Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,710
- 2,587
Mbona hamsemi kabisa kuhusu ukakamavu, zamani mtoto wa kiume anaonekana kwa ukakamavu, siku hizi wote laini. Mtoto wa zamani hata akiwa wa kike tako linakuwa limekaza kutokana na kazi na kutembea. Manake hata mtu akipelekewa moto lazima KY itafutwe na vilio balaa jiulizeni siku hizi brake kende. Shule zilikuwa mbali watu wanatembea sana, machine za kusaga mbali au kutwanga. Mpira viwanja mbali na kazi ngumu. Kupata pesa mpaka kazi ngumu siku hizi kuimba tu watu wanapiga hela na vyakula vyenu sasa lakini haitoshi kusema mtoto wa kiume ugongwe na ile ya kula tigo imefanya mmezoea sasa