Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,710
- 2,587
Utandawazi kivipi? Wakati hata kwenye bible tunaambiwa Ushago ulikuwepo huko Sodoma.Kumekuwa na kukithiri kwa tatizo la ushoga ktk jamii yetu licha ya viongozi wa dini na serikali kufanya jitihada za kukemea matendo hayo,lakini kila uchwao ktk mitandao na ktk jamii vijana mashoga(sio ridhki )wamekuwa wakiongezeka tena kwa kujitangaza na kujivunia ushoga wao.Nafikiri wakati ufike kama watanzania jamii na serikali tuwekeze nguvu ktk kutokomeza janga hili kama tulivyofanikiwa ktk mifuko ya Rambo tuanzishe kampeni tokemeza ushoga japo changamoto imekuwa kubwa sababu kuna baadhi ya viongozi wa dini na serikali nawao wanahusika ktk jamii hizi lakini tukitaka kumuua nyani tusimtazame usoni wakati umefika tukemee matendo haya machafu ambayo ni laana inayopewa sapoti na kugeuzwa kuwa fursa hasa mitandaoni.Kila mmoja ajiulize mwanao angekuwa hivyo ungejiskiaje?huo ni lana ya taifa na ni athari ya utandawazi#kemea ushoga popote ulipo kanisa ni,msikitini,shuleni, serikalini,mitandaoni.
Sodoma na Gomola walikuwa wanakula vyakula gani? tuwe tunasoma na Historia pia na hata Historia za Wazunhu na life lao miaka ya nyuma sanaMimi nahisi vyakula pia vinachangia
Mtu Chakula chake kikubwa ni chakisasa nadhani hata mjegejo atakao utoa utakua wakifedhuri tu nakuishia kua shoga
Tatizo nadhani tunajitahidi kuishi katika tamaduni za wazungu wakati hatuna miundombinuya kizungu
Zamani mtoto wakiume alikuwa anapewa misingi ya uanaume.yani ukionekana unafanya mabo mengi ambayo ni majukumu ya mtoto wa kike unapata tabu sana..lakini siku hizi malezi na utamaduni tunaoiga imekuwa changamoto kukwepa tatizo hili.nadhani kwenye malezi kwa ujumla kuna tatizo
Hizo boarding schools zilikuwepo tangu utawala wa Mwl Nyerere. Mbona wanafunzi wa wakati huo ambao kwa sasa wengine ni vigogo serikalini hawakuwa wanaswekana mipini ?
Tuwaunganishe watoto wetu na Mungu muumba wetu ili utashi wao wa kujua mema na mabaya uwe active muda wote.Wawe na nguvu na uwezo wa kukimbia maovu automatically.
Ndo nacho sema. Ushoga ulikuwepo hata enzi za Wakoloni hapa Tanzania sema hakukuwa na Promo kabisa kabisaMoja ya sababu ni posts kama hizi kwenye mitandao ya kijamii. Wakati mwingine tunaupa promo ushoga bila kujua.
Niliwah kufundisha boarding s ya wasichana yaan kesi za kusagana madogo zilikuwa nyingi
Yesu akuwa mjinga alipo sema acha magugu na ngano vikue pamoja ..Ila dini za sikuizi hakuna akili wala hekima ni UNAFIKI MTUPUTufanye mambo ya msingi mashoga walikuwepo tangu enzi za sodoma na gomora, ukitaka kuwatokomeza utaishia kuleta madhara ambayo kimsingi yanaweza pia yakaliathiri taifa hasa ki mahusiano na mataifa makubwa ya nje.
Huwezi kumbadilisha shoga akawa mwanaume rijali sasa kwanini kujisumbua achana nao fanya yako.
Kwani ujui dini na wahumini wa sikuizi ni UNAFIKI wao watakuambia dhambi ni ushoga na ushoga ndiyo dhambi mm nawaita wapumbaavuu awawezi kufanikisha ufumbuzi wa tatizo lolote .ushoga ni tatizo la ulemavu linalo sababishwa na mambo mbalimbali ila tumkemee anaye wasababisha wenzake kuwa walemavuKaa utambue kwamba unaweza usiwe shoga ila ukawa na tabia ya kumfira mkeo au mpenzi wako,tambua maandiko matakatifu kutoka kwenye kitabu cha WAKORINTHO kinasema hivi
"Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti"
TAFAKARI NJIA ZAKO ILI UHURITHI UZIMA WA MILELE
Hayo siyo maneno ya Binadamu bali niya MUNGU aliyemuumba Binadamu ndo anasema hivi!Kwani ujui dini na wahumini wa sikuizi ni UNAFIKI wao watakuambia dhambi ni ushoga na ushoga ndiyo dhambi mm nawaita wapumbaavuu awawezi kufanikisha ufumbuzi wa tatizo lolote .ushoga ni tatizo la ulemavu linalo sababishwa na mambo mbalimbali ila tumkemee anaye wasababisha wenzake kuwa walemavu
We noma sana NI LAANA KALI ??? utadhani unaushilika na mungu mwenyezi nyinyi ndiyo uwa mnajidai kumjua mungu kuliko anavyojijua yeye mwenyeweNi laana kali sana. Cha ajabu kuna pungaz wengine wapo humu na wamepata watetezi.
Kwenye chakula wazungumzia wenye kupenda chips kama wanaume wa kinondoniMimi nahisi vyakula pia vinachangia
Mtu Chakula chake kikubwa ni chakisasa nadhani hata mjegejo atakao utoa utakua wakifedhuri tu nakuishia kua shoga
Mbona hamsemi kabisa kuhusu ukakamavu, zamani mtoto wa kiume anaonekana kwa ukakamavu, siku hizi wote laini. Mtoto wa zamani hata akiwa wa kike tako linakuwa limekaza kutokana na kazi na kutembea. Manake hata mtu akipelekewa moto lazima KY itafutwe na vilio balaa jiulizeni siku hizi brake kende. Shule zilikuwa mbali watu wanatembea sana, machine za kusaga mbali au kutwanga. Mpira viwanja mbali na kazi ngumu. Kupata pesa mpaka kazi ngumu siku hizi kuimba tu watu wanapiga hela na vyakula vyenu sasa lakini haitoshi kusema mtoto wa kiume ugongwe na ile ya kula tigo imefanya mmezoea sasa
Wanaume ndo wanao endeleza na kuupa nguvu ushoga.
ArushaMkoa gani huo Mkuu?
Arusha
Jifunze uandishi basi kabla hujaamua kujiteteaWe noma sana NI LAANA KALI ??? utadhani unaushilika na mungu mwenyezi nyinyi ndiyo uwa mnajidai kumjua mungu kuliko anavyojijua yeye mwenyewe
Mi ht yule kaka msanii anajiita ommy amejichubua ckuiz,, Mmh, nna shaka nae kwakweli, lisemwalo lipoKuna mkuu mmoja wa jiji la maraha nahisi ni shoga