Ongezeko la V8 mtaani na bado watu wanaamini masikini ni wengi Tanzania?

Ongezeko la V8 mtaani na bado watu wanaamini masikini ni wengi Tanzania?

ana akili zinazomtosha yeye tu, Yaani kisa kaona matajiri (wachache) wana ma vx ndio anasema watz wana hela. Wengi wetu jinsi ya kuumaliza mwezi ni ishu ama inapotokea dharula mfano ugonjwa ni ishu kupambana nayo. Atakuwa below 25 huyu
Sawa
 
Msiwadis, hao ndio wanaofundisha watoto wenu, hao ndio wataalam wa afya wanaowahudumia huko mahospitalini, hao ndio wanadeal na teknolojia hadi kukuwezesha wewe kuandika hapa wamejaa huko makampuni ya simu, tcra na viwandani, hao ndio mapilot wanaorusha ndege mnazotumia kwenda kuvinjari China na Dubai, hao ndio Mainjinia wanaojenga barabara, madaraja na maghorofa yenu huko mjini, hso ndio wanaohakiki ubora wa vyakula unavyokula huko viwandani n.k

Tunaishi kwa kutegemeana, heshimu nafasi ya kila mmoja.
Umesikika mkuu. Nadhani wewe ni kipanga wa miaka ileeee!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msiwadis, hao ndio wanaofundisha watoto wenu, hao ndio wataalam wa afya wanaowahudumia huko mahospitalini, hao ndio wanadeal na teknolojia hadi kukuwezesha wewe kuandika hapa wamejaa huko makampuni ya simu, tcra na viwandani, hao ndio mapilot wanaorusha ndege mnazotumia kwenda kuvinjari China na Dubai, hao ndio Mainjinia wanaojenga barabara, madaraja na maghorofa yenu huko mjini, hso ndio wanaohakiki ubora wa vyakula unavyokula huko viwandani n.k

Tunaishi kwa kutegemeana, heshimu nafasi ya kila mmoja.
Wapuuzi hao wanaokashifu waliosoma sana, au ndio hao sizitaki mbichi hizi.
 
Aisee aisee aisee Kuna V8 namba E za kutosha aisee watu wanachuma wapi jamani!??!daa
 
Wakuu za sasa hivi hapo,

Ni siku nyingine tena kutoka kwa bwana nikasema ngoja niwasabahi na kutoa baadhi ya mawazo niliyonayo.

Kuhusu msemo wa Tanzania masikini ni wengi, personally napingana na huu msemo kabisa. Maana huwezi sema masikini ni wengi wakati haya ma V8 yamejaa barabarani kama uchafu na sio plate number za serikali bali ni za watu binafsi.

Na hapo V8 moja ni approximately 500M net, hiyo ni moja na kuna watu wanaaigiza mpaka 5 huko inagonga 2.5B tena sio mmoja ni thousands of people. Hapo bado ma G-Wagon yanayonunuliwa pia.

Come on brother, Tanzania matajiri kibao, ukienda sehemu kama za Arusha huko ndani ndani zimo, ukijaa Dar zimo, tena sehemu za hovyo tu. Kama Mbagala huko ndichi ndichi kambi ya fisi zinapishana tu halafu mtu aseme Tanzania watu wengi ni masikini? No way, siamini kwa kweli!

Hiyo ni hoja/kauli ya kujifurahisha ili ujiliwaze kuwa idadi ya masikini ni wengi, ila hizo data hazipo practical kabisa.

#Nawasilisha#

😄
View attachment 2611554View attachment 2611555View attachment 2611556
Baba yako analo
 
Wakuu za sasa hivi hapo,

Ni siku nyingine tena kutoka kwa bwana nikasema ngoja niwasabahi na kutoa baadhi ya mawazo niliyonayo.

Kuhusu msemo wa Tanzania masikini ni wengi, personally napingana na huu msemo kabisa. Maana huwezi sema masikini ni wengi wakati haya ma V8 yamejaa barabarani kama uchafu na sio plate number za serikali bali ni za watu binafsi.

Na hapo V8 moja ni approximately 500M net, hiyo ni moja na kuna watu wanaaigiza mpaka 5 huko inagonga 2.5B tena sio mmoja ni thousands of people. Hapo bado ma G-Wagon yanayonunuliwa pia.

