Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

Kuna kitu najiuliza...mfano mimi nimeingia ubia na Jamaicans nikawaleta Bongo, baadae tukavurugana nikachukua hela kutoka kwenye akaunti ya kampuni nikajitoa. Baada ya hapo hawa jamaa wakaanza kunitafuta kwa nguvu zote. Je ninaweza kuthubutu kwenda kutembea Jamaica?!!
Haiwezekani kabisa. Point kubwa sana umeongea
 
Kuna kitu najiuliza...mfano mimi nimeingia ubia na Jamaicans nikawaleta Bongo, baadae tukavurugana nikachukua hela kutoka kwenye akaunti ya kampuni nikajitoa. Baada ya hapo hawa jamaa wakaanza kunitafuta kwa nguvu zote. Je ninaweza kuthubutu kwenda kutembea Jamaica?!!
Nilishapost huu n mchezo na wanaucheza vyema, picha likiisha wanakutana south Africa wanakula piza uku wakifikiria waingia tena chimbo gan
Ila nawashaur wasiende somaria,Nigeria au kenya uko wafwa kwel watu hawana masihara
 
Kuna kitu najiuliza...mfano mimi nimeingia ubia na Jamaicans nikawaleta Bongo, baadae tukavurugana nikachukua hela kutoka kwenye akaunti ya kampuni nikajitoa. Baada ya hapo hawa jamaa wakaanza kunitafuta kwa nguvu zote. Je ninaweza kuthubutu kwenda kutembea Jamaica?!!
Usithubutu kwenda watakugeuza mshikaki....
Mkuu

Ova
 
Kuna kitu najiuliza...mfano mimi nimeingia ubia na Jamaicans nikawaleta Bongo, baadae tukavurugana nikachukua hela kutoka kwenye akaunti ya kampuni nikajitoa. Baada ya hapo hawa jamaa wakaanza kunitafuta kwa nguvu zote. Je ninaweza kuthubutu kwenda kutembea Jamaica?!!
haiwezekani kabisz
 
Kuna kitu najiuliza...mfano mimi nimeingia ubia na Jamaicans nikawaleta Bongo, baadae tukavurugana nikachukua hela kutoka kwenye akaunti ya kampuni nikajitoa. Baada ya hapo hawa jamaa wakaanza kunitafuta kwa nguvu zote. Je ninaweza kuthubutu kwenda kutembea Jamaica?!!
Ontario ni kibaka kama vibaka wengine wa Manzese au Yombo.


Huu ni utapeli uliopangwa ukapangika.
 
hakuna hela ya hivyo duniani.. Forex ni kama mchezo wa kubet..
Hela inatafutwa kwa jasho...
 
Nina uhakika wewe ni Ontario umekuja n ID nyingine, please lipa hela za wAtu Ontario punguza ujambazi a.k.a uboko haramu
ID nyingine ya kazi gani mkuu. Sidaiwi na mtu na siwezi punguza utapeli while I'm not a conman.
Forex is not for everyone. Wengine mkalime bustani tu
 
hakuna hela ya hivyo duniani.. Forex ni kama mchezo wa kubet..
Hela inatafutwa kwa jasho...
Ulikurupika ukaanza kutrade without knowledge and ended up losing hence concluding forex is betting. Poor you
 
Ulikurupika ukaanza kutrade without knowledge and ended up losing hence concluding forex is betting. Poor you

Kifupi sikuwahi na siwezi kujaribu kuishi kwa kubahatisha, nani kakwambia kuna hela inapatikana kwa kubahatisha..
Narudia tena Forex haina tofauti na mchezo wa kubet..ambapo aliyebet anaishi kwa kupiga ramli, ni hivyo hivyo hata kwenye forex mnaishi kwa kupiga ramli... Hakuna hela ya mteremko..
 
Kifupi sikuwahi na siwezi kujaribu kuishi kwa kubahatisha, nani kakwambia kuna hela inapatikana kwa kubahatisha..
Narudia tena Forex haina tofauti na mchezo wa kubet..ambapo aliyebet anaishi kwa kupiga ramli, ni hivyo hivyo hata kwenye forex mnaishi kwa kupiga ramli... Hakuna hela ya mteremko..
Stupid mind
 
Back
Top Bottom