Ongezeko la vijana wadogo walinzi, hii inaleta picha gani kwenye jamii?

Ongezeko la vijana wadogo walinzi, hii inaleta picha gani kwenye jamii?

Habari wakuu.

Nimejikuta natafakari sana, kwenye nchi hii tajiri kama wanavotuaminisha viongozi wetu na maendeleo ya technology lakini Sikh hizi kunaongezeko la vijana wadogo wanaofanya kazi ya ulinzi.

Wengi wao ni kuuanzia miaka 22 wasichana na wavulana ,wengine ni wahitimu Wa form four, six na chuo kikuu, aisee wamesambaa kila kona ,makampuni mbalimbali yamewaajiri, kama suma jkt ndio balaaa.

Hii kazi ilikuwa ikifanywa na watu wazima kidogo (wazee) kuanzia miaka 35 kwa miaka hiyo, na ni kazi ambayo ilikuwa inaonekana unafanya kama, umepambana kwenye mambo mengine yote umeshindwa, so unaamua kufanya hii kazi kama kunyoosha mikono juu maisha yamekuchapa.

Lakini kwa sasa hii kazi ni kama starting point ya maisha.

Hii nchi ni tajiri sana.


Uzi tayari
Serikali imetoa mafunzo ya jeshi kwa vijana wengi bila kutoa ajira ndiyo maana wameangukia huko kwenye ulinzi kunakohusiana na taaluma yao.

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Afuu vijana walinzi hawa wa suma. Jkt ni jeuri sana.mmoja alinikatalia nisiingie hospital nimuage mama yangu alilazwa ili niweze kusafiri na ilikuwa lazima nisafir niliongea nae kwa mapana sana akagoma .baada ya kuondoka siku mbili mbele mama angu alifariki .

Ww Dada mlinzi hapo hospital uliyefanya nisipate maneno ya mwisho ya mamangu sintokusahau .
Pole Sana mkuu sijui wamelishwa sumu gani Hawa madogo wa Suma...... Wanajiona makomando sana
 
Habari wakuu.

Nimejikuta natafakari sana, kwenye nchi hii tajiri kama wanavotuaminisha viongozi wetu na maendeleo ya technology lakini Sikh hizi kunaongezeko la vijana wadogo wanaofanya kazi ya ulinzi.

Wengi wao ni kuuanzia miaka 22 wasichana na wavulana ,wengine ni wahitimu Wa form four, six na chuo kikuu, aisee wamesambaa kila kona ,makampuni mbalimbali yamewaajiri, kama suma jkt ndio balaaa.

Hii kazi ilikuwa ikifanywa na watu wazima kidogo (wazee) kuanzia miaka 35 kwa miaka hiyo, na ni kazi ambayo ilikuwa inaonekana unafanya kama, umepambana kwenye mambo mengine yote umeshindwa, so unaamua kufanya hii kazi kama kunyoosha mikono juu maisha yamekuchapa.

Lakini kwa sasa hii kazi ni kama starting point ya maisha.

Hii nchi ni tajiri sana.


Uzi tayari
Hiyo nayo ni kazi kama kazi nyingine acheni dharau.kama unadhani ni kazi ya chini nenda kajaribu kuomba uone kama utapata.
 
Hiyo nayo ni kazi kama kazi nyingine acheni dharau.kama unadhani ni kazi ya chini nenda kajaribu kuomba uone kama utapata.
Hio kazi ya ulinzi yeyote anaweza pata mkuu ..

Haihitaji mambo mengi
 
Watu wanawalaumu hawa Suma kua jeuri.

Ni jeuri kweli.

Ila mimi nishaingia hospitali nimevaa kaptura. Nishaenda ona mgonjwa muda umeisha.

Unajua namna unayoanzisha mazungumzo na mtu inaweza amua kama utapata unachotaka ama la, nataka mjue kwamba wafanyakazi wanakutwa na mengi atatoka nyumbani kanuna atakuta hapa miyeyusho kibao lakini wewe kumsalimia kwa dhati na kumuambia "Pole kwa kazi dada/ kaka/ mkuu" kisha ukaanza na "Samahani ..." Inaweza ikakubeba maeneo mengi.

