Leo tena inajirudia karaha ya siku zote, abiria wanasota vituoni korogwe na Kimara kwa zaidi ya masaa mawili wakisubiri gari yenye nafasi wapande waingie katika uzalishaji mali na kuliendeleza taifa.
Binafsi nimefika kituoni saa moja asubuhi mpaka saiz saa tatu na nusu sijaweza kupanda kwenye gari. Hii sio mara ya kwanza. Ni Bora kama wenye dhamana ya kutatua kero hii wakae pembeni wanatukwamisha katika maendeleo kama taifa.
Wanafunzi wanafika shuleni saa 4 kisa usafiri tabu, wananchi wanashindwa kuwahi kazini. Hivi ni kweli kabisa hili haliwezekani kutaftiwa ufumbuzi?
Leo tena inajirudia karaha ya siku zote, abiria wanasota vituoni korogwe na Kimara kwa zaidi ya masaa mawili wakisubiri gari yenye nafasi wapande waingie katika uzalishaji mali na kuliendeleza taifa.
Binafsi nimefika kituoni saa moja asubuhi mpaka saiz saa tatu na nusu sijaweza kupanda kwenye gari. Hii sio mara ya kwanza. Ni Bora kama wenye dhamana ya kutatua kero hii wakae pembeni wanatukwamisha katika maendeleo kama taifa.
Wanafunzi wanafika shuleni saa 4 kisa usafiri tabu, wananchi wanashindwa kuwahi kazini. Hivi ni kweli kabisa hili haliwezekani kutaftiwa ufumbuzi?
Kama LATRA walisema hao jamaa hawawezi kuwawajibisha basi hakuna kitu hapo.CAG aliwahi toa taarifa kuhusu Mwendokasi watu wameiweka mfukoni usitegemee kitu kipya tena..
Leo tena inajirudia karaha ya siku zote, abiria wanasota vituoni korogwe na Kimara kwa zaidi ya masaa mawili wakisubiri gari yenye nafasi wapande waingie katika uzalishaji mali na kuliendeleza taifa.
Binafsi nimefika kituoni saa moja asubuhi mpaka saiz saa tatu na nusu sijaweza kupanda kwenye gari. Hii sio mara ya kwanza. Ni Bora kama wenye dhamana ya kutatua kero hii wakae pembeni wanatukwamisha katika maendeleo kama taifa.
Wanafunzi wanafika shuleni saa 4 kisa usafiri tabu, wananchi wanashindwa kuwahi kazini. Hivi ni kweli kabisa hili haliwezekani kutaftiwa ufumbuzi?
Pesa wanazozikusanya kwa siku ni nyingi mno...basi moja linabeba zaidi ya watu 100...nauli ni 750 hawana mshindani katika njia zao wala hakuna foleni kusema gari zitakula sana mafuta
Ninacho shauri Mwendokasi wameshindwa kukidhi mahitaji ya kusafirisha abiria, naomba LATRA waruhusu mabasi ya DALADALA rout ya MBEZI POSTA/ KIMARA POSTA KIMARA KIVUKONI na MBEZI KARIAKOO zote ziwe Via MOROGORO ROAD.ingebust shida ya abiria wa mwendo kasi, sababu kwakweli Wamechemka sNaa