ONESMO MUSHI; Mbowe alipotangaza maandamano alijikuta na watoto wake na waandishi wa habari mkifanya masihara nextime hata hao waandishi hamtawaona

ONESMO MUSHI; Mbowe alipotangaza maandamano alijikuta na watoto wake na waandishi wa habari mkifanya masihara nextime hata hao waandishi hamtawaona

Mbangaizaji wa Taifa

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
493
Reaction score
844
BARUA YA WAZI KWA WAJUMBE WA CHADEMA WA MKUTANO MKUU WA UCHAGUZI JAN21.

Ndugu Wajumbe,

Mara ya mwisho Mwenyekiti freemanmbowetz alipotangaza maandamano alijikuta peke yake barabarani na waandishi wa habari pamoja na watoto wake tu hata hao wanaosema mitano tena hakuwepo hata mmoja.

Sasa Mkifanya masihara mkamchagua, next time akiitisha maandamano hata hao waandishi wa habari hamtawaona labda waje TBC

Nawatakia kazi njema ya Uchaguzi
 
BARUA YA WAZI KWA WAJUMBE WA CHADEMA
*
Ndugu Wajumbe,

Mara ya mwisho @freemanmbowetz alipotangaza maandamano alijikuta peke yake barabarani na waandishi wa habari pamoja na watoto wake

Mkifanya masihara, next time hata hao waandishi wa habari hamtawaona (labda TBC na AyoTV).

Nawatakia kazi njema.
Ni swala la muda tu kama watamchagua kwaajili ya pesa
 
BARUA YA WAZI KWA WAJUMBE WA CHADEMA
*
Ndugu Wajumbe,

Mara ya mwisho @freemanmbowetz alipotangaza maandamano alijikuta peke yake barabarani na waandishi wa habari pamoja na watoto wake

Mkifanya masihara, next time hata hao waandishi wa habari hamtawaona (labda TBC na AyoTV).

Nawatakia kazi njema.
Lakini hakuwa serious na ndo alitaka kuzuga ili aendelee kuwahadaa wanachama kuwa bado ni mpizani

Ili aendelee kula ruzuku
Post 2025 hiyo ruzuku hapati tena

Aitumie vizuri alichochuma haramu awamu hii vinginevyo akifuja hizo hela kwenye uchaguzi kwa kuhonga wajumbe akitegemea ccm watampa zingine itakula kwake
 
Chama chake kikimfia na Dishi lake litayumba kama Mzee wa Kiraracha.
 
BARUA YA WAZI KWA WAJUMBE WA CHADEMA
*
Ndugu Wajumbe,

Mara ya mwisho @freemanmbowetz alipotangaza maandamano alijikuta peke yake barabarani na waandishi wa habari pamoja na watoto wake

Mkifanya masihara, next time hata hao waandishi wa habari hamtawaona (labda TBC na AyoTV).

Nawatakia kazi njema.
Wstu walimgundua.....na hiyo style ya kuja na Mke wake alielekezwa na system
 
Watu wengi ambao sio makada wa vyama vya siasa Nchini wanasubiri kwa hamu uchaguzi huu wa Chadema.
Watanzania sio wajinga,wameelewa A-z ya kinachoendelea sasa hivi hapa Nchini.
Wanajua Wazi na Rasmi kuwa FAM ni kibaraka wa CCM,na TAL ni Mpinzani,Mwanaharakati na Mwanasiasa wa Kweli.
Wanasubiri wajumbe watamchagua nani na kwa mintaarafu ipi.
Tunajua Pesa inakwenda kutumika,lakini MWAMBA atambue Ushindi wake wa kutengeneza utamfanya apoteze popularity hata kidogo aliyokuwa nayo kama Mwanasiasa mbele ya jamii.
Narudia watu sio wajinga na wamesanuka,wanafuatilia kwa kina kinachoendelea ndani ya CDM.
Ukiacha uoga wa asili tulionao Watanzania Dhidi ya vyombo vya Dola,Wanamabadiliko wengi hawamuelewi FAM.
TUNDU LISSU,anatosha.Anahitajika mtu FIERCE,asiye na Chembe ya Unafiki wala Uzandiki.
Kwa Tulipofikia CCM wanahitaji Mtu wa Aina ya Lissu kuwakabili,Siasa za Maridhiano hazina Mpango.
Kinachohitajika ni MABADILIKO yote ya Kimfumo,kuweka Maridhiano na Chama Dhalimu ni Ujinga.
Wananchi wameichoka CCM Baada ya Miaka Sitini,na Umma una Kiu ya MABADILIKO,sio Maridhiano.

TAL ndio njia ya Nuru na kweli wa kuipeleka Chadema mbele na Kuwapa tumaini Watanzania baada ya FAM kuonekana Wazi kuwa Yupo Corrupt,na Msaliti.

Go Mnyampaa,you can.
 
Onesmo Mushi.. mtu mjinga sana kwenye siasa za mageuzi

Where were you body.... Miaka 9 umepotea unaibuka leo na kauli za kijinga kama mlevi wa gongo
 
BARUA YA WAZI KWA WAJUMBE WA CHADEMA
*
Ndugu Wajumbe,

Mara ya mwisho @freemanmbowetz alipotangaza maandamano alijikuta peke yake barabarani na waandishi wa habari pamoja na watoto wake

Mkifanya masihara, next time hata hao waandishi wa habari hamtawaona (labda TBC na AyoTV).

Nawatakia kazi njema.
Mbowe hakubaliki kabisa ni kama analazimisha tu
 
BARUA YA WAZI KWA WAJUMBE WA CHADEMA WA MKUTANO MKUU WA UCHAGUZI JAN21.

Ndugu Wajumbe,

Mara ya mwisho Mwenyekiti freemanmbowetz alipotangaza maandamano alijikuta peke yake barabarani na waandishi wa habari pamoja na watoto wake tu hata hao wanaosema mitano tena hakuwepo hata mmoja.

Sasa Mkifanya masihara mkamchagua, next time akiitisha maandamano hata hao waandishi wa habari hamtawaona labda waje TBC

Nawatakia kazi njema ya Uchaguzi
Kama hakujifunza siku ya maandamano kuwa amezungukwa na wanafiki atakiona cha mtema kuni 2025
 
BARUA YA WAZI KWA WAJUMBE WA CHADEMA WA MKUTANO MKUU WA UCHAGUZI JAN21.

Ndugu Wajumbe,

Mara ya mwisho Mwenyekiti freemanmbowetz alipotangaza maandamano alijikuta peke yake barabarani na waandishi wa habari pamoja na watoto wake tu hata hao wanaosema mitano tena hakuwepo hata mmoja.

Sasa Mkifanya masihara mkamchagua, next time akiitisha maandamano hata hao waandishi wa habari hamtawaona labda waje TBC

Nawatakia kazi njema ya Uchaguzi
Mbowe ajitafakari sn watu hawamtaki tena
 
Back
Top Bottom