mkombengwa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 3,173
- 3,443
Mi nilikuwa mtu wa chimbo tu....naonekana kipind cha umisseta tu kupiga boli..muda mwing nipo kipind hicho tazara golin kwa mwanetu tunasukuma mitumba tu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
upo sahihi sana mkuuHahahaa, sawa mkuu.
Ukiamua kufanya jambo na ukaweka nia, utekelezaji utaliweza
Primary ilikuwa common sana kuiba vitabu vya walimu, pen, chaki, makerpen.Wizi wa vitabu
Makubwa Mzigo unaulazimishwa kupewa yani kitu njenje huombiombi au kutuma Nauli'uko sahihi mkuu, watu wazima hawasumbui kabisaaa ,hutu tu manzi maigizo mengi sana na ku fake
mmmmmhhhYour inner instinct haijawahi kukuongopea hata mara moja?
Ipo siku yako yaja utaliwa na mateDaah! Umenikumbusha wakati nipo O-level kidato cha 3, halafu Pisi kali ipo form 5,wakati huo ni Waziri wa Taaluma, Basketballer halafu handsome boy
Oyaa Ile kazi ilinielewa sana, halafu muhuni hata sielewi yani, Pisi mixer kuniletea zawadi za Chocolate na soda, nilikuwa najikuta kishenzi
Sema nini?, Nilipofika chuo ndo tukaelewana ila now kaolewa na muhimu zaidi naendelea kupiga mke wa mtu, Mwanangu aliyeoa hii kazi anisamehe sana, coz sina namna
Daaah Mungu aniepushe na hii kadhia, Ngoja nifanye mchakato wa kuachana nae, umenikumbusha jambo la maana sana hiliIpo siku yako yaja utaliwa na mate
Oya mkuu kausha tuendelee kunywa chai hapa nimeandaa na vitumbuaJf ina ufala mwingi kinoma, yaan kiila mmoja alikua HB na anaongoza darasa daadek wahuni mnatuchosha na hizi kahawa zenu maana hizi sio chai tena ni Cupchino
Wauni walikua ma TO wote bhana sema wanatupatisha dhambi kutukana kimoyomoyo kama kuruta anavyomtukana afandeOya mkuu kausha tuendelee kunywa chai hapa nimeandaa na vitumbua
Naam hakujawahi tokea mwanaume dhaifu linapokuja swala la kuibiwa mkewe, atatumia silaha zote muhim ili ulipie, iwe kukutafuna yeye ama na masela zake au hata kukuendea pemba huko akashughulika na weweDaaah Mungu aniepushe na hii kadhia, Ngoja nifanye mchakato wa kuachana nae, umenikumbusha jambo la maana sana hili
Watu mliosomea Seminari hamjui Raha Nyie ya Co-Education schools tulieni😂😂Wauni walikua ma TO wote bhana sema wanatupatisha dhambi kutukana kimoyomoyo kama kuruta anavyomtukana afande
Kwa taarifa yako nimesoma shule ya Kata huko bush na advance nako nikasoma shule mchanganyiko, A level tulikua wanaume tena tusiozidi 40 na O level ikiwa mixer na walikua zaidi ya 700, imagine hao watoto wa o level walikua wanashobokaje, ila ndio hivyo tena hatuna lakudanganya sisi wengine na hatujisifii kwa ubaya tuliotenda zaidi tunajutaWatu mliosomea Seminari hamjui Raha Nyie ya Co-Education schools tulieni[emoji23][emoji23]
Umeogopa eeh, mke wa mtu ni sumu ujueDaaah Mungu aniepushe na hii kadhia, Ngoja nifanye mchakato wa kuachana nae, umenikumbusha jambo la maana sana hili