Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Kwa hiyo ukichoka kunyanyaswa, ukitukana watu, manyanyaso yanapungua au?.Pole Paskal hizo ndizo changamoto za mitandaoni, lakini tambua kuwa wananchi wamechoka kunyanyaswa na CCM mpaka wamepagawa sasa
Msamehe bure tuendee kupambana mpaka Serikali watakapojua kuwa yafaa kufanya tafiti za kutosha kabla hawajaamua jambo lolote.Kwa hiyo ukichoka kunyanyaswa, ukitukana watu, manyanyaso yanapungua au?.
P
Hili neno.Msamehe bure tuendee kupambana mpaka Serikali watakapojua kuwa yafaa kufanya tafiti za kutosha kabla hawajaamua jambo lolote.
Uganda? Middle class economy? Haya mkuu.Ujamaa [emoji817]....
Alijaribu Nyerere alikiona kiti kichungu.....
Pengine itauzia money laundering and those stuffs, Ila kiukwel too much beuracracy has never been a a good indicator for economy growth....
Hapa Kenya na Uganda tutwasikia tu kwenye list za middle class economy....
Tutaburuzika for another good100yrs....
Anapoza machungu hahaKwa hiyo ukichoka kunyanyaswa, ukitukana watu, manyanyaso yanapungua au?.
P
Wameshakujua manHAYA NILIYAONA, NDIO MAANA HELA ZANGU TANGU MWAKA JANA NALAZA CHINI YA GODORO, NA NINATEMBEA NA LAKI 2 KWENYE SOKSI, KWAHIYO HATA UKINIKABA, UTAAMBULIA 400 YA NAULI KWENYE SURUALI...
hata sisi wajanja.
HIVI UNADHANI YULE MAMA MZUNGU KATOKA NA KURUDI KWAO ULAYA BURE? KAONA HAMNA ISHU ENI EMUU BII. MAGU NDO ETI DIRECTOR.Pamoja na kwamba hata kama utakuwa na vitambulisho vyoote husika lakin muhim kuwa na kiapo cha mahakamani kwa taarifa unazotoa wakati wa ufunguzi wa akaunt,
Wakati huo huo akaunt zote ambazo zitaonekana kupitisha hela kubwa kubwa zitachunguzwa na wakibaini hela inapita tu bila kuwa na uthibitisho wa hela zako, akaunt inazuiliwa, na kiasi chenyewe ni zaid ya milion 50 kwa miezi kadhaa
Kwa wafanyakazi wa ENI EMU BII ninyi ni mashahidi wamepokea waraka toka BII OO TII kwamba hakuna mtu ku deposit zaid ya milion 40 bila maelezo zimetoka wapi
Pia kwamba Huruhusiwi kufungua akaunt mbili za aina moja ndani ya benki moja kama ilivyokuwa zamani,
Stay tuned,
Britannica,
Umeona hee na itaanguka vibaya sanaHIVI UNADHANI YULE MAMA MZUNGU KATOKA NA KURUDI KWAO ULAYA BURE? KAONA HAMNA ISHU ENI EMUU BII. MAGU NDO ETI DIRECTOR.
NIMENUNUA CHUPI YENYE ZIPU...HATA UKINIKABA NDO UTANIVUA NGUO HADI KWENYE CHUPI??Wameshakujua man
Kumbe una hela hivyooo! Tutafutane basi, si unakumbuka uliweka uzi kuwa unatafuta mwanamke hapa Mwanza!! Niko tayari njoo tuyajenge mwaya!!!HAYA NILIYAONA, NDIO MAANA HELA ZANGU TANGU MWAKA JANA NALAZA CHINI YA GODORO, NA NINATEMBEA NA LAKI 2 KWENYE SOKSI, KWAHIYO HATA UKINIKABA, UTAAMBULIA 400 YA NAULI KWENYE SURUALI...
hata sisi wajanja.
Kwa hiyo ukichoka kunyanyaswa, ukitukana watu, manyanyaso yanapungua au?.
P
Namba yako ni ninay, ni vile mambo ni mengi hapa ofisini kwasasa...ila lazima nikucheku TUU YAA JEEEEEE NGE.Kumbe una hela hivyooo! Tutafutane basi, si unakumbuka uliweka uzi kuwa unatafuta mwanamke hapa Mwanza!! Niko tayari njoo tuyajenge mwaya!!!
KWANI HATUFICHI? HADI DALINI...NA KWENYE MITO YA MAKOCHI...mgeni ukija unaegamia mto...kumbe nadni kuna M kadhaa...na unaondoka bila shida wala kuvamiaalafu baadae analalamika watu wanaficha hela kwenye magodoro.
Niko tayari kabisa. Nimependa sana ulivyosema kuwa una hela hadi zingine unaweka kwenye soksi. Wengine hayo waliyafanya enzi za mzee Mwinyi. ngoja nije PM walahi (walahi kwa sauti ya ISIS) hahaahahahahahNamba yako ni ninay, ni vile mambo ni mengi hapa ofisini kwasasa...ila lazima nikucheku TUU YAA JEEEEEE NGE.
ISIS ndo bwana wako?Niko tayari kabisa. Nimependa sana ulivyosema kuwa una hela hadi zingine unaweka kwenye soksi. Wengine hayo waliyafanya enzi za mzee Mwinyi. ngoja nije PM walahi (walahi kwa sauti ya ISIS) hahaahahahahah
TUSHAANZA KUONGE KISUKUMA. huoni hata uzaramuni wanabonga kisukuma? anza kujifunza, sio kigumu...ni kama kiswahiliTatizo la watanzania tunaongea lugha tofauti,, siku tukikubali kuongea lugha moja haya matatizo yatakwisha.