Tetesi: Ongezeko la masharti ukitaka kufungua akaunti ya Benki lazima kuongezea kiapo cha mahakama licha ya kuwa na vitambulisho husika

Tetesi: Ongezeko la masharti ukitaka kufungua akaunti ya Benki lazima kuongezea kiapo cha mahakama licha ya kuwa na vitambulisho husika

Hii kitu inafikirisha sana, kwa ivo mtu atoe maelekezo ya wapi ametoa milioni 40.

Money laundering ni shida lakin isitufanye kubana vipato vya watu. Teknolojia imekuwa kwa kasi sana. Online businesses zinalipa kuliko ata ajira. Kwa ivo nitakuwa naogopa kutengeneza pesa kwa sababu ya serikali tu.

Kwanza 40m sio kitu(ni around $19,000)...tukianza kutoa limits kama hizi tutakuwa nchi maskini sana.

UJAMAA NI UFALA. UJAMAA UNATENGENEZA WANYONGE NA MASKINI WENGI.
 
Ujamaa [emoji817]....
Alijaribu Nyerere alikiona kiti kichungu.....
Pengine itauzia money laundering and those stuffs, Ila kiukwel too much beuracracy has never been a a good indicator for economy growth....
Hapa Kenya na Uganda tutwasikia tu kwenye list za middle class economy....
Tutaburuzika for another good100yrs....
Uganda? Middle class economy? Haya mkuu.
 
HAYA NILIYAONA, NDIO MAANA HELA ZANGU TANGU MWAKA JANA NALAZA CHINI YA GODORO, NA NINATEMBEA NA LAKI 2 KWENYE SOKSI, KWAHIYO HATA UKINIKABA, UTAAMBULIA 400 YA NAULI KWENYE SURUALI...

hata sisi wajanja.
 
HAYA NILIYAONA, NDIO MAANA HELA ZANGU TANGU MWAKA JANA NALAZA CHINI YA GODORO, NA NINATEMBEA NA LAKI 2 KWENYE SOKSI, KWAHIYO HATA UKINIKABA, UTAAMBULIA 400 YA NAULI KWENYE SURUALI...

hata sisi wajanja.
Wameshakujua man
 
Pamoja na kwamba hata kama utakuwa na vitambulisho vyoote husika lakin muhim kuwa na kiapo cha mahakamani kwa taarifa unazotoa wakati wa ufunguzi wa akaunt,

Wakati huo huo akaunt zote ambazo zitaonekana kupitisha hela kubwa kubwa zitachunguzwa na wakibaini hela inapita tu bila kuwa na uthibitisho wa hela zako, akaunt inazuiliwa, na kiasi chenyewe ni zaid ya milion 50 kwa miezi kadhaa
Kwa wafanyakazi wa ENI EMU BII ninyi ni mashahidi wamepokea waraka toka BII OO TII kwamba hakuna mtu ku deposit zaid ya milion 40 bila maelezo zimetoka wapi

Pia kwamba Huruhusiwi kufungua akaunt mbili za aina moja ndani ya benki moja kama ilivyokuwa zamani,

Stay tuned,


Britannica,
HIVI UNADHANI YULE MAMA MZUNGU KATOKA NA KURUDI KWAO ULAYA BURE? KAONA HAMNA ISHU ENI EMUU BII. MAGU NDO ETI DIRECTOR.
 
alafu baadae analalamika watu wanaficha hela kwenye magodoro.
 
Kwa hiyo ukichoka kunyanyaswa, ukitukana watu, manyanyaso yanapungua au?.
P


Nani kakutukana ? Ukiambiwa kichwa Kama embe ndio tusi ???

Acheni kutafuta sympathy kwa ujinga ujinga wenu.



Narudia tena wewe si tu ni embe Bali ni Una kichwa KAMA EMBE BOLIBO BICHI.

Sasa nakusubiri uje na Huruma zako za Kingazinja nikufumue kisawasawa, Tabulasa wewe.
 
Kumbe una hela hivyooo! Tutafutane basi, si unakumbuka uliweka uzi kuwa unatafuta mwanamke hapa Mwanza!! Niko tayari njoo tuyajenge mwaya!!!
Namba yako ni ninay, ni vile mambo ni mengi hapa ofisini kwasasa...ila lazima nikucheku TUU YAA JEEEEEE NGE.
 
Tatizo la watanzania tunaongea lugha tofauti,, siku tukikubali kuongea lugha moja haya matatizo yatakwisha.
 
Namba yako ni ninay, ni vile mambo ni mengi hapa ofisini kwasasa...ila lazima nikucheku TUU YAA JEEEEEE NGE.
Niko tayari kabisa. Nimependa sana ulivyosema kuwa una hela hadi zingine unaweka kwenye soksi. Wengine hayo waliyafanya enzi za mzee Mwinyi. ngoja nije PM walahi (walahi kwa sauti ya ISIS) hahaahahahahah
 
Niko tayari kabisa. Nimependa sana ulivyosema kuwa una hela hadi zingine unaweka kwenye soksi. Wengine hayo waliyafanya enzi za mzee Mwinyi. ngoja nije PM walahi (walahi kwa sauti ya ISIS) hahaahahahahah
ISIS ndo bwana wako?

si pe ndi ku chu ku a m ke wa m tu.
 
Tatizo la watanzania tunaongea lugha tofauti,, siku tukikubali kuongea lugha moja haya matatizo yatakwisha.
TUSHAANZA KUONGE KISUKUMA. huoni hata uzaramuni wanabonga kisukuma? anza kujifunza, sio kigumu...ni kama kiswahili
 
Back
Top Bottom