Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
- Thread starter
-
- #41
Juzi kuna uzi humu ulisema jamii ya kizaramo inatoweka, nikatolea mfano ujio wa kasi wa wasomali, wachina, waarabu na wahindi kuwa ni hatari kwa ustawi wa watu weusi huko mbele ya safari, nilishambuliwa sana
Hata hapo unapopanga kwenye hicho kiduka Bondeni Arusha wewe pia huna haki hiyo unaowakataza wengi. Rudi kwenu ukapalilie migomba.Mawazo ya ubaguzi hayatamuacha mtu salama.Mtaanza na wasomali,halafu wachagga,wahindi,wakinga.Fanya kazi ya kubadili maisha yako.Hili nalo neno.
Tayari wameshajipenyeza kila mahali.Makamu Mwenyekiti CCM ni msomali.Waziri wa Kilimo msomali,Rais wa TFF msomali huko Yanga ndio usiseme lazima hii jamii iliyojaa laana idhibitiwe mapema.
Kweli mkuu yaani hii mada kuna jitu huko Kenya lililalamika ooh sisi mnatukataza kuzaliana wakati wasomali wanazaa watoto wengiMijitu ignorants kazi yao kubwa kusambaza chuki na hofu....anazungumzia Somalia na hajafika
Safi sana hawa racists wapigwe vita sana mpaka wakae kwenye mstariHata hapo unapopanga kwenye hicho kiduka Bondeni Arusha wewe pia huna haki hiyo unaowakataza wengi. Rudi kwenu ukapalilie migomba.Mawazo ya ubaguzi hayatamuacha mtu salama.Mtaanza na wasomali,halafu wachagga,wahindi,wakinga.Fanya kazi ya kubadili maisha yako.
Binafs siwapendi wasomaliHuna jipya,, unawachukia tu Kwasababu ni waislam
Kwamba hakuna uwepo wa somali bantu kufurushwa somalia hadi kuwa wakimbizi?.Kweli mkuu yaani hii mada kuna jitu huko Kenya lililalamika ooh sisi mnatukataza kuzaliana wakati wasomali wanazaa watoto wengi
Kwamba baada ya miaka 50 wasomali wataiteka Kenya
Sasa na yeye kaiokota huko kaileta vile vile ila kabadili nchi tu
Anasema wabantu wanabaguliwa Somalia bila facts zozote mradi tu
Umasikini wao na chuki ndio fursa kwa wanaoingia hapo
Dunia hii ni kupambana na maisha na sio kulia lia
Niko nje napiga kazi haswa lakini sijawahi kuambiwa toka kwetu 😄 🤣
Kweli kabisa mkuu,Sometimes watu weusi tuna inferiority complex kubwa sanaaaa
Analalamikia wasomali 200,000 tu kwenye population ya zaidi ya 60mSometimes watu weusi tuna inferiority complex kubwa sanaaaa
Hilo lingine lakini wabantu wapo Somalia miaka mingi sana na wana maisha kama raia wa kawaidaKwamba hakuna uwepo wa somali bantu kufurushwa somalia hadi kuwa wakimbizi?.
Wakimbizi walikuwa wasomali wote kwa ujumla. Somali Bantu walikimbia vita kama wasomali wengine. Majority walibakia na hata wengine waliokuwa Tanga wamerudi Johar kwenye makazi yao ya zamani kwani wao ndio wamiliki wa ardhi yenye rutuba zaidi Somalia.Kwamba hakuna uwepo wa somali bantu kufurushwa somalia hadi kuwa wakimbizi?.
Tena Johar kulikuwa na kiwanda cha Sukari zamani sijui kipo badoWakimbizi walikuwa wasomali wote kwa ujumla. Somali Bantu walikimbia vita kama wasomali wengine. Majority walibakia na hata wengine waliokuwa Tanga wamerudi Johar kwenye makazi yao ya zamani kwani wao ndio wamiliki wa ardhi yenye rutuba zaidi Somalia.
Hata wapemba walipokimbia vurugu za 1992 baadhi yao walikimbilia Somalia na kuweka makazi huko na kuoa na kuolewa na wasomali.
Usilolijua ni usiku wa giza.
Wakuja duniani ndio wanaokuza Uchumi wa nchiInabidi kuwafukuza
Sasa wewe kama una matatizo ya uzazi au nguvu za kiume unataka kupangia wengine wasio na tatizo wakae bila watoto kama wewe?Kama wana uwezo wa kuwalea why not?hawa jamaa wanazaliana wapemba wakasome aisee kuna sehemu nlienda kuna watoto kama 8 hv afu wote wa mama mmoja wanafuatana tuu
kwani wapi nimeandika kuwa waache kuzaa au ...? mm nimewapa sifa yao kuu kuzaliana kwa kasi au nimekosea nn hapo bwana omary msomali ....?mbna una makasiriko omqry msomali wapi nimewakandia au kuwapangia maisha jamii yenu zqidi ya kuwapa sifaSasa wewe kama una matatizo ya uzazi au nguvu za kiume unataka kupangia wengine wasio na tatizo wakae bila watoto kama wewe?Kama wana uwezo wa kuwalea why not?
Hata China wameacha policy yao ya one child licha ya kuwa na mabilioni ya watu.
Umefikia kupangia watu maisha na kupanga idadi ya watoto?
Wacha majungu fanya kazi ubadili maisha yako.
Kwanza mimi sio msomali.Ndio tatizo lako ku assume. Kama kusifia kwako ni hivyo basi sitaki kujua ukikejeli.Huwezi kuwaita wanadamu "wanazaliana" hiyo ni reference inatumika kwa wanyama au wadudu.Wanazaliana kama mbwa au mchwa.Naelewa lugha ya kiswahili inakupiga chenga.Hujui neno hilo umelitumia kwa kejeli na sio sifa au unafanya makusudi.The choice is yours.kwani wapi nimeandika kuwa waache kuzaa au ...? mm nimewapa sifa yao kuu kuzaliana kwa kasi au nimekosea nn hapo bwana omary msomali ....?mbna una makasiriko omqry msomali wapi nimewakandia au kuwapangia maisha jamii yenu zqidi ya kuwapa sifa
sawa mkuu hayo ni mawazo yako kama nimekuudhi nisamehe ila sijamaanisha kama ulivowazaKwanza mimi sio msomali.Ndio tatizo lako ku assume. Kama kusifia kwako ni hivyo basi sitaki kujua ukikejeli.Huwezi kuwaita wanadamu "wanazaliana" hiyo ni reference inatumika kwa wanyama au wadudu.Wanazaliana kama mbwa au mchwa.Naelewa lugha ya kiswahili inakupiga chenga.Hujui neno hilo umelitumia kwa kejeli na sio sifa au unafanya makusudi.The choice is yours.
Hilo lingine lakini wabantu wapo Somalia miaka mingi sana na wana maisha kama raia wa kawaida
Kuhusu kufukuzwa hiyo ni siasa zaidi na sio vingine
Tz mpaka leo kigoma ni kama nchi jirani na mnawasumbua Waha kila kukicha je hilo unalisemea vipi?