Come on brother, Tanzania matajiri kibao, ukienda sehemu kama za Arusha huko ndani ndani zimo, ukijaa Dar zimo, tena sehemu za hovyo tu. Kama Mbagala huko ndichi ndichi kambi ya fisi zinapishana tu halafu mtu aseme Tanzania watu wengi ni masikini? No way, siamini kwa kweli!

Hiyo ni hoja/kauli ya kujifurahisha ili ujiliwaze kuwa idadi ya masikini ni wengi, ila hizo data hazipo practical kabisa.

#Nawasilisha#

[emoji1]
View attachment 2611554View attachment 2611555View attachment 2611556
Hauna exposure,kama unafikiri kuona izo v8 kadhaa ndio kipimo cha utajiri basi unamatatizo

Angalia nyumba za watanzania wa kawaida wengi zinafananaje...nyumba anayoishi mtu ndio inatoa tafsiri sahihi ya uchumi wake...

Watu bado wanaishi maisha duni sana kwa wastani...nyumba mbovu mbovu zimejaa apo Dar kila kona, magari mengi ni yale 2nd handed ya miaka 20 nyuma ndio yamejaa barabarani...

Uwepo wa v8 ama magari ya thamani mpya sio kitu cha ajabu kaani bado kuna wachache ambao wanauchumi imara katikati ya makabwela

Angalia daladala zinavyojaza watu watu hadi wanapumulia shift

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Kwan
Wakuu za sasa hivi hapo,

Ni siku nyingine tena kutoka kwa bwana nikasema ngoja niwasabahi na kutoa baadhi ya mawazo niliyonayo.

Kuhusu msemo wa Tanzania masikini ni wengi, personally napingana na huu msemo kabisa. Maana huwezi sema masikini ni wengi wakati haya ma V8 yamejaa barabarani kama uchafu na sio plate number za serikali bali ni za watu binafsi.

Na hapo V8 moja ni approximately 500M net, hiyo ni moja na kuna watu wanaaigiza mpaka 5 huko inagonga 2.5B tena sio mmoja ni thousands of people. Hapo bado ma G-Wagon yanayonunuliwa pia.

Come on brother, Tanzania matajiri kibao, ukienda sehemu kama za Arusha huko ndani ndani zimo, ukijaa Dar zimo, tena sehemu za hovyo tu. Kama Mbagala huko ndichi ndichi kambi ya fisi zinapishana tu halafu mtu aseme Tanzania watu wengi ni masikini? No way, siamini kwa kweli!

Hiyo ni hoja/kauli ya kujifurahisha ili ujiliwaze kuwa idadi ya masikini ni wengi, ila hizo data hazipo practical kabisa.

#Nawasilisha#

😄
View attachment 2611554View attachment 2611555View attachment 2611556
Kwani tangu lini gari likawa utajiri
 
Wakuu za sasa hivi hapo,

Ni siku nyingine tena kutoka kwa bwana nikasema ngoja niwasabahi na kutoa baadhi ya mawazo niliyonayo.

Kuhusu msemo wa Tanzania masikini ni wengi, personally napingana na huu msemo kabisa. Maana huwezi sema masikini ni wengi wakati haya ma V8 yamejaa barabarani kama uchafu na sio plate number za serikali bali ni za watu binafsi.

Na hapo V8 moja ni approximately 500M net, hiyo ni moja na kuna watu wanaaigiza mpaka 5 huko inagonga 2.5B tena sio mmoja ni thousands of people. Hapo bado ma G-Wagon yanayonunuliwa pia.

Come on brother, Tanzania matajiri kibao, ukienda sehemu kama za Arusha huko ndani ndani zimo, ukijaa Dar zimo, tena sehemu za hovyo tu. Kama Mbagala huko ndichi ndichi kambi ya fisi zinapishana tu halafu mtu aseme Tanzania watu wengi ni masikini? No way, siamini kwa kweli!

Hiyo ni hoja/kauli ya kujifurahisha ili ujiliwaze kuwa idadi ya masikini ni wengi, ila hizo data hazipo practical kabisa.

#Nawasilisha#

😄
View attachment 2611554View attachment 2611555View attachment 2611556
sembe limerudi mzee baba!!
 
Back
Top Bottom