Ongezeko la vijana wadogo walinzi, hii inaleta picha gani kwenye jamii?

Ongezeko la vijana wadogo walinzi, hii inaleta picha gani kwenye jamii?

Habari wakuu.

Nimejikuta natafakari sana, kwenye nchi hii tajiri kama wanavotuaminisha viongozi wetu na maendeleo ya technology lakini Sikh hizi kunaongezeko la vijana wadogo wanaofanya kazi ya ulinzi.

Wengi wao ni kuuanzia miaka 22 wasichana na wavulana, wengine ni wahitimu Wa form four, six na chuo kikuu, aisee wamesambaa kila kona ,makampuni mbalimbali yamewaajiri, kama suma JKT ndio balaaa.

Hii kazi ilikuwa ikifanywa na watu wazima kidogo (wazee) kuanzia miaka 35 kwa miaka hiyo, na ni kazi ambayo ilikuwa inaonekana unafanya kama, umepambana kwenye mambo mengine yote umeshindwa, so unaamua kufanya hii kazi kama kunyoosha mikono juu maisha yamekuchapa.

Lakini kwa sasa hii kazi ni kama starting point ya maisha.

Hii nchi ni tajiri sana.

Uzi tayari
@Pain killer Ajira zimekua ngumu ndugu yangu,Tukijiahidi hata kufungua vigenge uswahilini tunaambiwa tulipe kodi za kizalendo.

Kwa sisi ambao hatuna hata hayo 'makoneksheni' tukikosa ajira jeshini ndo tunajaribu kwenye ulinzi.

Kiukweli maisha yamekua magumu mno,kijana ambaye amepata pakujishikiza ajishikize kweli yaani.[emoji3064]
 
Lazima uwe umefanya kazi ya ulinzi Kwa muda fulani make Kule unafundishwa kuwa kiongozi na mtaalam WA ulinzi Kwa maana ya cooperate security.

Asante sana mkuu
 
Habari wakuu.

Nimejikuta natafakari sana, kwenye nchi hii tajiri kama wanavotuaminisha viongozi wetu na maendeleo ya technology lakini Sikh hizi kunaongezeko la vijana wadogo wanaofanya kazi ya ulinzi.

Wengi wao ni kuuanzia miaka 22 wasichana na wavulana, wengine ni wahitimu Wa form four, six na chuo kikuu, aisee wamesambaa kila kona ,makampuni mbalimbali yamewaajiri, kama suma JKT ndio balaaa.

Hii kazi ilikuwa ikifanywa na watu wazima kidogo (wazee) kuanzia miaka 35 kwa miaka hiyo, na ni kazi ambayo ilikuwa inaonekana unafanya kama, umepambana kwenye mambo mengine yote umeshindwa, so unaamua kufanya hii kazi kama kunyoosha mikono juu maisha yamekuchapa.

Lakini kwa sasa hii kazi ni kama starting point ya maisha.

Hii nchi ni tajiri sana.

Uzi tayari
Huko ndy kuzuri kwa vijana.

Tajiri akikaa vibaya wanakutafutia kwenye magazeti ..
 
Habari wakuu.

Nimejikuta natafakari sana, kwenye nchi hii tajiri kama wanavotuaminisha viongozi wetu na maendeleo ya technology lakini Sikh hizi kunaongezeko la vijana wadogo wanaofanya kazi ya ulinzi.

Wengi wao ni kuuanzia miaka 22 wasichana na wavulana, wengine ni wahitimu Wa form four, six na chuo kikuu, aisee wamesambaa kila kona ,makampuni mbalimbali yamewaajiri, kama suma JKT ndio balaaa.

Hii kazi ilikuwa ikifanywa na watu wazima kidogo (wazee) kuanzia miaka 35 kwa miaka hiyo, na ni kazi ambayo ilikuwa inaonekana unafanya kama, umepambana kwenye mambo mengine yote umeshindwa, so unaamua kufanya hii kazi kama kunyoosha mikono juu maisha yamekuchapa.

Lakini kwa sasa hii kazi ni kama starting point ya maisha.

Hii nchi ni tajiri sana.

Uzi tayari
Maisha yamebadilika, vijana wameanza kufanya kazi za wastaafu, means kijana ana mke muuza duka Kariakoo na yeye ni mlinzi buguruni, : Mama akienda kazini baba ndio anatoka lindo, hawapati muda wa kufanaya mapenzi na ndio mwanzo wa kila mmoja kuchepuka.
 
Huko ndy kuzuri kwa vijana.

Tajiri akikaa vibaya wanakutafutia kwenye magazeti ..
Ile Kazi basi tu sababu ya kusogezea life lkn Hakuna aitakaye maana unachezea vitu 3.kifo,ulemavu,jela vyoote unatakiwa uviruke viunzi hivi Miaka 20 iliyopita nilipona hivyo vitatu.Tuliiba kwa kweli mafuta kwenye matenki lita 100 dizeli kurasini tukazalumiwa na tukadakwa tutakiri Mungu tu alikuwa upande wetu wenye kampuni wakawasiliana na kampuni yetu ya ulinzi.Ni bahati tulifukuzwa Kazi tungechezea miaka 7 jela.
Kifo,kifungo, ulemavu vyote vinamsubiri mlinzi.
 
Tubadilike jamani...mambo ya kazi hii si ya kisomi yamepitwa na wakati, cha muhimu unapiga mpunga kihalali...nafurahi sana sometimes nikiingia bar au kwa mama nntilie unakuta pisi inayokuhudumia ni kali halafu imeenda shule...mbona tukienda ulaya tunafanya kazi hizo hizo ila tukizifanyia bongo inakuwa nongwa?
 
