Ongezeko la joto nchini, picha ya Mlima Kilimanjaro leo

Hata maeneo mengi ya machame hakuna maji, ni jambo ambalo haijawahi tokea miaka yote
 
Mabadiliko ya tabia nchi, tuendelee kuharibu mazingira... mazingira yatatulipa sawasawa na tunavyoyaharibu. To every action.......!
There is an equal and opposite reaction! ha ha ha
 
View attachment 2013193
Barafu inayeyuka kabisa kileleni.

Mungu atunusuru
Kuna uwezekano pia kuwa huko chini ya mlima kuna lava ambayo imeshaanza kupandisha juu ili itoke na hivyo imepelekea uwepo wa joto kubwa kileleni. Kumbuka kuwa Mlima Kilimanjaro una volcano iliyolala na ambayo ina uwezo wa kulipuka muda wowote ule
 
Mimi naogopa sana maana Waafrika hatuko makini tunajali sana maslahi binafsi kuliko maslahi ya walio wengi.
Ni rahisi kupokea rushwa kwa maslahi binafsi huku wengi wakiteketea!!!
 
Jamaa anakuambia Mungu atunusuru wakati kila mwaka iyo hali inatokea
Hii hali ni tofauti hii hali italeta ukame mkubwa sana na hata mvua ikijanyesha itakuwa sio mvua ya kawaida 2022 utakuwa mwaka mgumu sana yajayo yanatisha.
 
Mimi naogopa sana maana Waafrika hatuko makini tunajali sana maslahi binafsi kuliko maslahi ya walio wengi.
Ni rahisi kupokea rushwa kwa maslahi binafsi huku wengi wakiteketea!!!

Hilo lipo sana kwa nchi masikini na tatizo ni mifumo mibovu ya kulindana

Mabunge yanaogopa kuweka sheria ngumu kwa sababu wao ndio wavunjaji wakubwa wa sheria

Angalia mtu anakuwa Rais halafu anasema tu kuanzia leo fulani analindwa kutokushtakiwa sasa hapo unategemea nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…