Ongezeko la wagonjwa wenye Vimelea vya Helicobacter Pylori nini Shida

Ni Kweli, matumizi ya pilipili yanamsulubu bacteria asizidishe uharibifu tumboni, hiyo Inaitwa, dawa ya moto ni moto.

Mimi niliambiwa dawa hiyo na Mhindi nikapuuza, baadae nikatumia kidogo kidogo, ilisaidia sana.

Bt hatua muhimu ya kwanza ni kuzingatia kula Kwa wakati na kuepuka vyakula vyenye gas kama maharage nk nk

Pia hasira na kutunza visasi, kiufupi stress ni chanzo kikuu Cha madonda.

Pilipili, Kwa kuanzia, usile pilipili kichaa, Utaharibu,

Anza na pilipili zile zenye harufu nzuri zinazopikiwa kwenye mboga.

Unajua kama huna pesa, halafu uwe na madonda yanayokuzuia kutumia maharage ni taabu kubwa.

Mungu atusaidie.
 
Soma pia comment no 40, Sean Paul, ameweka ushuhuda wa mhanga wa madonda aliyetumia pilipili, akatoboa.
 
Hiyo sample ya wagonjwa unaowasemea umeiotoa kwenye vituo Gani vya afya? Halmashaur,wilaya, mkoa ama kituoni kwako?
 
Punguzeni kula denda
 
Punguzeni kula denda
Hili pia tatizo.
Mimi sikuwahi kuwa na H Pylori kwa miaka zaidi ya 32. Nilipoanza mahusiano na mama mtoto wangu nikapata H pylori, katika kutafiti kwangu nikaona kula denda nako kunahusika. Yeye ana madonda yale akichelewa kula tu shida.

Nilivyogundua tu nina shida, nikachange life style. Mama mtoto najizuia sana kumla denda, kama hapa nna week 3 sijakutana naye, hayupo.
Madonda yalipona. Ukiniuliza nilipona na nini hata mimi sijui. I tried several remedies ile ikiisha hii naweka hii na kubadili life style. Sina tena shida.
 
Usishangae wingi wa wachina wanaoingia wanakuja na mbinu za kutupunguza, 100 years to come ninahofu huenda dominant race ikawa chinese arabs na indians
 
Denda watu wanagawiana H Pylori vizuri kabisa.

Pamoja na wazama chumvini.

Vidonda vya tumbo dawa yake kubadili life style tu na mlo unaokula
 

Mbali na msaada wa ku google kuna kitu unachokijua kweli?
 
Labda hiyo dose ya pili ya kwanza iliisha shindwa
 
Rabbon, Asante Mungu akubariki vidonda vya tumbo ni miongoni mwa ugonjwa unaotesa sana ila hautiliwi maanani , Asante kwa ushauri wako mzuri nitaufanyia kazi maana vinatesa mno na kukatisha tamaa ya maisha
 
Mzee niaje naomba unicheki kwa namba hii 0744312003 au nitumie namba yako nkuulize kitu

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Habari Hance.
Nikienda Pharmacy niseme nataka dawa gani.
Nianze kutaja hiyo list ya kwanza pamoja na hizo gram zake?

Yaani tuseme nataka nikanunue mwenyewe dawa nianze kumeza (sina cheti cha Maabara)

Nikienda pharmacy nisemeje, na amount (dozi) iwe ya kiasi gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…