Ongezeko la V8 mtaani na bado watu wanaamini masikini ni wengi Tanzania?

Ongezeko la V8 mtaani na bado watu wanaamini masikini ni wengi Tanzania?

YE67NBE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2015
Posts
15,155
Reaction score
36,337
Wakuu za sasa hivi hapo,

Ni siku nyingine tena kutoka kwa bwana nikasema ngoja niwasabahi na kutoa baadhi ya mawazo niliyonayo.

Kuhusu msemo wa Tanzania masikini ni wengi, personally napingana na huu msemo kabisa. Maana huwezi sema masikini ni wengi wakati haya ma V8 yamejaa barabarani kama uchafu na sio plate number za serikali bali ni za watu binafsi.

Na hapo V8 moja ni approximately 500M net, hiyo ni moja na kuna watu wanaaigiza mpaka 5 huko inagonga 2.5B tena sio mmoja ni thousands of people. Hapo bado ma G-Wagon yanayonunuliwa pia.

Come on brother, Tanzania matajiri kibao, ukienda sehemu kama za Arusha huko ndani ndani zimo, ukijaa Dar zimo, tena sehemu za hovyo tu. Kama Mbagala huko ndichi ndichi kambi ya fisi zinapishana tu halafu mtu aseme Tanzania watu wengi ni masikini? No way, siamini kwa kweli!

Hiyo ni hoja/kauli ya kujifurahisha ili ujiliwaze kuwa idadi ya masikini ni wengi, ila hizo data hazipo practical kabisa.

#Nawasilisha#

😄
download (3).jpeg
download (4).jpeg
images (7).jpeg
 
Wakuu za sasa hivi hapo,

Ni siku nyingine tena kutoka kwa bwana nikasema ngoja niwasabahi na kutoa baadhi ya mawazo niliyonayo.

Kuhusu msemo wa Tanzania masikini ni wengi, personally napingana na huu msemo kabisa. Maana huwezi sema masikini ni wengi wakati haya ma V8 yamejaa barabarani kama uchafu na sio plate number za serikali bali ni za watu binafsi.

Na hapo V8 moja ni approximately 500M net, hiyo ni moja na kuna watu wanaaigiza mpaka 5 huko inagonga 2.5B tena sio mmoja ni thousands of people. Hapo bado ma G-Wagon yanayonunuliwa pia.

Come on brother, Tanzania matajiri kibao, ukienda sehemu kama za Arusha huko ndani ndani zimo, ukijaa Dar zimo, tena sehemu za hovyo tu. Kama Mbagala huko ndichi ndichi kambi ya fisi zinapishana tu halafu mtu aseme Tanzania watu wengi ni masikini? No way, siamini kwa kweli!

Hiyo ni hoja/kauli ya kujifurahisha ili ujiliwaze kuwa idadi ya masikini ni wengi, ila hizo data hazipo practical kabisa.

#Nawasilisha#

😄
View attachment 2611554View attachment 2611555View attachment 2611556
Maskini unaweza kujikuta uko peke yako unajifariji..

Umaskini sio sifa
 
Wakuu za sasa hivi hapo,

Ni siku nyingine tena kutoka kwa bwana nikasema ngoja niwasabahi na kutoa baadhi ya mawazo niliyonayo.

Kuhusu msemo wa Tanzania masikini ni wengi, personally napingana na huu msemo kabisa. Maana huwezi sema masikini ni wengi wakati haya ma V8 yamejaa barabarani kama uchafu na sio plate number za serikali bali ni za watu binafsi.

Na hapo V8 moja ni approximately 500M net, hiyo ni moja na kuna watu wanaaigiza mpaka 5 huko inagonga 2.5B tena sio mmoja ni thousands of people. Hapo bado ma G-Wagon yanayonunuliwa pia.

Come on brother, Tanzania matajiri kibao, ukienda sehemu kama za Arusha huko ndani ndani zimo, ukijaa Dar zimo, tena sehemu za hovyo tu. Kama Mbagala huko ndichi ndichi kambi ya fisi zinapishana tu halafu mtu aseme Tanzania watu wengi ni masikini? No way, siamini kwa kweli!

Hiyo ni hoja/kauli ya kujifurahisha ili ujiliwaze kuwa idadi ya masikini ni wengi, ila hizo data hazipo practical kabisa.

#Nawasilisha#

😄
View attachment 2611554View attachment 2611555View attachment 2611556
Sikuhizi kupata gpa kubwa sio mchongo we piga zako 2 plain. Afu pesa mingi
 
Wakuu za sasa hivi hapo,

Ni siku nyingine tena kutoka kwa bwana nikasema ngoja niwasabahi na kutoa baadhi ya mawazo niliyonayo.

Kuhusu msemo wa Tanzania masikini ni wengi, personally napingana na huu msemo kabisa. Maana huwezi sema masikini ni wengi wakati haya ma V8 yamejaa barabarani kama uchafu na sio plate number za serikali bali ni za watu binafsi.

Na hapo V8 moja ni approximately 500M net, hiyo ni moja na kuna watu wanaaigiza mpaka 5 huko inagonga 2.5B tena sio mmoja ni thousands of people. Hapo bado ma G-Wagon yanayonunuliwa pia.

Come on brother, Tanzania matajiri kibao, ukienda sehemu kama za Arusha huko ndani ndani zimo, ukijaa Dar zimo, tena sehemu za hovyo tu. Kama Mbagala huko ndichi ndichi kambi ya fisi zinapishana tu halafu mtu aseme Tanzania watu wengi ni masikini? No way, siamini kwa kweli!

Hiyo ni hoja/kauli ya kujifurahisha ili ujiliwaze kuwa idadi ya masikini ni wengi, ila hizo data hazipo practical kabisa.

#Nawasilisha#

[emoji1]
View attachment 2611554View attachment 2611555View attachment 2611556
Ukikaa barabarani kushangaa magari lazima uone watanzania wengi matajiri
 
Mleta mada ni mtu hovyo mno! Hizo gari mbona hazina namba za Tanzania! Nadhani huu ni wehu kupindukia!
 
Ngoja vipanga wa dision 1 ya 7 au 8 na first class gpa ya 5 waje. Watakunyonya macho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Msiwadis, hao ndio wanaofundisha watoto wenu, hao ndio wataalam wa afya wanaowahudumia huko mahospitalini, hao ndio wanadeal na teknolojia hadi kukuwezesha wewe kuandika hapa wamejaa huko makampuni ya simu, tcra na viwandani, hao ndio mapilot wanaorusha ndege mnazotumia kwenda kuvinjari China na Dubai, hao ndio Mainjinia wanaojenga barabara, madaraja na maghorofa yenu huko mjini, hso ndio wanaohakiki ubora wa vyakula unavyokula huko viwandani n.k

Tunaishi kwa kutegemeana, heshimu nafasi ya kila mmoja.
 
Mleta mada ni mtu hovyo mno! Hizo gari mbona hazina namba za Tanzania! Nadhani huu ni wehu kupindukia!
ana akili zinazomtosha yeye tu, Yaani kisa kaona matajiri (wachache) wana ma vx ndio anasema watz wana hela. Wengi wetu jinsi ya kuumaliza mwezi ni ishu ama inapotokea dharula mfano ugonjwa ni ishu kupambana nayo. Atakuwa below 25 huyu
 
Back
Top Bottom