Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
secretarybird upo busy sana na xmas bwashee.....pita huku Kuna elimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia pilipili fresh. Usitumie haya mapilipili yaliopikwa na kuungwa.Mkuu rabbon kwema, nina vidonda vya tumbo pia hivi karibuni Kuna jamaa kanishauri nitumie pilipili hapa napo naona umetoa ushairi wa pilipili, nakumbuka kipindi cha nyuma wakati pia nilipokuwa na vidonda nilipojaribu mara kadhaa kutumia pilipili nilipatwa na kuendesha sana hilo unalionaje? Na pia pilipili zipo za Aina nyingi kwenye matumizi ni pilipili yoyote au ? Maswali ni mengi naomba nifahamishe hilo Asante
Chakula mkuu...only foodKupiga nyungu?
Nyungu tena? Hitler 🤣😅😅Kupiga nyungu?
Nipo mkuu.secretarybird upo busy sana na xmas bwashee.....pita huku Kuna elimu
Hao bacteria walikuwa wanamtesa jamaa yangu, Kila akifika usiku analia kama mtoto mdogo.secretarybird upo busy sana na xmas bwashee.....pita huku Kuna elimu
NitaendaMimi nina connection na Marekani naagiza mara Kwa mara.
Hakuna Mmarekani anaweza kukwambia ana vidonda vya tumbo au kaambiwa asile pilau, dagaa au Maharage, huu ni ujinga upo Bongo/Africa.
Kama upo Dar pale Namanga Best bite kuna clinic inaitwa premier care Kwa Dr Pierre check kwenye pharmacy yao huwezi kukosa hizi anti acid tablets, ukitumia hizo huwezi kupatwa na vidonda vya tumbo na aliyepatwa atumie hizo anti acid atakula vyakula vyote na vinywaji vyote.
Mi nimefakamia maviazi vitamu juzi,hapa nateseka balaaTumia pilipili fresh. Usitumie haya mapilipili yaliopikwa na kuungwa.
Mie pia nasumbuliwa na acid lkn pilipili napiga km kawaida. Sema vitu vichachu km ndimu,limao maembe n.k ndio nikila yananisumbua
Aseeh kumbeHao bacteria walikuwa wanamtesa jamaa yangu, Kila akifika usiku analia kama mtoto mdogo.
Vidonda vya tumbo ni balaa tupu.
Mmhh hivo sivo navyo. Km mihogooMi nimefakamia maviazi vitamu juzi,hapa nateseka balaa
Kabisa mkuuAseeh kumbe
matango yanasaidia,ntanunua kwakweli, nakunywa dawa ile Relcer gellyMmhh hivo sivo navyo. Km mihogoo
Pole sn, tafuna matango
Tumia limao kwa wingi lina Alkaline nyingi ambayo ni anti desease, chungwa ndio achana nalo kabisa lina citric acid hata juice yake achana nayo.Tumia pilipili fresh. Usitumie haya mapilipili yaliopikwa na kuungwa.
Mie pia nasumbuliwa na acid lkn pilipili napiga km kawaida. Sema vitu vichachu km ndimu,limao maembe n.k ndio nikila yananisumbua
Yaani chungwa likilitia tumboni dakika sifuri tu naanza kuipata fresh. Mie machungwa nannulia wtt tu mie sili.Tumia limao kwa wingi lina Alkaline nyingi ambayo ni anti desease, chungwa ndio achana nalo kabisa lina citric acid hata juice yake achana nayo.
Ndimu ni familia ya Lemon, ukikosa limao ndimu fresh tu, ila nakushauri ndimu uwe unanunuwa kwenye masoko makubwa zile ndimu kubwa fungu shilling 3000.Yaani chungwa likilitia tumboni dakika sifuri tu naanza kuipata fresh. Mie machungwa nannulia wtt tu mie sili.
Hayo malimao yanapatikana basi. Mie kwa macho yasijayaona muda mrefu. Sokoni ni mwendo wa ndimu, ukwaju na embe mbichi za mchuzi
Yeah. Ndio nnavyofanyaNdimu ni familia ya Lemon, ukikosa limao ndimu fresh tu, ila nakushauri ndimu uwe unanunuwa kwenye masoko makubwa zile ndimu kubwa fungu shilling 3000.