Killmonger
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 2,021
- 2,242
[emoji38] [emoji38] [emoji12]
"The future is exciting "
What a swry lady...just good girl gone good.nshatupia
hayakuhusu acha kudandia comment zisizo zako mjini hapa ooh na ujaelewa hizo ni code za me na the bold
Hahah ume book training mkuu?Mkuu hebu nieleweshe hapa,yani jamaa kaondoka na hela za wateja ambao walibook training??au??
Jamaa hao ni kitu kimoja huyo Ontario na Cre wanajifanya hawako pamoja huku nje tu.Huyu jamaa si alileta bandiko kwamba Ontario na mwenzake wamejitoa ukurugenzi wa TMT? Nnachojiuliza, kama walikua ni signatories wa benki, hawakupeleka hizo taarifa ili kuwaondolea uwezo wa kufanya miamala benki?
Hapa kuna uwezekano ikawa ni muendelezo wa utapeli au kuna uzembe wa hali ya juu kwenye uendeshaji wa mambo yao.
Maneno matamu ila mwenzako alali leo atakuwa anawaza fungu lake kule TMT,kwani TMT sio brand ya Mayweather?pole sana "" hali ya kawaida hiyo "" unapokesea pakukanyaga na kuanguka"" ndio dira ya utambuzi wa akili itakavyoweza kukusaidia kuujua ubaya wa njia"""
Mkuu mke wa Habib atakuwa kwenye wakati gani maana aliasi kabisa jf.Hahah Hivi mkuu hauhisi labda ndg Habib na Ontario walikua wanajuana kitambo tu nje ya JF na hata kujiunga hapa Jf kwa hao wawili huku kila mtu alijifanya anajiunga kwa muda wake na kama vile hawajuani hivi walifanya hivyo purposely?
Unakumbuka ile Story the bold anampamba Ontario eti Mpk boss wa Usalama wa Taifa walikua wanampigia simu dogo sijui wanamuogopa,story kibao.
Najiuliza hivyo sababu baada ya TMT kupiga hela huyo the bold story zake zikapungua na akateleza mazima humu jf.
Na forex uliiacha kabisa au ulitafuta alternative nyingine?hahhhahah na kweli mkuu nilikuwa naipenda mno forex lakini swala la kulazimishwa kutrade kwa broker wao lilinipa sana ukakasi nikaamua achana nao kabisa
huyo uliemquote unamjua na the bold unamjua ndio maanaa nimesema usidaandie usivojua haaaaaaaaaa
Note: Kutokana na sababu za kisheria na mipango yangu binafsi nimeona ni vyema nikitumia jina langu halisi humu Jamii Forums. 'The bold' itabaki kama alias. Nashukuru uongozi mzima wa JF kwa kuverify account yangu.
Habibu Anga alias The bold - 0718 096 811
Mfundishe tu mkuu.Hata nikikufundisha umeshalishwa sumu kuwa forex ni utapeli wakati watu wanapiga pesa, NAKUHAKIKISHIA kwenye FOREX wakati natoka mwenge to posta foleni ile mimi naingiza usd 30 kila siku sina presha na mtu.
Hadi sasa umevuna ngapi mkuu?Hakuna alieibiwa pesa clients tuko salama kabisa trade zina run kama kawaida,nampenda ontario na wenzie ila kwa kugombanaa kwenye grups wameonesha uafrica wao wa ajabu samahani kwa hili ONTARIO soon nabadilisha broker mmeniboa kwa ugomvi wenu.nahamia ECN Broker.Forex ni nzuri tu il hawa watu wameboa
mbuz wewe hakuna alielazimishwaa kwenda tmt the bold aachana nae fany yako
Kwaiyo dogo ajabeba zote ila kachukua kilicho chake sio?huyu Cre ni wakala wa JP Market....Na Jp Ndio wanaocontrol account za clients so anasikilizwa zaidi na JP kuliko akina Ontario....cre na jp wanawazunguka akins ontario kwenye mgao
Kama ni kweli watamalizana kimafia tu. Movie ndio kwanza inaanza tutafute popcorn tu mkuu.Picha bado linaendelea, hii ni zaidi ya Isidingo The Need.
Unauliza kizushi zushi mkuu hahahKwani pale ofisi haipo tena au imekuwaje?kwa hiyo TMT imekufa
The bold uyo na hilo ndio jina lake halisi.Hahaha,dah mkuu mbona unahasira hivyo??amekufanyaje??
grup lipo na maisha yanaenda ndugu pole sana forex ina waatu wake
Hahah doh!!Shiiiiiii!!! Usiseme kwa nguvu!