jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Bora useme hivyo kuliko kusingizia matumbo kuwa yanaleta shida muda wa kuchakata mbususu...mjegejo haujawahi kukwamishwa na tumbo/kitambi.Saw bana sie wenye vibamia hatuwezani na hao wenye matumbo
Sawa bwana wacha sie vibami tukubaliane na hali zetuBora useme hivyo kuliko kusingizia matumbo kuwa yanaleta shida muda wa kuchakata mbususu...mjegejo haujawahi kukwamishwa na tumbo/kitambi.
#MaendeleoHayanaChama
Wengine tunasingizia tunanyonyesha ndo mana tunakula sana[emoji1751][emoji1751]Ukweli ambao hausemwi madem wanakula kishenzi[emoji23][emoji23][emoji23]
Sababu moja ya kiande sanaWengine tunasingizia tunanyonyesha ndo mana tunakula sana[emoji1751][emoji1751]
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Kuna mtu pia alisema, nyama hainenepeshi kama wengi wanavyodhani.
Kama ingekua inanenepesha mbona tembo anakula majani na bado ni kibonge ππ
Hii inahitaji ufafanuzi kidogo mkuu
Ukweli MchunguWanawake hali ni mbaya zaidi.
Yaani mwanamke akiwa mfupi,kibonge afu akavaa nguo nyekundu akitembea barabarani ukiwa mbaali unaweza kudhani ni kibanda cha m-pesa kinatembea aisee.Wanawake hali ni mbaya zaidi.
Mnapoteza mvuto kabisa, mnaonekana wamama. Dogo wa 25 yrs anakua kama ana 40 yrs kisa ndambi na minyama uzembe kibao. Na bora awe mrefu sasa, hili janga huwapata sana wanawake wafupi.
Hakuna nguo itamkaa mwanamke mwenye ndambi ya kwenda, bora hata wanaume huvaa suti walau huonekana nadhifu hata kama ana kitambi.
Pia kwa mwanaume kitambi hakionekani akiwa na pesa, lakini mwanamke hata awe na pesa kiasi gani bado ataonekana mbovu na muonekano mbaya kisa ndambi.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Mtoa post ni mnafiki sana
ππππππWanakera kwa kweli,mwanamke kitambi kulee...
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Bora useme hivyo kuliko kusingizia matumbo kuwa yanaleta shida muda wa kuchakata mbususu...mjegejo haujawahi kukwamishwa na tumbo/kitambi.
#MaendeleoHayanaChama
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Yaani mwanamke akiwa mfupi,kibonge afu akavaa nguo nyekundu akitembea barabarani ukiwa mbaali unaweza kudhani ni kibanda cha m-pesa kinatembea aisee.
πππππππLeo nimeingia kwenye pita pita zangu nmekutana na Uzi huu wa Afya,BOFYA HAPA, Hawa wanajadili kuhusu afya pekee yake
π₯±π₯±π₯±π₯±π₯±π₯±π₯±π₯±π₯±π₯±Wengine tunasingizia tunanyonyesha ndo mana tunakula sana[emoji1751][emoji1751]
π±π±π±π±π±π±π±π±π±π±π±Sababu moja ya kiande sana
ππππππLeo nimeingia kwenye pita pita zangu nmekutana na Uzi huu wa Afya,BOFYA HAPA, Hawa wanajadili kuhusu afya pekee yake
π±π±π±π±π±π±π±π±Leo nimeingia kwenye pita pita zangu nmekutana na Uzi huu wa Afya,BOFYA HAPA, Hawa wanajadili kuhusu afya pekee yake
Jamani inabidi Twende Nao pole pole mwayaa, Watu wanapitia Mengi.Usiwaone ivo wengine ni wagonjwa!! ma fibroids!! myomas ndo zinaongoza na wengi hawapendi kunyapuliwa! hawafurahii!