Only Men: Ulivyokua school Watoto wakike walikua wanakupendea nini?

Naendelea kusoma chai zenu.πŸ˜‚
Kila mtu alikuwa HB + kichwa darasani.πŸ™ŒπŸ™Œ
 
Only men...😁
Kila mtu atajifanya hapa alikua na hela, mzuri, sukari, msafi, mpole na anaongoza darasani mkwendreeeee hukooooo
wa
Mimi nilikuwa kichwa class , nikawa Nina convoy la madem Ila siwachapi, nikawa nachapa mimama kitaa Kwan ilikuwa one stop kiki, Hawa wanafunzi ilikuwa had umlete geto ni mchakato, so nkawa nawapotezea
ila tuseme ukweli wadada wakubwa ni watamu sana hasa ukute lina matter coreπŸ˜‹
 
Walijua Mimi ni mtoto wa kishua, kuanzia mavazi na sare na usomaji wangu,( utanashati)

Pia nilipenda michezo sana
 
Balaa zito .. huyo tumanz tulikuwa msala , bikla kitu gan bwana, sjawah toa na siwaz na nnawala kichiz
uko sahihi mkuu, watu wazima hawasumbui kabisaaa ,hutu tu manzi maigizo mengi sana na ku fake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…