Ongezeko la vijana wadogo walinzi, hii inaleta picha gani kwenye jamii?

Ongezeko la vijana wadogo walinzi, hii inaleta picha gani kwenye jamii?

Asee kuna kamoja kabichi kabisa kameajiriwa hapa kazini kwetu, nimekatafuna japo kuwa klkuw ktk hal mbaya ikabid nitumie mbinu nyingine kukatafuna, asee ni kabich kabsa na kanafanya kaz ngumu sana . Baada ya siku kazaa naona kananikwepa nakameanza kupendeza bila shaka kuna mwenzangu kampandia dau kubwa
 
Asee kuna kamoja kabichi kabisa kameajiriwa hapa kazini kwetu, nimekatafuna japo kuwa klkuw ktk hal mbaya ikabid nitumie mbinu nyingine kukatafuna, asee ni kabich kabsa na kanafanya kaz ngumu sana . Baada ya siku kazaa naona kananikwepa nakameanza kupendeza bila shaka kuna mwenzangu kampandia dau kubwa
[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu wamejaa ,na wanakesha malindoni hawa watoto ..

Katoto kazuri kabisa ,sura ,shape ila kamevaa gwanda la suma jkt
 
Nasikia waliojenga ukuta nao wamerudishwa home wamegoma ...wanataka ajira wana malengo ya kuandamana kwenda kumuona mama Samia ...nasikia jiwe aliwahaidi ajira...Kaz kweli kweli
 
Watu wanawalaumu hawa Suma kua jeuri.

Ni jeuri kweli.

Ila mimi nishaingia hospitali nimevaa kaptura. Nishaenda ona mgonjwa muda umeisha.

Unajua namna unayoanzisha mazungumzo na mtu inaweza amua kama utapata unachotaka ama la, nataka mjue kwamba wafanyakazi wanakutwa na mengi atatoka nyumbani kanuna atakuta hapa miyeyusho kibao lakini wewe kumsalimia kwa dhati na kumuambia "Pole kwa kazi dada/ kaka/ mkuu" kisha ukaanza na "Samahani ..." Inaweza ikakubeba maeneo mengi.

Atakuambia umekosea ni unakubali lakini unaomba chansi ya kua exception, it works.
Umemaliza na uzi ufungwe!

Mimi nikienda sehemu kama sijui taratibu watu wangu wa kuulizia utaratibu huwa ni walinzi wale wenye sare, hata kama kuna watu wengine lakini lazima nimfuate mlinzi kumuulizia!

Na hapo hata wao huwa wanajisikia kuheshimiwa sana na utakuta anakuelekeza kwa utaratibu tena anaweza kukuoneshea na mtu wa kukukampan unakokwenda!

Tatizo la wabongo ni ujuaji, wewe unaenda sehemu unambiwa hapa utaratibu ni huu na huu, wewe kwa ubishi kwakuwa umepak ki ist chako nje basi unaanza kuleta ubishi na kutaka kuleta utaratibu wako. Lazima ubutuliwe.
 
Habari wakuu.

Nimejikuta natafakari sana, kwenye nchi hii tajiri kama wanavotuaminisha viongozi wetu na maendeleo ya technology lakini Sikh hizi kunaongezeko la vijana wadogo wanaofanya kazi ya ulinzi.

Wengi wao ni kuuanzia miaka 22 wasichana na wavulana, wengine ni wahitimu Wa form four, six na chuo kikuu, aisee wamesambaa kila kona ,makampuni mbalimbali yamewaajiri, kama suma JKT ndio balaaa.

Hii kazi ilikuwa ikifanywa na watu wazima kidogo (wazee) kuanzia miaka 35 kwa miaka hiyo, na ni kazi ambayo ilikuwa inaonekana unafanya kama, umepambana kwenye mambo mengine yote umeshindwa, so unaamua kufanya hii kazi kama kunyoosha mikono juu maisha yamekuchapa.

Lakini kwa sasa hii kazi ni kama starting point ya maisha.

Hii nchi ni tajiri sana.

Uzi tayari
Alafu wana Stress za kufa mtu...mfano vijana wa Suma JKT karibu 99% wako stressed. Ukitaka kuamini basi itokee mmepishana kauli kidogo, yaani ni balaa!
 
Umemaliza na uzi ufungwe!

