Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Ebu kaswaki kwanza!Natamani nikuzabe vibao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu kaswaki kwanza!Natamani nikuzabe vibao
Huyo dogo hajielewi, yaani kwa umri ule afanye mapinduzi na mpaka leo yuko madarakani halafu anamuita boya wakati hapo alipo hata akiambiwa aandamane kupinga bei ya umeme na sukari kuwa juu hawezi. Hovyo kabisaBoya wewe. Kwa umri alionao na nafasi aliyoshika, ni ishara kwamba jamaa ni kichwa. Angalia anavyoweka misingi ya maendeleo ya nchi.
kutokuwa na bunduki mbele ya Vladimir putin kwangu mimi nimeona udhaifu mkubwaa sana mkuu sijuhi kwakoKwani kutokukaa na bunduki mbele ya Putin imekubadilishia nini? Nyuzi nyingi humu za kumhusu Traore ni zile za kichuki chuki. Lakini kama mlifuatilia yaliyokuwa yanaendelea Bukinafaso ilikuwa sahihi kufanya mapinduzi
Kapunguza mishahara ya wabunge na mawaziri, kaanzisha kiwanda cha kusindika mboga na hakikuwahi kuwepo, kununua trekta zaidi ya 400 na kusambaza Nchi nzima bure kusaidia kilimo ni mambo madogo hayo?unaweza iweke hata kwa maandishi wengine waione ?
Kwanini wamemzuia mkuu ??hapa FSB wamezuia kuingia na silaha 😀
Ndio maana nimekwambia unazingatia vitu vidogo vidogo sanakutokuwa na bunduki mbele ya Vladimir putin kwangu mimi nimeona udhaifu mkubwaa sana mkuu sijuhi kwako
unajua kwanini serikali za africa huwa zinawapunguzia wabunge mishara 🤣🤣🤣🤣Kapunguza mishahara ya wabunge na mawaziri, kaanzisha kiwanda cha kusindika mboga na hakikuwahi kuwepo, kununua trekta zaidi ya 400 na kusambaza Nchi nzima bure kusaidia kilimo ni mambo madogo hayo?
Sasa hao wajeda wenyewe wana kadi za sisiem na vijana siku hizi wanaingia huko kwa connection za sisiem, unategemea maajabu gani mkuu?Hawa makapteni wetu sijui wenyew wanakwama wapi, kuliko ma ccm na mama yao bora kutawaliwa na wajeda!.
Kama viongoz waliopo madarakan hawajitambui, wanatumia rasilimali za nchi vibaya Kwa manufaa Yao huku raia wakiendelea kuteseka kwann wasipinduliwe. Acha kuwa na akili za fisiemKwa hiyo kufanya mapinduzi ni ujanja? Unamfaham Samuel Doe? Jean Bokasa? Charles Taylor? Hao wote ni mifano ya wapumbavu na walifanya mapinduzi kwa sababu ya upumbavu wao wakaishia kufa, jela na kukimbilia uhamishoni. Binadamu siyo ng'ombe
Zitaje, siyo kufuata mkumbo tuu.Sababu tunazo mkuu za kumchukia...
sasa hiyo inawezekanaje ukija kwa raisi wangu zanzibar unaenda na bunduki kiunoni halafu hapo hapo ukienda kwa putin unaenda na gwanda zako tu ?Ndio maana nimekwambia unazingatia vitu vidogo vidogo sana
mtu wa akiwa na itikadi yeyote ni sawa tu ila jambo ni ili tukiwa kama waafrika atupaswi kutishana na mabunduki mchana kweupe🤣🤣🤣🤣Kama viongoz waliopo madarakan hawajitambui, wanatumia rasilimali za nchi vibaya Kwa manufaa Yao huku raia wakiendelea kuteseka kwann wasipinduliwe. Acha kuwa na akili za fisiem
Kawasema vibaya for nothing or for reasons ukilijua Hilo ndio utajuwa kwann jamaa anapewa maua yakevery sad , najiuliza kwanini waafrika maboya wanamuona huyu jamaa kama hero? Kisa Kamsema vibaya macron, kaisem vibaya France...... Hilo tu ameshakuwa shujaa! Rubbish!
Mimi naona ni mbwembwe tu za mwanadamu.Kwenye mkutano wa Russia na African countries, Russia ilimhakikishia usalama that's why. But akiwa Africa anatembea na kifo behind, anytime chochote chaweza kutokea. Remember Thomas Sankara
Unamuonea wivu rais wa nchi nyingine tena ambaye amekataa kuja nchini kwako. Onea wivu viongozi wa nchi yako. Ujinga kweli ni bahari kubwa. How poetic this turned to be so true
huyu kingozi alikuja bongo kwenye mkutano wa nishati?Naona wadau mnamchukia huyu dogo bila sababu
Wivu tu.Naona wadau mnamchukia huyu dogo bila sababu
Nakujibu hoja ya bunduki, huyo aliyekutana nae sio mamluki ni mtu ambaye anamuhitaji wapige kazi, alihakikishiwa usalama wake,sasa hiyo inawezekanaje ukija kwa raisi wangu zanzibar unaenda na bunduki kiunoni halafu hapo hapo ukienda kwa putin unaenda na gwanda zako tu ?
Yaani unamjaji mtu kwa mwonekano?Huyu jamaa kimuonekano ni kama boya Fulani, ila ngoja tuone mwisho wake utakuwaje