ina paswad vipi unaweza kuitoa?k/koo imeshindikana lakini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Piga simu ukiwa na 50000 mkononiKuna i lphone iliokotwa na dereva bodaboda kwenye ajali ina paswad vipi unaweza kuitoa?k/koo imeshindikana lakini
Hii kitu imenishinda aisee..kuna tecno spark nakaribia kuitupa sasaMtaalam umesahau sikuhiz kuna security mpya kweny version kuanzia 5 na kuendelea? Ningeona vyema kama ungewaelekeza namna ya kubypass previously google account that was used to sign in
Kabisa mkuu,mimi ndo nilihangaika nayo hyo...ila nilifanikiwaMzee hii kitu inadai FRP.
UTAOSHIA KU FLASH TU.
AU utumie mbinu aliloeleza mdau m1 hapa namna ya kuondoa frp bila kuflash
Acha tu mkuu,ila bypass ina njia nyingi sanaMtaalam umesahau sikuhiz kuna security mpya kweny version kuanzia 5 na kuendelea? Ningeona vyema kama ungewaelekeza namna ya kubypass previously google account that was used to sign in
Kweli man mm hlo tatzo lilishawahi kunikuta sasa mbinu mbadala in IPI mkuuSimu za sikuhizi ukifanya hivo zinakudai previous account bila hiyo acount ..simu haifunguki
Imepelekwa kwa wataalam na 100000 juu na wameshindwa wee unataka 50000? Mbona unanitia shakaPiga simu ukiwa na 50000 mkononi
Kwel mdau umeonaeHuu Uzi ni wakufutwa sababu mnachochea wizi kwa kuhalalisha kwa maneno Kama mmeokota
Natumia AVG security (pro version), kuna option ya ku-activate mobile ant-theft. Kila mara nikifika kwenye hiyo option nasita kui-activate, vipi mkuu inaweza leta mashida kwenye mobile yangu endapo nita-activate?Nili activate mobile ant - theft..nilitumia hii mbinu zaidi ya mara 60 nikaishia kufuta kila kitu ndani. Si kila simu inakubali. Labda unambie iligoma kwa sababu ni mobile ant - theft na si pass word ya kawaida
Kama una account ya awali iliyokua inatumika kwenye hyo simu unaweza iweka ila kama umeisahau hapo kikichobaki ni kuflashi2Kweli man mm hlo tatzo lilishawahi kunikuta sasa mbinu mbadala in IPI mkuu
Si hilo unaweza ukawa unaikumbuka account na hata uki login kwenye device nyingine inakubadili ila kwenye simu ulioreset ikakataa. Hyo niliprove ili nilihisi ni kwa vile acconunt yenyewe ilikuwa ina siku tatu baada ya simu kununuliwaKama una account ya awali iliyokua inatumika kwenye hyo simu unaweza iweka ila kama umeisahau hapo kikichobaki ni kuflashi2
Mbona bado upo hai sasa?Mkuu yani niliwahi Fanya hivi Simu ikalipuka
Nilikimbia Mkuu ohoooMbona bado upo hai sasa?
Wap wizi umechochewa, wewe ndo wa kula bann kwa kuongea ujingaHuu Uzi ni wakufutwa sababu mnachochea wizi kwa kuhalalisha kwa maneno Kama mmeokota
NipigieHii kitu imenishinda aisee..kuna tecno spark nakaribia kuitupa sasa
pole. kutakuwa kuna kitu ulikosea. Mimi mara nyingi nafanya hivi na nafanikiwaMkuu yani niliwahi Fanya hivi Simu ikalipuka
Roho yako mbaya tuHuu uzi unampango wa kutufanya tudukuliwe sasa
Mimi sibabaishi, kazi 100%Imepelekwa kwa wataalam na 100000 juu na wameshindwa wee unataka 50000? Mbona unanitia shaka