Mimi nikienda sehemu kama sijui taratibu watu wangu wa kuulizia utaratibu huwa ni walinzi wale wenye sare, hata kama kuna watu wengine lakini lazima nimfuate mlinzi kumuulizia!

Na hapo hata wao huwa wanajisikia kuheshimiwa sana na utakuta anakuelekeza kwa utaratibu tena anaweza kukuoneshea na mtu wa kukukampan unakokwenda!

Tatizo la wabongo ni ujuaji, wewe unaenda sehemu unambiwa hapa utaratibu ni huu na huu, wewe kwa ubishi kwakuwa umepak ki ist chako nje basi unaanza kuleta ubishi na kutaka kuleta utaratibu wako. Lazima ubutuliwe.
Iko hivyo.

Nilienda Duce kwaajili ya intavyu. Mi nilikua naingia baadaye ila niliwahi mno, nikafika nikanyoosha kwa mlinzi, suma, nikapiga naye stori kadhaa nikamuuliza locationa akanielekeza. Akaniuliza mbona wapo kwenye chumba cha usaili tayari nikamtajia muda wangu.

Basi nikamuacha pale nikaenda kwenye vimbweta.

Muda wa intavyu ukafika, yule mlinzi akanifuata kuniambia muda tayari na akaoffer kunipeleka jengo husika. Alivyonifikisha tukaagana akanitakia heri.

Humo kwenye usaili kuna ishu zikatokea sikuruhusiwa kufanya usaili nikatoka nje nirudi nyumbani nikamkuta jamaa akaniuliza mbona mapema nikamuelezea kilichotokea akanipa pole tukaagana.

Simply kwasababu nilimheshimu.
 
Habari wakuu.

Nimejikuta natafakari sana, kwenye nchi hii tajiri kama wanavotuaminisha viongozi wetu na maendeleo ya technology lakini Sikh hizi kunaongezeko la vijana wadogo wanaofanya kazi ya ulinzi.

Wengi wao ni kuuanzia miaka 22 wasichana na wavulana, wengine ni wahitimu Wa form four, six na chuo kikuu, aisee wamesambaa kila kona ,makampuni mbalimbali yamewaajiri, kama suma JKT ndio balaaa.

Hii kazi ilikuwa ikifanywa na watu wazima kidogo (wazee) kuanzia miaka 35 kwa miaka hiyo, na ni kazi ambayo ilikuwa inaonekana unafanya kama, umepambana kwenye mambo mengine yote umeshindwa, so unaamua kufanya hii kazi kama kunyoosha mikono juu maisha yamekuchapa.

Lakini kwa sasa hii kazi ni kama starting point ya maisha.

Hii nchi ni tajiri sana.

Uzi tayari
Miaka 35 ni mzee?
 
Ni harakati za utafutaji hata mimi nilishapitia ulinzi one Year hivi na jamaa yangu ambae wote tupo mbali tunalindwa nasi.
Kupambana Sana ktk maisha kunakupunguza nyodo siku ukipata
 
Hata sekta yenyewe ya ulinzi imekuwa revolutonised sana.

Huwezi kumchukua mzee akalinde Five star hotel, Bandari au kusoma CCTV cameras

Inahitajika maboresho tu, ni sehemu nzuri na inaongeza ajira.
Mkuu hapa unaongea na watu wenye mawazo mgando tu.
Wenye fikra ajira lazima uajiriwe na serikali au sekata flani tu au na makampuni makubwa kwenye nafasi za kukaa ofisini.
Mlinzi (bawabu) wa taasisi za UN ana maisha mazuri kuliko afisa wa bank ambaye anakaa pale dirishani kama 'bank teller'.
Niliona tangazo la kazi hizo taasisi wanataka aliyepitia mafunzo kama hao wanaowasema na pia wawe na uzoefu. Sasa bila kufanya kazi kama hizo atapata wapi uzoefu?
 
"Starting point ya maisha" hii ni bora kuliko wanaoifanya baada kuona juhudi zao zimegonga mwamba maeneo mengine.
 
Kuna maafisa idara nyeti za ulinzi na usalama wamepata kazi toka kwenye ulinzi wa mageti ya manispaa au hospitali kama Mwanayamala.
Walionekana huko, wangekaa nyumbani na dharau ya kazi angewaona nani?
 
Back
Top Bottom