Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Na watamnasa tuFrance wanamuwinda balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na watamnasa tuFrance wanamuwinda balaa
Kwa hiyo wewe unamujaji mtu kwa kumchuna ngozi ?Yaani unamjaji mtu kwa mwonekano?
Wivu tu, dogo kapambania nchi yake halafu mtu ana simu yake na bando anaamua tu kutapika wivu wake sijui hajala huyuNaona wadau mnamchukia huyu dogo bila sababu
kajamaa kadogo ni kwamaba huyo aliyokwambia hajakosea, ningependa kusisitiza kuwa mafanikio ni mchakato ambao unajumuisha akili, juhudi na wakati utakaopitia katika ustahamilivu na subira katka uthubutu wako.kuna jamaa aliwahi kuniambia Ili ufanikiwe, hutakiwi kufanya kazi kwa bidii, sijui ulale usiku sana na uamke mapema, ni lazima kwanza uwe na akili.
pool africa
UmepotokaUkishaona kiongozi mkuu wa nchi anatumia sana neno "Africa, Mabeberu & mabepari" na pia propaganda nyingi ujue hamna kiongozi humo... mfano mzur Tanzania tuliwahi kua na kiongozi wa hivo
Wajinga wengi lingine hili hapa. Ibrahim is a soldier not a politicianKiongozi wa nchi akishavaa vaa makombati ya jeshi maeneo yasiyohitaji huo uvaaji anakuwa hatumii akili.
Putin hajavaa hayo makombati na ni mbabe kumzidi.
Yule ndio godfather wake. Muwe mnafanya research usiwe kichwa yaiNa kwenye mkutano ni bunduki kiunoni ila akienda kwa putin ni boksa na gwanda tu🤣🤣
Work smarter, not harder..kuna jamaa aliwahi kuniambia Ili ufanikiwe, hutakiwi kufanya kazi kwa bidii, sijui ulale usiku sana na uamke mapema, ni lazima kwanza uwe na akili.
pool africa
HakikaUmepotoka
Ukishakuwa kiongozi wa nchi unavaa uanasiasa. Narudia, kuvaa vaa makombat ya kijeshi kila sehemu ni ujinga hata kama unampenda.Wajinga wengi lingine hili hapa. Ibrahim is a soldier not a politician
Unazo halafu umeziweka mfukoni,zitaje tuzijueSababu tunazo mkuu za kumchukia...
Nimeipenda hii expertWorking hard vs working smart
Umenikumbusha nasaa za Marehemu Jim Rohn .... The key is to work smarter not harder
Kwani yeye si ni mwanajeshi,je hastahili kuvaa hizo nguo?Ukishakuwa kiongozi wa nchi unavaa uanasiasa. Narudia, kuvaa vaa makombat ya kijeshi kila sehemu ni ujinga hata kama unampenda.
Inawezekana labda si bora lakini hawezi kuwa mbaya kama wafaransa ambao wanazinyonya zile nchi miaka hadi miaka. Yani utakuta mbongo anamponda kisa kawatimua wafaransa.Watanzania wamejawa na chuki za masikini kumchukia tajiri bila sababu yoyote. Uchawi, wivu na husda ndio kitu kilichobaki kwa watanzania. Yaani kuna mchimba chumvi yuko mchamba wima na Tekno yake anakwambia kaptein Traore ni boya. Pumbavu
Huwezi kuwa bongo umchukie Rais wa Bukinafaso kama sio uchawe na wivu. Nchi ilijaa ufisadi na mauaji ya wanaoipinga Serikali mpaka alipofanya mapinduzi, je hilo kwako sio muhimu? Mbona hapa Tz mmekuwa mkiomba yatokee mapinduzi kwasababu ya yanayoendelea ya utekaji, mauaji na kukandamiza demokrasia? Je hicho mnachokuombea hapa bongo sindio alichokifanya Bukinafaso?
Unavaa ukiwa kwenye shughuli za kijeshi, sio kila sehemu.Kwani yeye si ni mwanajeshi,je hastahili kuvaa hizo nguo?
Ww n mpumbavu, mtu hujawah kuwa karibu nae wala hana effect yoyote kwenye maisha yako afu ety unamchukia 😂Sababu tunazo mkuu za kumchukia...
Ebu tuangalie asili ya raisi mwenyewe,ni mwanajeshi na ameingia madarakani kwa mapinduzi ,lau angekuwa ameingia kwa uchaguzi halali hapo ungekuwa na pointUnavaa ukiwa kwenye shughuli za kijeshi, sio kila sehemu.
Kwamba daktari avae full uniform barakoa kofia za kichwa kila anapokuwa sababu yeye ni daktari? Au trafiki avae uniform hadi akialikwa kwenye harusi sababu yeye ni trafiki?