Ongeza exposure kabla ya kuoa

Mk


Umeamua kujizima data tu, kumbi zote mjini weekend zimejaa watu wanaoa na kuolewa. Mashekhe wako busy kufungisha ndoa daily. Ndoa ndo taasisi kubwa allover the planet earth ...
 
Mk




Umeamua kujizima data tu, kumbi zote mjini weekend zimejaa watu wanaoa na kuolewa. Mashekhe wako busy kufungisha ndoa daily. Ndoa ndo taasisi kubwa allover the planet earth ...
wewe uliyejiwasha data Unafahamu kwa wastani Tanzania zinavujinika ndoa ngapi kwa siku??
 
wewe uliyejiwasha data Unafahamu kwa wastani Tanzania zinavujinika ndoa ngapi kwa siku

Sifahamu hakika. Ila hilo halizuii the fact that ndoa ndio the most admirable human institution Kwa binadamu
 
Usiwe general Sana, Kama wewe na ma jirani zako mme vurugwa basi tambua wapo wanao ishi poa.

hebu vuta pumzi vizuri, ili ueleze Ume pigwa na kitu gani kizito??
 
Uko sawa. Ondoa generalization, and just pick the tiny truth in this thread.
Usiwe general Sana, Kama wewe na ma jirani zako mme vurugwa basi tambua wapo wanao ishi poa.

hebu vuta pumzi vizuri, ili ueleze Ume pigwa na kitu gani kizito??
 
Mkuu makin San
 
So ushaoa Vijijini siyo
 
unaokota dhahabu unaiosha, inang'aa afu wahuni wa mjini wanapanda dau wanainunua😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…