Ongezeko la mashoga ni laana kwa taifa au athari ya utandawazi?

Ongezeko la mashoga ni laana kwa taifa au athari ya utandawazi?

Tuwaunganishe watoto wetu na Mungu muumba wetu ili utashi wao wa kujua mema na mabaya uwe active muda wote.Wawe na nguvu na uwezo wa kukimbia maovu automatically.
Wengine wanasema bording schools zinachangia,wengine malezi ya wazazi lakini tufanye nini kuzuia?hilo ndio lamsingi
 
Kumekuwa na kukithiri kwa tatizo la ushoga ktk jamii yetu licha ya viongozi wa dini na serikali kufanya jitihada za kukemea matendo hayo,lakini kila uchwao ktk mitandao na ktk jamii vijana mashoga(sio ridhki )wamekuwa wakiongezeka tena kwa kujitangaza na kujivunia ushoga wao.Nafikiri wakati ufike kama watanzania jamii na serikali tuwekeze nguvu ktk kutokomeza janga hili kama tulivyofanikiwa ktk mifuko ya Rambo tuanzishe kampeni tokemeza ushoga japo changamoto imekuwa kubwa sababu kuna baadhi ya viongozi wa dini na serikali nawao wanahusika ktk jamii hizi lakini tukitaka kumuua nyani tusimtazame usoni wakati umefika tukemee matendo haya machafu ambayo ni laana inayopewa sapoti na kugeuzwa kuwa fursa hasa mitandaoni.Kila mmoja ajiulize mwanao angekuwa hivyo ungejiskiaje?huo ni lana ya taifa na ni athari ya utandawazi#kemea ushoga popote ulipo kanisa ni,msikitini,shuleni, serikalini,mitandaoni.
Moja ya sababu ni posts kama hizi kwenye mitandao ya kijamii. Wakati mwingine tunaupa promo ushoga bila kujua.
 
Chanzo kikubwa ni utandawazi tena huko huko kwenye pornography, na kiukweli ndio vitu vinaongoza kwa kuangaliwa kwenye Internet na hakuna hata mmoja mwenye smartphone ambae hajawahi kuangalia porn me mwenyewe nimeangalia sana tu

Sasa wakati unaangalia zile porn za kawaida unakuta wanakuwekea na za kishoga sasa sababu binadamu tumeumbwa wadadisi tunapenda kujua na kuchunguza kitu kipya ambacho hatujakizoea machoni unakuta tunafungua hizo videos tunaangalia

Siku ya kwanza tunakasirika na tunaacha kabisa kuangalia, katika 100% walioangalia porn za kishoga kwa mara ya kwanza katika maisha yao ni chini ya 80% hawatarudia tena kuzifungua hata kama zina appear kwenye results

Hiyo 20% wataangalia kwa muda sababu wamevutiwa japo sio mashoga wala hawajawahi kushiriki hivyo vitendo na wala awali hawakuwahi kufikiria hivyo vitu, wataangalia kwa kusuasua kwa mara za manzoni lakini baadae video zitawakolea na watakuwa wanapenda kuangalia then watakuwa addicted na porn za kishoga na baadae shetani atawaingiza rasmi kwenye vitendo, wataanza kuwatafuta hao mashoga kabisa na kutumbukia kwenye ushoga mazima.


Hilo nimelishuhudia live live.
 
Jamani mie kuna shoga ananisumbua hadi nimemblock yuko hapa South Africa kama kuna mwenye akili kama huyu shoga akipenda nimuunganishe nae hii laana inikae mbali. Mwanaume anang'ang'ania dume mwezake kama hana akili. Shenzytype mashoga wote
 
USHOGA sio laana acording to me,
Pengine what i know is ushoga unazaliwa sehemu nyingi sana,
1.SHULE za jinsia moja,
2.GEREZANI
na pia
3.MITAANI hasa kwa wanaolala wengi wanaume tupu

Hizi ni bahadhi ya sehemu ambapo USHOGA na USAGAJI huwa unazaliwa au unaanzia ingawa wapo watu wanaozaliwa wakiwa na ELEMENTS hizo.
M.MUNGU hajawahi kumlaani mtu wala taifa na kulifanya kuwa WASAGAJI na MASHOGA ,ila tu amesema OLE WAO WAFIRAJI.
Hii ni hali tu ya kuashiria mwisho wa dunia kwa mahana yote haya yalitabirima ili kutujuza kuwa tunaelekea ukingoni.
MUNGU atusaidie sana
Hilo la kuzaliwa na hizo elements chafu huwa nafsi yangu inagoma kukubaliana nalo kabisaaaaa...nijuavyo Mungu hajipingi ndugu.Hizo ni jitihada za makusudi kabisa za mawakala wa yule mwovu za kuforce kuhalalisha "haramu".Shetani anafanya kampeni
 
Utandawazi umepelekea kuona ni fashion kulea watoto kidigitali zaidi,malezi ya mzazi mmoja ndoyachangiayo zaidi na wengi wanaoaribikiwa umri mdogo
 
Tufanye mambo ya msingi mashoga walikuwepo tangu enzi za sodoma na gomora, ukitaka kuwatokomeza utaishia kuleta madhara ambayo kimsingi yanaweza pia yakaliathiri taifa hasa ki mahusiano na mataifa makubwa ya nje.
Huwezi kumbadilisha shoga akawa mwanaume rijali sasa kwanini kujisumbua achana nao fanya yako.
Dume linafanyiwa mambo ya ovyo , serikali ingeanza na mabasha , haiwezekani unasimamishaje mguu wa kuku kwa mwanaume mwenzako !! inashangaza sana
 
Kwakweli hata mimi nashangaa sana ..cha ajabu kuna baadhi ya madhehebu ya dini yanaunga mkono swala hili wakati limewekwa wazi kabisa katika vitabu vya dini.sasa sielewi inamaana wanapingana na biblical theory of creation ambayo inaeleza wazi kuhusu dhumuni la uumbaji
Ni dhehebu gani linaunga mkono ushoga?
 