Ile Kazi basi tu sababu ya kusogezea life lkn Hakuna aitakaye maana unachezea vitu 3.kifo,ulemavu,jela vyoote unatakiwa uviruke viunzi hivi Miaka 20 iliyopita nilipona hivyo vitatu.Tuliiba kwa kweli mafuta kwenye matenki lita 100 dizeli kurasini tukazalumiwa na tukadakwa tutakiri Mungu tu alikuwa upande wetu wenye kampuni wakawasiliana na kampuni yetu ya ulinzi.Ni bahati tulifukuzwa Kazi tungechezea miaka 7 jela.
Kifo,kifungo, ulemavu vyote vinamsubiri mlinzi.
Kazi ya safi je
 
Wakati naingia chomboni eti jeshi ali ajiri lina andikisha mbn mnatulipa mishahara na posho sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
sijawahi kuipenda hyo kazi ata kidogoo
 
Habari wakuu.

Nimejikuta natafakari sana, kwenye nchi hii tajiri kama wanavotuaminisha viongozi wetu na maendeleo ya technology lakini Sikh hizi kunaongezeko la vijana wadogo wanaofanya kazi ya ulinzi.

Wengi wao ni kuuanzia miaka 22 wasichana na wavulana, wengine ni wahitimu Wa form four, six na chuo kikuu, aisee wamesambaa kila kona ,makampuni mbalimbali yamewaajiri, kama suma JKT ndio balaaa.

Hii kazi ilikuwa ikifanywa na watu wazima kidogo (wazee) kuanzia miaka 35 kwa miaka hiyo, na ni kazi ambayo ilikuwa inaonekana unafanya kama, umepambana kwenye mambo mengine yote umeshindwa, so unaamua kufanya hii kazi kama kunyoosha mikono juu maisha yamekuchapa.

Lakini kwa sasa hii kazi ni kama starting point ya maisha.

Hii nchi ni tajiri sana.

Uzi tayari
Alafu wanajikuta makamanda ngoja waje waingie kwenye 18 zangu hawataamini
 
Habari wakuu.

Nimejikuta natafakari sana, kwenye nchi hii tajiri kama wanavotuaminisha viongozi wetu na maendeleo ya technology lakini Sikh hizi kunaongezeko la vijana wadogo wanaofanya kazi ya ulinzi.

Wengi wao ni kuuanzia miaka 22 wasichana na wavulana, wengine ni wahitimu Wa form four, six na chuo kikuu, aisee wamesambaa kila kona ,makampuni mbalimbali yamewaajiri, kama suma JKT ndio balaaa.

Hii kazi ilikuwa ikifanywa na watu wazima kidogo (wazee) kuanzia miaka 35 kwa miaka hiyo, na ni kazi ambayo ilikuwa inaonekana unafanya kama, umepambana kwenye mambo mengine yote umeshindwa, so unaamua kufanya hii kazi kama kunyoosha mikono juu maisha yamekuchapa.

Lakini kwa sasa hii kazi ni kama starting point ya maisha.

Hii nchi ni tajiri sana.

Uzi tayari
miaka 22 ni mdogo ?
 
Habari wakuu.

Nimejikuta natafakari sana, kwenye nchi hii tajiri kama wanavotuaminisha viongozi wetu na maendeleo ya technology lakini Sikh hizi kunaongezeko la vijana wadogo wanaofanya kazi ya ulinzi.

Wengi wao ni kuuanzia miaka 22 wasichana na wavulana, wengine ni wahitimu Wa form four, six na chuo kikuu, aisee wamesambaa kila kona ,makampuni mbalimbali yamewaajiri, kama suma JKT ndio balaaa.

Hii kazi ilikuwa ikifanywa na watu wazima kidogo (wazee) kuanzia miaka 35 kwa miaka hiyo, na ni kazi ambayo ilikuwa inaonekana unafanya kama, umepambana kwenye mambo mengine yote umeshindwa, so unaamua kufanya hii kazi kama kunyoosha mikono juu maisha yamekuchapa.

Lakini kwa sasa hii kazi ni kama starting point ya maisha.

Hii nchi ni tajiri sana.

Uzi tayari
Ajira hiyo mkuu!
 
Habari wakuu.

Nimejikuta natafakari sana, kwenye nchi hii tajiri kama wanavotuaminisha viongozi wetu na maendeleo ya technology lakini Sikh hizi kunaongezeko la vijana wadogo wanaofanya kazi ya ulinzi.

Wengi wao ni kuuanzia miaka 22 wasichana na wavulana, wengine ni wahitimu Wa form four, six na chuo kikuu, aisee wamesambaa kila kona ,makampuni mbalimbali yamewaajiri, kama suma JKT ndio balaaa.

Hii kazi ilikuwa ikifanywa na watu wazima kidogo (wazee) kuanzia miaka 35 kwa miaka hiyo, na ni kazi ambayo ilikuwa inaonekana unafanya kama, umepambana kwenye mambo mengine yote umeshindwa, so unaamua kufanya hii kazi kama kunyoosha mikono juu maisha yamekuchapa.

Lakini kwa sasa hii kazi ni kama starting point ya maisha.

Hii nchi ni tajiri sana.

Uzi tayari

Inaleta picha kwamba tumeingia uchumi wa kati
 
Back
Top Bottom