Hayo ya kukosa nafasi jeshi ni mawazo yako boss, hayana uhusiano wowote na uhalisia.Sio bure wewe ulikosa sifa ama uliomba kujiunga jeshi ukakosa nafasi. Gwanda zinakuumiza sana roho ukiona wajuba wazitinga. Pasuka zaidi miamba hiyo hapo chini imekutana na imeazimia kiume maamuzi mazitoView attachment 3217859
ondoka nayo hiyoYa wao....
🤣🤣🤣🤣🤣Hayo ya kukosa nafasi jeshi ni mawazo yako boss, hayana uhusiano wowote na uhalisia.
Kuhusu maamuzi mazito kwa maslahi ya nchi yao ni jambo safi, maoni yangu yalihusu uvaaji wa uniform kila sehemu si utendaji wa kazi.
Museveni ni Jenerali, Kagame ni mwanajeshi na wote hao wanamzidi cheo Kapteni Traore ila hawazuruli na bastora na vimodo vya kijeshi.Je serikali hii ni ya kiraia au ya kijeshi,tuanzie hapa kwanza
Mazingira yake tofauti na hawa uliowataja,yeye yupo kwenye risk kubwa,kwahiyo muacha awe katika security modeMuseveni ni Jenerali, Kagame ni mwanajeshi na wote hao wanamzidi cheo Kapteni Traore ila hawazuruli na bastora na vimodo vya kijeshi.
Huyo jamaa ni mshamba bado, yuko ikulu ila anaishi kama yuko kambini.
Nifahamishe
Museveni ni Jenerali, Kagame ni mwanajeshi na wote hao wanamzidi cheo Kapteni Traore ila hawazuruli na bastora na vimodo vya kijeshi.
Huyo jamaa ni mshamba bado, yuko ikulu ila anaishi kama yuko kambini.
Huu ushuhuda wako haufai kwenye vikao vya wanaume peleka huko kwenye dawati la jinsi pumbavuWakati baba yangu anafariki, mama alikua umri wa kati tu 40's, mali zote zilibaki kwake kama msimamizi, na tumezikuta zote intact tena zingine zimeongezeka values.Nilipofunga ndoa, mama yangu alimwambia mke wangu, " Mimi niliolewa hii familia, nimetunza hizi mali zote, na zingine zimeongezeka, ni zamu yako sasa kuzitunza na kuzihamishia kwa atakayefuata".Mama alifariki 2020, tukampumzisha kwa amani kabisa..Na nikiangalia baba yangu alikua mfujaji sana wa pesa na mali, ni type za wale wababa wakienda nje wanatoa na kutumia utafikiri hamna kesho - bila kuwa na mwanamke aliyejua mapungufu ya mpenzi wake na kusimama kidete..tungeteketea..
Wanawake wengine wanaweza simamia mali vizuri tu
Isipokuwa anayezurura na kutembeza bakuli la misaada kwa mataifa mengine kwa kauli mbiu ya chanjo,mabadiliko ya tabia nchi,nishati safi n.k.bila kujua na hata kujali kuwa kuna ajenda gani ya siri nyuma yake....Huyo ndiye kiongozi kwako 🙆🤷Ukishaona kiongozi mkuu wa nchi anatumia sana neno "Africa, Mabeberu & mabepari" na pia propaganda nyingi ujue hamna kiongozi humo... mfano mzur Tanzania tuliwahi kua na kiongozi wa hivo
Ikumbukwe,Traore ni Askari [Mwanajeshi]na sio mwana siasa,utawala wake ni wa kijeshi na wakati , hivyo,si jambo la kushangaza akifanya gwanda kuwa vazi lake kuu.Hayo ya kukosa nafasi jeshi ni mawazo yako boss, hayana uhusiano wowote na uhalisia.
Kuhusu maamuzi mazito kwa maslahi ya nchi yao ni jambo safi, maoni yangu yalihusu uvaaji wa uniform kila sehemu si utendaji wa kazi.
Hajamsema vibaya, kamwambia fungasha virago na utoke sasa hivi, kuanzia makampuni yako yanayochimba Uranium na jeshi lako liliopo hapa kulinda huu uchimbaji wako, ama sivyo hii ni nchi yangu, na ukikataa kutoka naleta na nafungua kambi ya jeshi la Russia.very sad , najiuliza kwanini waafrika maboya wanamuona huyu jamaa kama hero? Kisa Kamsema vibaya macron, kaisem vibaya France...... Hilo tu ameshakuwa shujaa! Rubbish!
Uenda alikudanganya mbona wenye mafanikio makubwa wanaamasisha kaz kwa bidiikuna jamaa aliwahi kuniambia Ili ufanikiwe, hutakiwi kufanya kazi kwa bidii, sijui ulale usiku sana na uamke mapema, ni lazima kwanza uwe na akili.
pool africa
Anamfanana Harmonize!Huyu jamaa kimuonekano ni kama boya Fulani, ila ngoja tuone mwisho wake utakuwaje
Hapo unaongelea kazi za kwenda ofisini kutafuta hela ya kula na familia yako ila sio kwenye mambo ya kijeshi na kiutawala nguvu ni lazima.kuna jamaa aliwahi kuniambia Ili ufanikiwe, hutakiwi kufanya kazi kwa bidii, sijui ulale usiku sana na uamke mapema, ni lazima kwanza uwe na akili.
pool africa
Watanzania wanaongoza kwa ujinga. Badala ya kujadili vitu vya msingi unajadili mambo ya kitoto. Hasara kubwa sana hv uliishia darasa la ngapi vile!?