Atakuambia umekosea ni unakubali lakini unaomba chansi ya kua exception, it works.
 
waliwakamata masela chimbo wakila msuba.......wakakomalia........wanajua kilichowapata.......wanasahau wao ni MABAWABU......wapo pale TCRA........wasumbufu
 
Watu wanawalaumu hawa Suma kua jeuri.

Ni jeuri kweli.

Ila mimi nishaingia hospitali nimevaa kaptura. Nishaenda ona mgonjwa muda umeisha.

Unajua namna unayoanzisha mazungumzo na mtu inaweza amua kama utapata unachotaka ama la, nataka mjue kwamba wafanyakazi wanakutwa na mengi atatoka nyumbani kanuna atakuta hapa miyeyusho kibao lakini wewe kumsalimia kwa dhati na kumuambia "Pole kwa kazi dada/ kaka/ mkuu" kisha ukaanza na "Samahani ..." Inaweza ikakubeba maeneo mengi.

Atakuambia umekosea ni unakubali lakini unaomba chansi ya kua exception, it works.
yesss.....wanataka - uwa - respect.......yaani watakupeleka uendako....
 
Ila wengi wao wamejaa dharau na matumizi ya nguvu pasipohusika
Msiwahukumu wengi wao wana stress za maisha.
Mtu yuko Suma jkt kasota jkt two years na hakupata ajira, ana elimu nzuri tu mwisho wa siku anakuja kulipwa laki 2 kama gross salary na take home 180K lazima awe na stress.
Wahurumieni ndugu zetu life linachanganya sana
 
Habari wakuu.

Nimejikuta natafakari sana, kwenye nchi hii tajiri kama wanavotuaminisha viongozi wetu na maendeleo ya technology lakini Sikh hizi kunaongezeko la vijana wadogo wanaofanya kazi ya ulinzi.

Wengi wao ni kuuanzia miaka 22 wasichana na wavulana, wengine ni wahitimu Wa form four, six na chuo kikuu, aisee wamesambaa kila kona ,makampuni mbalimbali yamewaajiri, kama suma JKT ndio balaaa.

Hii kazi ilikuwa ikifanywa na watu wazima kidogo (wazee) kuanzia miaka 35 kwa miaka hiyo, na ni kazi ambayo ilikuwa inaonekana unafanya kama, umepambana kwenye mambo mengine yote umeshindwa, so unaamua kufanya hii kazi kama kunyoosha mikono juu maisha yamekuchapa.

Lakini kwa sasa hii kazi ni kama starting point ya maisha.

Hii nchi ni tajiri sana.

Uzi tayari
Jiwe impact
 
Habari wakuu.

Nimejikuta natafakari sana, kwenye nchi hii tajiri kama wanavotuaminisha viongozi wetu na maendeleo ya technology lakini Sikh hizi kunaongezeko la vijana wadogo wanaofanya kazi ya ulinzi.

Wengi wao ni kuuanzia miaka 22 wasichana na wavulana, wengine ni wahitimu Wa form four, six na chuo kikuu, aisee wamesambaa kila kona ,makampuni mbalimbali yamewaajiri, kama suma JKT ndio balaaa.

Hii kazi ilikuwa ikifanywa na watu wazima kidogo (wazee) kuanzia miaka 35 kwa miaka hiyo, na ni kazi ambayo ilikuwa inaonekana unafanya kama, umepambana kwenye mambo mengine yote umeshindwa, so unaamua kufanya hii kazi kama kunyoosha mikono juu maisha yamekuchapa.

Lakini kwa sasa hii kazi ni kama starting point ya maisha.

Hii nchi ni tajiri sana.

Uzi tayari
Inathibitisha kauli ya Spika vijana hawaaminiki
 
Back
Top Bottom