Onesha hiyo bunduki ya kapteni Ibrahimu Traore anayoweka kiunoni akiwa hapa Afrika

Onesha hiyo bunduki ya kapteni Ibrahimu Traore anayoweka kiunoni akiwa hapa Afrika

Ebu tuangalie asili ya raisi mwenyewe,ni mwanajeshi na ameingia madarakani kwa mapinduzi ,lau angekuwa ameingia kwa uchaguzi halali hapo ungekuwa na point

Bado ni mwanajeshi ambaye ameshikilia nafasi ya uraisi
Suala la umeingiaje kazini si hoja, Kuvaa uniform za kazi yako kila sehemu ni ujinga.

Nikakuulize, wewe ni Trafiki, umelazimisha ukapewa uenyekiti wa kamati ya harusi, utavaa uniform siku ya harusi sababu kiasili wewe ni Tafriki?
 
Mpumbavu mzazi wako aliyekuzaa, mtu haujawahi kuniona Wala kuishi karibu NAMI unaweza vipi kuniita mpumbavu!
Bora mama ako angefanya blow job hilo bao lako akakutupe chooni hukoooooo,
mpuuzi ww sasa kama siwezi kukuita mpumbavu kisa sikujui sasa unawezaje kumchukia mtu ambaye nawe humjui na wala hana connection yoyote na ww
 
Bora mama ako angefanya blow job hilo bao lako akakutupe chooni hukoooooo,
mpuuzi ww sasa kama siwezi kukuita mpumbavu kisa sikujui sasa unawezaje kumchukia mtu ambaye nawe humjui na wala hana connection yoyote na ww
Fala wewe unaonekana hujui chochote mbwa Koko
 
Suala la umeingiaje kazini si hoja, Kuvaa uniform za kazi yako kila sehemu ni ujinga.

Nikakuulize, wewe ni Trafiki, umelazimisha ukapewa uenyekiti wa kamati ya harusi, utavaa uniform siku ya harusi sababu kiasili wewe ni Tafriki?
Huo mfano wako sio halisi,ushasema trafiki ameenda kwenye harusi,hiyo ni shughuli binafsi

Huyo mwamba ni mwanajeshi na amir mkuu wa majeshi,je hapo unaonaje?
 
Huo mfano wako sio halisi,ushasema trafiki ameenda kwenye harusi,hiyo ni shughuli binafsi
Hauna tofauti.
Kwa hii hoja yako daktari akipewa nchi azunguke na mabarakoa yake.
Huyo mwamba ni mwanajeshi na amir mkuu wa majeshi,je hapo unaonaje?
Sio amiri jeshi mkuu tu.

Ni mwajiri mkuu wa utumishi
Ni mkuu wa wizara zote kuanzia afya mpaka michezo

Na ndio maana sio kila sehemu anatakiwa awe na taswira ya kijeshi, kwani uraisi si jeshi tu.
 
Hauna tofauti.
Kwa hii hoja yako daktari akipewa nchi azunguke na mabarakoa yake.

Sio amiri jeshi mkuu tu.

Ni mwajiri mkuu wa utumishi
Ni mkuu wa wizara zote kuanzia afya mpaka michezo

Na ndio maana sio kila sehemu anatakiwa awe na taswira ya kijeshi, kwani uraisi si jeshi tu.
✈️✈️✈️✈️✈️✈️
 
Majasusi wamekutana apo, putin mwenyew akitembea mashine ipo kiunoni mkono wa kulia haulushagi ana lusha wakushoto tu
 
Ukishaona kiongozi mkuu wa nchi anatumia sana neno "Africa, Mabeberu & mabepari" na pia propaganda nyingi ujue hamna kiongozi humo... mfano mzur Tanzania tuliwahi kua na kiongozi wa hivo
They are scientifically called, " populist leaders". They always blackmail as to attract and win the support of an ordinary people at the expense of superficially insubordinate the western world and colonialism as a whole, meanwhile plundering our wealthy and safeguarding their own interests and more so, staying in power timelessly.
 
Back
Top Bottom