Anglicana.na mengine machache..kwetu (africa) tunabanwa na tamaduni pamoja na kuwa beggars kwa wazungu ...lakin hali sio shwari kadili nyakati zinavyokwenda
 
It is unfair to say that same-sex marriage is “forbidden by the church [of England] despite being sanctioned by parliament” (Are you there, God? It’s me, Justin , Weekend, 19 May). In the Marriage (Same Sex Couples) Act 2013, culture secretary Maria Miller imposed a “quadruple lock” on the Church of England, banning it from offering same-sex marriage without fresh primary legislation. Many clergy would like to offer weddings to all, but their hands are tied by this legislation. The British Social Attitudes survey shows that a large majority of Anglicans support same-sex marriage. The Scottish Episcopal Church, part of the Anglican Communion but not established and not hampered by this act, has been performing same-sex marriages since 2017.
 
Si mliomba kuletewa ujing.a unait.was democracy
 
Kumekuwa na kukithiri kwa tatizo la ushoga ktk jamii yetu licha ya viongozi wa dini na serikali kufanya jitihada za kukemea matendo hayo,lakini kila uchwao ktk mitandao na ktk jamii vijana mashoga(sio ridhki )wamekuwa wakiongezeka tena kwa kujitangaza na kujivunia ushoga wao.Nafikiri wakati ufike kama watanzania jamii na serikali tuwekeze nguvu ktk kutokomeza janga hili kama tulivyofanikiwa ktk mifuko ya Rambo tuanzishe kampeni tokemeza ushoga japo changamoto imekuwa kubwa sababu kuna baadhi ya viongozi wa dini na serikali nawao wanahusika ktk jamii hizi lakini tukitaka kumuua nyani tusimtazame usoni wakati umefika tukemee matendo haya machafu ambayo ni laana inayopewa sapoti na kugeuzwa kuwa fursa hasa mitandaoni.Kila mmoja ajiulize mwanao angekuwa hivyo ungejiskiaje?huo ni lana ya taifa na ni athari ya utandawazi#kemea ushoga popote ulipo kanisa ni,msikitini,shuleni, serikalini,mitandaoni.
Wazazi kutowalea vizuri watoto wao, kumbuka hiyo tabia haianzi ghafla
 
Umesema baadhi ya madhehebu wanaunga mkono suala la ushoga
Ndio.nimekupa dondoo chache kwa kutumia mfano wa anglican

...It is unfair to say that same-sex marriage is “forbidden by the church [of England] despite being sanctioned by parliament” (Are you there, God? It’s me, Justin , Weekend, 19 May). In the Marriage (Same Sex Couples) Act 2013, culture secretary Maria Miller imposed a “quadruple lock” on the Church of England, banning it from offering same-sex marriage without fresh primary legislation. Many clergy would like to offer weddings to all, but their hands are tied by this legislation. The British Social Attitudes survey shows that a large majority of Anglicans support same-sex marriage. The Scottish Episcopal Church, part of the Anglican Communion but not established and not hampered by this act, has been performing same-sex marriages since 2017....
 
Wanaume ndo wanao endeleza na kuupa nguvu ushoga.
 
Ndio.nimekupa dondoo chache kwa kutumia mfano wa anglican

...It is unfair to say that same-sex marriage is “forbidden by the church [of England] despite being sanctioned by parliament” (Are you there, God? It’s me, Justin , Weekend, 19 May). In the Marriage (Same Sex Couples) Act 2013, culture secretary Maria Miller imposed a “quadruple lock” on the Church of England, banning it from offering same-sex marriage without fresh primary legislation. Many clergy would like to offer weddings to all, but their hands are tied by this legislation. The British Social Attitudes survey shows that a large majority of Anglicans support same-sex marriage. The Scottish Episcopal Church, part of the Anglican Communion but not established and not hampered by this act, has been performing same-sex marriages since 2017....
Nimekupata mkuu
 
Yudah
USHOGA sio laana acording to me,
Pengine what i know is ushoga unazaliwa sehemu nyingi sana,
1.SHULE za jinsia moja,
2.GEREZANI
na pia
3.MITAANI hasa kwa wanaolala wengi wanaume tupu

Hizi ni bahadhi ya sehemu ambapo USHOGA na USAGAJI huwa unazaliwa au unaanzia ingawa wapo watu wanaozaliwa wakiwa na ELEMENTS hizo.
M.MUNGU hajawahi kumlaani mtu wala taifa na kulifanya kuwa WASAGAJI na MASHOGA ,ila tu amesema OLE WAO WAFIRAJI.
Hii ni hali tu ya kuashiria mwisho wa dunia kwa mahana yote haya yalitabirima ili kutujuza kuwa tunaelekea ukingoni.
MUNGU atusaidie sana
 
Back
Top Bottom